Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hueleweki.
Something big on drawing table
download.jpg
 
Sasa mkuu kwa pesa gani wanazotumia Yanga, hiyo mi benz wanayonunuliana huko utafananisha na vijisenti vinavyotumiwa, lkn pia hili suala litachochea Ari na wivu wa kimaendeleo kwa timu pinzani za Yanga ili wajuwe kwamba ukifanya vzr utakula mema ya nchi. Wacha Yanga waoneshe mfano wengine watakaza sana next time japo inauma ila watazoea mana hata mm ingeniuma sanaa
Yanga kapata wivu Simba kufanikiwa na kupanda rank CAF na wao tumewaona mwaka huu wamejitahidi sana ila bado kuna kazi kubwa mbele yao kufikia point alizonazo Simba CAF na hatimaye na wao waweze kucheza African Super League kwa miaka ijayo
 
Yanga kapata wivu Simba kufanikiwa na kupanda rank CAF na wao tumewaona mwaka huu wamejitahidi sana ila bado kuna kazi kubwa mbele yao kufikia point alizonazo Simba CAF na hatimaye na wao waweze kucheza African Super League kwa miaka ijayo
Hongera mkuu, ni maneno mazuri ya kujipa moyo
 
Yanga kapata wivu Simba kufanikiwa na kupanda rank CAF na wao tumewaona mwaka huu wamejitahidi sana ila bado kuna kazi kubwa mbele yao kufikia point alizonazo Simba CAF na hatimaye na wao waweze kucheza African Super League kwa miaka ijayo
African super league ni chaguo wanafanya tu sio kwamba wanaangalia sana ubora wa team sio kweli na bahat nzuri yanga wameombewa nafas pia😅😅😅
 
Back
Top Bottom