Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hospital build by kirinyaga governor
IMG_20230613_115255.jpg
IMG_20230613_115259.jpg
IMG_20230613_115257.jpg
 
Bado umekwamilia ripoti ya (WB) ambayo imekua debunked kama ya upotoshaji au kisa imeiweka dar port juu ya Mombasa!? Huwezi kusoma majira ukaona kwanini ni dar port inauzwa na sio Mombasa. Hata hio Djibouti Nina mashaka nayo lazima mchina anaifyonza.
Kwaiyo unapinga hiyo ripoti sio ya kweli sio?, Wapi WB imekanusha?,.
 
Kwasababu hiyo ya uzembe na ukiritimba uliokithiri serikalini, ndio sababu serikali inatafuta wabia Ili waende she hiyo bandari.
Kwa hiyo yani sisi tumeshindwa kukaripiana na kuwajibishana sisi Kwa sisi au mama hataki lawama za kuonekana anwaendesha watz

Sasa jitu kama lizembe si linaburutwa na kama vipi Lina wekwa kando

Au dp world wakija wanafukuzaa wafanyakazi wote hapo bandarini

Hapa inaonekana mfumo wetu wakielimu umekaa kibiashara sana na sio kutoa wajuvi yaani mtu unaweza kuwa gpa Kali alafu maajabu zero
 
Back
Top Bottom