Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante Ruto, kamatia hapo hapo usiwaachie mbuzi hao

 
Mashakahola asanteni kwa ukarimu wenu actually talent doesn't know bounderies, ninyi hamna talents ndio maana your hearts force you to seek from Tanzania View attachment 2645486
hii list ya Tz au Kenya . Kwenye showbiz na entertainment hatuna mshindani. Nataka siku moja kwenye soka tuwe na wale ultra fans waone moto wetu
 

Uwache upuzi wakuokota tweets kutoka kwa chokoraa wa twitter. Hapa Jf tunaenda na facts🔨
Screenshot_2023_0605_084621.png
 
Yusuph anaharibu timu ana ushkaji mwingi uongozi mzima mbovu na kali wamuondoe kabisa pale
Pamoja mimi sio shabiki wa Azam , lakini kuna kipindi walisema kocha Idi cheche anahujumu mpaka kafikuzwa . Sasa kosa la kali ni lipi? Hizi tuhuma bila evidence simu watasema na yusufu afukuzwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja mimi sio shabiki wa Azam , lakini kuna kipindi walisema kocha Idi cheche anahujumu mpaka kafikuzwa . Sasa kosa la kali ni lipi? Hizi tuhuma bila evidence simu watasema na yusufu afukuzwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Kali hana cheti cha kuwa kocha mkuu pale azam bado anasoma kali na Yusuphu ni washkaji since kitambo kwahyo yusuph anafosi sana ile timu iwe chini ya kali kwahyo kocha yeyote atakaye kuja pale lazima aelewane na kali tofauti na hapo figisu nyingi nyingi unaondoka .

Kabla hajaja yule Msenegal cheti kinachotambulika tff kocha mkuu ni cadena lakini kiuhalisia timu ipo chini ya kali

Kuna undugulization hakuna sense of belonging hawana shida na mafanikio wapo wapo tu kama vile totenham ya uingereza kama conte alisema ile timu ni kama tradition Basi kwa Azam nadhani pia ni tradition vile vile wameridhika
 
Kali hana cheti cha kuwa kocha mkuu pale azam bado anasoma kali na Yusuphu ni washkaji since kitambo kwahyo yusuph anafosi sana ile timu iwe chini ya kali kwahyo kocha yeyote atakaye kuja pale lazima aelewane na kali tofauti na hapo figisu nyingi nyingi unaondoka .

Kabla hajaja yule Msenegal cheti kinachotambulika tff kocha mkuu ni cadena lakini kiuhalisia timu ipo chini ya kali

Kuna undugulization hakuna sense of belonging hawana shida na mafanikio wapo wapo tu kama vile totenham ya uingereza kama conte alisema ile timu ni kama tradition Basi kwa Azam nadhani pia ni tradition vile vile wameridhika
Duh!! Kama kweli basi ni tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom