The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Haikuhusu.Yanga na Simba gani popular TZ and successful?
Haikuhusu.Yanga na Simba gani popular TZ and successful?
Yah nilipita hapo mkuu.Oya mkuu umesomea hapo shuleni?
Nyie mnazo ngapi.a hah ndege Moja ya mzigo itabeba Nini sasa
Wee unajua mandege ngapi za mizigo hutua jkia kila siku from London, Amsterdam, Schiphol,Paris etc???
Ha
Mwaka gani?Yah nilipita hapo mkuu.
2003-2009 miaka hiyo yani.Mwaka gani?
Dah zamani sanaaa2003-2009 miaka hiyo yani.
Kitambo mkuu, enzi hizo mwalimu mkuu mzee Kwayu, wewe ulidhani mm ni wajuzi kiasi hicho?Dah zamani sanaaa
Kuna mbilikimo anapenda kujiinua ili na yeye aonekane. Timu kubwa Africa zinacheza African Super League mkuu.
Yanga ni kubwa kuliko Simba mkuu huitaji ramli kujua hilo.Kuna mbilikimo anapenda kujiinua ili na yeye aonekane. Timu kubwa Africa zinacheza African Super League mkuu.
mmeazima tena basi la Uganda?Wakenya mpo kweli😅😅😅
View attachment 2653162
Usituoneshe utumbo wewe mwehu!!Twitter kilio kimeanza, hapa ndani wamekaza![]()
Nilihisi hivoKitambo mkuu, enzi hizo mwalimu mkuu mzee Kwayu, wewe ulidhani mm ni wajuzi kiasi hicho?
Ngoja uumie zaidi. Hata Man city hawajawahi kuwa na parade kama hiimmeazima tena basi la Uganda?

#violence#Hivi unajua tofauti kati ya activism and Violance?. Kitendo Cha bunge kuwaka moto hiyo ni dalili ya activism. Kuandamana, kuchoma tairi barabarani, kurusha bomu za kutoa machozi, kuvunjwa kwa maduka na kuvamia mashamba na biashara za watu na watu kuuliwa, hiyo ni" Violance". Only uncivilized people can choose violence over dialogue".
Hata hivyo usinichukulie mzee, miaka hiyo ya 2003-2009 siyo zamani kiivyo kama unavyodhani, sijafika 40yrs bado ni mshikaji mmoja hivi.Nilihisi hivo
Hizo ndege zinazotua ni zenu!? Au porojo tu! Kwani umeambiwa hizo ndege za cargo hazitui dar??a hah ndege Moja ya mzigo itabeba Nini sasa
Wee unajua mandege ngapi za mizigo hutua jkia kila siku from London, Amsterdam, Schiphol,Paris etc???
Ha
Aaaah! sio mbayaHata hivyo usinichukulie mzee, miaka hiyo ya 2003-2009 siyo zamani kiivyo kama unavyodhani, sijafika 40yrs bado ni mshikaji mmoja hivi.
Aisee kumbe wewe ni katoto kabisa, Yani umemaliza form four mwaka jana, no wonder unaona 2003-2009 ni zamani sanaaaaNilihisi hivo








