Bro, Kenyans huwa wanatabia za kujisifia kwenye suala la investments in real estates, we last month kwenye kufanya research zangu .. nikagundua baada ya SA hakuna taifa in Sub Saharan Africa linaeza rival Namibia.. take a look [emoji116]. Afrika kuna mataifa yameendelea bhana
Mkuu nlikuwa Jburg siku kadhaa za huko nyuma, nlifikia Hotel Moja iko pale Sandton,
nikamchukua taxi mmoja anipeleke Soweto kuna ndugu yangu huko , toka Sandton hadi Soweto ni almost 50kms , na barabara zote ni dual carriage. nikampa option ya walau kunizungusha Soweto ,
Nilizungushwa extensions kadhaa za Soweto ,
Imagine nlizunguka na Yule Taxi kwa karibu masaa matatu na nikampa Rand 400 tu, halafu akanisimulia namna anakutana na wabongo wengi wanaoenda South Africa, mwamba ni mtu mzima kiaina ila ni mtu Poa sana (ukitaka contacts pm )
Niseme tu kuwa Soweto sio Slum kama hawa Wakundustan wasio na exposure wanavyodhani,
Soweto pekee ni kama nusu ya mji wa Nairobi wote ,
Soweto ina mitaa yote 100% imepigwa lami na mitaa ipo clear na huduma zote za maji na umeme zipo ( japo wanacomplain mambo ya blackouts)
Kitu pekee nilielewa Kundustan ni failed state ni vile nipoona gharama za bia, chakula na bidhaa Sandton ni cheaper kuliko naikundu,
Kenya is a failed state, That’s it;
Ukipata hela nenda kanywe bia Sandton ,
Kule local beer kama Castle ni around 1.2USD na msosi full ni kama 10$ plus pisi za pale Sandton ni kali mno na haziringi na ni karimu sana, Asante sana kwa ile pisi inaitwa Khumbutso Hakika ilinipa kampani mno [emoji120].
Naahidi kutimiza ahadi yangu ya kuileta hii pisi kunako zenji kama ilivyo mujibu wa ombi lake.
Nimeenda nairobi mara kibao ila safari yangu ya Jburg imenifanya nijifunze mambo mengi sana , pale OR Tambo International airport pekee patakujibu maswali yako yote , halafu utaambiwa bado that’s not even the biggest Airport in SA.
Hitimisho: Kundustan ni nchi ya hovyo. a typical failed state.