Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
😅😅😅😅 ikiwa hata vyoo vya wachezaji hawana
wow....this is a plusHospital build by kirinyaga governorView attachment 2655874View attachment 2655875View attachment 2655876
Najua ni wivu tu🤣🤣one cant imagine the uvundo in this smeltering heat
Mkuu, huko Uingereza ambako pia DPW wamekabidhiwa bandari kuziendesha, pia mfumo wao wa elimu sio mzuri?. Watu Kama ninyi wenye kupenda Kulalamika bila sababu za msingi ndio tatizo kubwa la Afrika.Kwa hiyo yani sisi tumeshindwa kukaripiana na kuwajibishana sisi Kwa sisi au mama hataki lawama za kuonekana anwaendesha watz
Sasa jitu kama lizembe si linaburutwa na kama vipi Lina wekwa kando
Au dp world wakija wanafukuzaa wafanyakazi wote hapo bandarini
Hapa inaonekana mfumo wetu wakielimu umekaa kibiashara sana na sio kutoa wajuvi yaani mtu unaweza kuwa gpa Kali alafu maajabu zero
Labda wanaongelea kuja terminal III hawa majuhasio kwa mara ya Kwanza Air France, Lufthansa na British Airways zilikuwa zinakuja Bongo!


Sport Pesa ilikimbia Kenya baada ya kuona ninyi ni masikini hawapati pesa ya kutosha.
Watanzania sisi 80% ya work force ni underperformers! Sio serikali wala sekta binafsi!!Kwa hiyo yani sisi tumeshindwa kukaripiana na kuwajibishana sisi Kwa sisi au mama hataki lawama za kuonekana anwaendesha watz
Sasa jitu kama lizembe si linaburutwa na kama vipi Lina wekwa kando
Au dp world wakija wanafukuzaa wafanyakazi wote hapo bandarini
Hapa inaonekana mfumo wetu wakielimu umekaa kibiashara sana na sio kutoa wajuvi yaani mtu unaweza kuwa gpa Kali alafu maajabu zero
Ushindani wa kijinga!! Sportspesa inakimbizwa huku bongo balaa! Sijui kama ndani ya miaka 3 bado watakuwepo kwenye hilo soko! Sijui!
Hiyo hela lazima wainye! Watake wasitake! Si walikua waendesha uchumi kwa sifa!! Eti flyover mpaka vijijini!! Kula joto ya jiwe sasa!!
Sport Pesa sio kampuni la wakenya, hao ni kawaida Yao kuokoteza Kila kitu wanasema ni vyao.Ushindani wa kijinga!! Sportspesa inakimbizwa huku bongo balaa! Sijui kama ndani ya miaka 3 bado watakuwepo kwenye hilo soko! Sijui!
Kula joto ya jiwe sasa!!...Hiyo hela lazima wainye! Watake wasitake! Si walikua waendesha uchumi kwa sifa!! Eti flyover mpaka vijijini!! Kula joto ya jiwe sasa!!


Tuliwaongezea tax wakatoroka lakini mwishoe walirudi, right now they are one of our biggest taxpayers.Sport Pesa ilikimbia Kenya baada ya kuona ninyi ni masikini hawapati pesa ya kutosha.
Tunazungumzia michezo, Kenya hakuna biashara ya "Sports because Kenyans don't have enough disposable incomes". Watu wengi Kenya wana "struggle" kupata basic needs like food, water, shelter and health.Tuliwaongezea tax wakatoroka lakini mwishoe walirudi, right now they are one of our biggest taxpayers.
Tanzania imeizidi Kenya kwa mbali Sana katika viwango vya demokrasia duniani.tz is not a free country.....that's why they hate truth
Mkuu, huko Uingereza ambako pia DPW wamekabidhiwa bandari kuziendesha, pia mfumo wao wa elimu sio mzuri?. Watu Kama ninyi wenye kupenda Kulalamika bila sababu za msingi ndio tatizo kubwa la Afrika.
5. Vetting process strictly based on qualifications kwenye ku-hire DGs na si zisiwe nominations za Rais!Kwahio kisa Balozi Slaa kapendekeza ndo umeona ni wazo zuri?
Wanipe hata mim.. kuimanage TPA ni simple tu. Na sijui kwanin mnapenda kuwahusu watu wa nje na kujiunderestimate sisi wenyew.
Kiufupi, sisi tunafeli kwenye kuingiza siasa kwenye professionalism za watu. Ona sasa mbobezi Dr Matarajio katolewa TPDC, kawekwa sijui mtu gan. Pia tatizo lililopo kila kiongozi anawaza kupiga, kwasababu anajua kuna namna atalindwa
Mim hizi taasis zetu wangefanya haya yafuatayo tungepiga hatua parefu bila kushirikisha wazungu
1. Wakurugenzi wakuu au tuseme top leader wa taasis yeyote wapewe mkataba wa miaka 3.. 'renewable' kwa vipindi hata tano au zaid(yan yule mzuri aendelee kukaa hapo mda mrefu)
2. Yeyote atakapatikana na rushwa au ufisadi, taifisha mali zake zote, tusioneane huruma hata kama ni ndugu yako.. pia hata wakificha.. kbl ya kushika madaraka, andikisha mali hata za ndugu wawili, ndugu yao akifanya madudu hata mali zao zitaifishwe..
3. Tusioneane huruma hata kama kupitia huyo MD, wew una kamrija unapata.
4. Na mengineyo
Tukifanya hiv tutafika mbal bila hata hao wazungu mnaowahusu wakat elimu yao ndo hiohio tuliyonayo
Mim sikuzote ni mmojawapo ninaoamin hawa wazungu hawana kitu kutuzidi, nimeishi nao, nimesoma nao, nimekaa nao. Nashangaaga sana nikiona sehem mgeni mzungu anahusudiwa, wakat mwingine unakuta ni kilaza wa mwisho huko alikotoka, ila akija huku mnamnyenyekea. Dah, huzuni
Sio underperformers.. ni mfumo wa kuleana hovyohovyo na mambo ya kisiasa. Mf, Dr Matarajio wametoa TPDC.. lkn huyo akipata kitengo nje ana uwezo wa kuleta mafanikio makubwa sana. Wenzetu wanaangalia professionalism, huku tumejaa siasa tu na upigaji.. kila Rais ana mtu wake imrad tu apate vimrija vya kupiga yey na wenzake.Watanzania sisi 80% ya work force ni underperformers! Sio serikali wala sekta binafsi!!
Hali ya utendaji wa kazi na kupata desired results ni ngumu sana nchi hii!