Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Atleast Bongo ifike Level hizi za Johannesburg.
Sio takataka za flying toilets with filthy stinking cholera infested streets,
Mji watu wanakunya kwa plastic bags and throw away

See how J’burg looks like
IMG_4435.jpg
 
Bibi na kijana wake walitibiwa wapi Hadi wakapona?
Mbona hawakuwa airlifted to dar na ni karibu???
Kama kawaida yenu kupenda kudanganya, Nkurunzinza hajawahi kufika Nairobi kutafuta matibabu, ni mke wake ndiye aliyekuja Nairobi wakati mumewe alibaki Burundi na kufariki
 
Atleast Bongo ifike Level hizi za Johannesburg.
Sio takataka za flying toilets with filthy stinking cholera infested streets,
Mji watu wanakunya kwa plastic bags and throw away

See how J’burg looks like
View attachment 2655104
Bro, Kenyans huwa wanatabia za kujisifia kwenye suala la investments in real estates, we last month kwenye kufanya research zangu .. nikagundua baada ya SA hakuna taifa in Sub Saharan Africa linaeza rival Namibia.. take a look 👇. Afrika kuna mataifa yameendelea bhana
 
Ficha upumbavu!
Nilijua utalipuka. Huyo jamaa anashutumu kwamba Kuna rushwa ilifanyika baada ya kufa Magufuli Ili watu wapige pesa, anatoa shutuma bila ushahidi wowote, ndio ninemuuliza hayo maswali, hukupaswa kupanic na kutoa matusi, ungekua na busara, ungesaidia kumuambia huyo bwana athibitishe madai yake dhidi ya rais.

NB; TV za kuonyesha vituo zitakuwepo, hizo nyaya zinazo onekana na kulalamikiwa kwamba ni Rushwa, ndio sehemu zitapachikwa TV
 
Ushahidi gani unataka wewe? are you dead, don't you have eyes and brain to perceive and figure out?

Hzi behewa unafikiri nataka nikaweke chumbani kwangu? wewe huoni nyaya zinaning'inia?? tunataka kilichokizuri kwa wote na sio huu ujinga wakati hela zimetumika.
Mkuu, hata Mimi pia ninataka vitu viwe vizuri, ninachukia Rushwa, lakini ninachukia zaidi kutoa lawama na shutuma na kuwapakazia watu bila kuwa na ushahidi wowote, Kumbuka yaliyomkuta Cyprian Msiba, mkuu kuwa makini na chunga Sana mdomo wako.
 
Kaka nilisikiaga kundustan walikuja kuomba flight cargo yetu ikifika iwe inabeba na mizigo yao,ni kweli?
Ndio maana yake mkuu. Ukiacha hilo wanajua pia ujio wa hii ndege itaua biashara ya ya horticulture wanajua fika mazao mengi wamekuwa wakinunua kutoka Tz zen wao wanafanya packaging kupeleka ulaya na kwingineko, sasa wameomba ushirikiano huo ili kulinda maslahi yao ila tumewastukia.
 
Ndio maana yake mkuu. Ukiacha hilo wanajua pia ujio wa hii ndege itaua biashara ya ya horticulture wanajua fika mazao mengi wamekuwa wakinunua kutoka Tz zen wao wanafanya packaging kupeleka ulaya na kwingineko, sasa wameomba ushirikiano huo ili kulinda maslahi yao ila tumewastukia.
Kuna video niliiona humu wakiwa dar kuleta maombi yao,kama unayo ni dm kaka
 
Mkuu, hata Mimi pia ninataka vitu viwe vizuri, ninachukia Rushwa, lakini ninachukia zaidi kutoa lawama na shutuma na kuwapakazia watu bila kuwa na ushahidi wowote, Kumbuka yaliyomkuta Cyprian Msiba, mkuu kuwa makini na chunga Sana mdomo wako.

With all due respect, that's poppycock!

It seems you don't even know corruption in its broadest sense. Have you ever heard of moral and/or intellectual corruption? Go and study these types of corruption, you will know that this government is rotten and stinks of corruption to the core.

Sio kila kitu uchangie, vingine kaa kimya. Itakulindia heshima.
 
With all due respect, that's poppycock!

It seems you don't even know corruption in its broadest sense. Have you ever heard of moral and/or intellectual corruption? Go and study these types of corruption, you will know that this government is rotten and stinks of corruption to the core.

Sio kila kitu uchangie, vingine kaa kimya. Itakulindia heshima.
Mkuu, tunaomba ushahidi.

Hizo nyaya zinazo onekana zikining'inia ni sehemu za kupachika Screen za Kuonyesha vituo.
 
Back
Top Bottom