Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Dodoma ndiyo mji uliopangika kisasa kuliko miji yote East and Central Africa.DODOMA ni yamoto![]()
Nakuru na Kisumu kuna tofauti gani? Hizi zote ni market centers, hamna cities bali mkusanyiko wa slums ndio maana kwenye urbanization hampo!Mtu kaitaja Nakuru City humu.
A glimpse of what it looks like!
View attachment 2654299View attachment 2654301View attachment 2654302View attachment 2654303View attachment 2654304View attachment 2654305View attachment 2654307
Mzee utaokoteza sana ila njee ya Nairobi Kenya Haina shule yenye majengo ya maanaAllidina Visram High School
View attachment 2549005
Duu hii sio ile Kijiji ya shakahola kweli?zoom in ujionee maajabu 😂😂😂🔎
View attachment 2549243View attachment 2549244View attachment 2549245View attachment 2549246View attachment 2549247View attachment 2549248View attachment 2549249View attachment 2549250View attachment 2549251View attachment 2549252View attachment 2549253View attachment 2549254
Wameshindwa kushindana na Mombasa port wakaona wamuuzie DP, kitawaramba watanzakundu🤡
Wakati huo wanafunzi wakenya hawajawahi ona pipette kwa machoI'm just telling you the truth. Mouth pipetting ilishapitwa na wakati bana.
Hiyo reli ya mtwara mbamba bay ni hot cake kwasababu ya bandari ya mtwara na mines huko kusini mwa Tanzania makaa ya mawe, chuma nk na pia mizigo ya nchi jirani. Hii reli ni highly viable project ndio maana wanaikimbilia sana.Africa kusini ina interests gani mpaka wanataka kuja kuwekeza kwenye mradi wa pesa ndefu kiasi hiki?
View attachment 2654592
Unaachaje mradi wa LNG Lindi na Mozambique?Hiyo reli ya mtwara mbamba bay ni hot cake kwasababu ya bandari ya mtwara na mines huko kusini mwa Tanzania makaa ya mawe, chuma nk na pia mizigo ya nchi jirani. Hii reli ni highly viable project ndio maana wanaikimbilia sana.