Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You've turned to desperate tweets...hehehe.kweli mmeishiwa......in reality 90% of dar ni hizo ugly uswazi slums ati city..... Msisahau pia kuweka video ya Baba levo mtanzania mwenzenu alipowaambia mnajenga tu vidimbwi na you need 25 years kuifikia Kenya....haha
 
Swali lako lina sehemu kuu mbili:
1)Je wewe ni gay?
Hili swali umeliuliza kutokana na msimamo wangu wa kutetea haki za mashoga.
Jibu; Kutetea haki za walemavu au wanawake, sio lazima kufanywe na walemavu au wanawake. Viongozi wote wa nchi zilizo mstari wa mbele kutetea ushoga nao wote ni gays?. Biden, Obama. Riki Sunack, Macron na wengine, wote hawa ni gays?

2)Kwanini sihitaji kuwa na watoto?.

Jibu: Sijawahi kusema kwamba sihitaji au ninahitaji watoto, nimekua nikisema kwamba duniani sio wote tunaohitaji kuwa na watoto, wapo watu ambao hawahitaji watoto na Kuna wenye kuhitaji watoto, ni haki ya mtu kuchagua.

Mkuu binadamu anatofautiana na wanyama katika eneo Moja tu, nalo ni uwezo wa kupanga uzazi. Wanyama hawana uwezo huo, wanaendeshwa na "hormones" za uzazi, hormones zikipanda lazima wafanye sex na wazae, hawana chaguo la kuamua kuzaa au kutozaa, kuwa na watoto au kutokua na watoto, idadi gani ya watoto ninayoimudu kuwatunza.(Primitive way of reproduction)

Waafrika wengi bado hatujaachana sana na wanyama, bado tunaendesha maisha yetu kwa kufanana Sana na wanyama wa porini, bado jamii zetu nyingi zinaishi maisha ya "hunting & gathering", bado tunazaa kwa kuendeshwa na "hormones" na mitazamo ya kijamii badala ya brain(Primitivity).

Mkuu, hivi kwanini Mapadre na masista wa kikatoliki hawazai Wala kufanya sex Kama kweli amri ya Mungu ni kuzaana na kuijaza Dunia?, Ina maana Papa na viongozi wa Katoliki wanapingana na Mungu?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Nimekuelewa na ufafanuzi mzuri. Kwa hiyo wewe ni mtetezi wa hao watu bora tu hawavunji sheria. Got you my brother. Suala la mapadri nazani ni sheria tu walizojiwekea. Lakini wapo wengi wenye familia nje. Mfano padri slaa kwa hiyo hawakatazwi
 
You've turned to desperate tweets...hehehe.kweli mmeishiwa......in reality 90% of dar ni hizo ugly uswazi slums ati city..... Msisahau pia kuweka video ya Baba levo mtanzania mwenzenu alipowaambia mnajenga tu vidimbwi na you need 25 years kuifikia Kenya....haha
Wetuma picha za Nairobi Acha kupepeta mdomo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Nimekuelewa na ufafanuzi mzuri. Kwa hiyo wewe ni mtetezi wa hao watu bora tu hawavunji sheria. Got you my brother. Suala la mapadri nazani ni sheria tu walizojiwekea. Lakini wapo wengi wenye familia nje. Mfano padri slaa kwa hiyo hawakatazwi
wacha upuuzi wewe Slaa alipoamua kuoa aliacha na upadre! Japokuwa kweli alikuwa padri hapo mwanzo!
 
Back
Top Bottom