ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Tuko Vizuri
This picMtu kaitaja Nakuru City humu.
A glimpse of what it looks like!
View attachment 2654299View attachment 2654301View attachment 2654302View attachment 2654303View attachment 2654304View attachment 2654305View attachment 2654307

Nakuru haina mpinzani in Tanzania outside darNakuru na Kisumu kuna tofauti gani? Hizi zote ni market centers, hamna cities bali mkusanyiko wa slums ndio maana kwenye urbanization hampo!
Waongoze kasi za viwanda sema serikali inazingua sana
Private sector ndio wanajenga sio Serikali.Waongoze kasi za viwanda sema serikali inazingua sana
Viwanda viwe vingi mbalimbali wasiishie hicho cha pombe ili wakulima wauze kwa sana malighafi ndani na nje hapo tunapunguza ku import . Hizi nido, blueband , nakadhalika .
Hapo inakuwa game over
Wawekewe mazingira mazuri ya uwekezaji itakuwa labda kuna shida somewhere kwenye governmentPrivate sector ndio wanajenga sio Serikali.
I grew up in Kisumu but of late Naks is winning my heart..This pic
View attachment 2654715
Access road+ trees+ 2×2 highway (separated by trees)+trees+ rail+trees+walk path+trees+ access road
Una ushahidi?, Kwahiyo unataka kumshutumu Samia Suluhu Hassan kushindwa kusimamia vizuri baada ya Magufuli kufariki?, au unataka kusema Makame Mbarawa aliletwa makusudi na SSH Ili kuja kumuwezesha mama Samia aweze kupiga pesa vizuri kwa sababu ni mzanzibar mwenzake?Huyo nae ana ubishi wa ajabu sana. Hela nyingi zimepigwa na wakina Kadogosa kwakua wale Eurowagons walitakiwa kuzifanyia marekebisho ziwe kama hizo pichani, walipochelewa na Magufuli kafa, fasta wakachukua tenda na kufanya uhuni wa kuleta wagons ambazo ndani wires zinaning'inia.