The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Asante Ruto, kamatia hapo hapo usiwaachie mbuzi hao







www.jamiiforums.com








Naibu Rais Kenya: Hatutajenga Barabara kwenye Majimbo yanayopinga Sheria ya Fedha
Rigathi Gachagua ambaye ni Naibu Rais wa Kenya amesema Wabunge wote wanaoikataa Sheria hiyo wasitarajie miradi mikubwa ikiwemo ya Ujenzi kwenye majimbo yao kwasababu hakutakuwa na sehemu ya kutoa hizo fedha kama watapinga. Gachagua amesema Serikali inasubiri Sheria hiyo ili iweze kuongeza...


hii list ya Tz au Kenya . Kwenye showbiz na entertainment hatuna mshindani. Nataka siku moja kwenye soka tuwe na wale ultra fans waone moto wetu
ushabiki umezidi,Yanga sio Timu ya Taifa 