Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mi ni Yanga bt hii kuitumia yanga kwa ajili ya kujinufaisha Kisiasa inanikera sanaa na nina uhakika cko pekee angu tunaolerwa na ccm kujiingiza yanga yaan nakerekaa sanaaa
Kwa hiyo Kwa sababu una chuki binafsi ndio umekuja na comment hii si ndio? 😁😁
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Dodo lingine jangwani, mama Yanga damu.
Screenshot_20230605-121216.jpg
 
Unataka kusema remote inacontrol.. toka msoga kwa mwanayanga 😅😎🤣
Mama Yanga huyu, anatumia tuu mwanya wa mafanikio ya timu, au itakuwa "order" ya yule jamaa.
Yanga ilipofika wanastahili kupongezwa wamefanya kitu kikubwa sana na pamona na fitna za waarabu lakini wametoka na ushindi na kuonesha mpira wa high standards kwa kweli anastahili kuwapongeza na tanzania kwa ujumla yanga imekua tishio kwa team nyingi africa hasa kwa waarabu wanaojifanya ni smart kuliko wengine hebu tupongeze kwa mafanikio makubwa sana na mkumbuke final kama hzi zinaangaliwa na watu wengi sana duniani hvo ni kichocheo cha utalii pia

Go go tanzania 👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Tuliza kipapa kitu walichofanya yanga hakijawah kufkiwa kwenye ukanda huu na tanzania imeonekana bora kwenye ukanda wa soka duniani na bado dhulma za soka la kiafrica zimewapata na wamepata matokeo

Hakijawahi kufikiwa ukiwa unamaanisha nini!


IMG_8428.jpg
 
Mi ni Yanga bt hii kuitumia yanga kwa ajili ya kujinufaisha Kisiasa inanikera sanaa na nina uhakika cko pekee angu tunaolerwa na ccm kujiingiza yanga yaan nakerekaa sanaaa
Sasa mkuu kwa pesa gani wanazotumia Yanga, hiyo mi benz wanayonunuliana huko utafananisha na vijisenti vinavyotumiwa, lkn pia hili suala litachochea Ari na wivu wa kimaendeleo kwa timu pinzani za Yanga ili wajuwe kwamba ukifanya vzr utakula mema ya nchi. Wacha Yanga waoneshe mfano wengine watakaza sana next time japo inauma ila watazoea mana hata mm ingeniuma sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom