Sawasawa kaka, huko ndio kukomaa kwa akili, kukubali tofauti za mawazo na misimamo, ni kosa kwa baadhi ya watu kujiona wao ndio wenye haki miliki ya mifumo ya maisha.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hiyo ndio maana halisi ya GDP kubwaTanzanias agricultural produces are like Chinese industrial goods to our neighbors kila nchi inalalamika the level of influx that's damaging their local competitiveness
yaani inaonekana kwa vitendo sio kubakia kwenye karatasi tuu kama ya Mashakahola.Mimi sio yanga ila imeniuma sanaYanga tumekufa kiume huko kwa wamangasasa tusubiri African Super League toka kwa mwakilishi wetu number moja tukae kwa kutulia.
anyway tukiendelea na speed hii lazima mwakani tuwe na timu nne group stage hata zisipofuzu robo uwepo wao ni point tosha tutazikusanya kwenye caf five years ranking kwenye ligi yetu ila sasa Azam Ni kama fala saa nyingine na huyo Singida Bs simuamini Ngoja tuone
Azam ina kwaza sana... Kwa resources na facility waliyo nayo walitakiwa kuongoza ligi.. Ila sijui wanakwama wapi.Mimi sio yanga ila imeniuma sanaanyway tukiendelea na speed hii lazima mwakani tuwe na timu nne group stage hata zisipofuzu robo uwepo wao ni point tosha tutazikusanya kwenye caf five years ranking kwenye ligi yetu ila sasa Azam Ni kama fala saa nyingine na huyo Singida Bs simuamini Ngoja tuone
Sahivi tushamuangusha chini linafoot
Tunawafukuzia maghareb nations tuboreshe miundombinu uwekezaji wa maana uwepo kwenye soka tuiangushe psl ndio sub saharan pekee waliobakia mbele yetu maana wa south wana mdomo . All in all haijalishi ni mda gani lazima kombe la caf litakuja Tz
Hahahaha.Mkuu joto la jiwe samahani kama swali langu litakukwaza. Wewe ni gay? Na kwa nini hutaki kua na watoto? Natanguliza samahani lakini



















Msijifananishe na Tz, nyie hali yenu ngumu, uchumi wenu hauwaruhusu.Hahah kwenu si mlikuwa mnacelebrate Regional Commissioners wakitumia izo gari?
Nyinyi ni watu washenzi sana
Mashakahola hayana yanachoexport zaidi ya misaada proposalsHiyo ndio maana halisi ya GDP kubwayaani inaonekana kwa vitendo sio kubakia kwenye karatasi tuu kama ya Mashakahola.
Wanazingua sana yaniAzam ina kwaza sana... Kwa resources na facility waliyo nayo walitakiwa kuongoza ligi.. Ila sijui wanakwama wapi.
Mbona kwenye biashara nyingine anafanya vizuri tuu.. Hii ya mpira inakuwaje?Wanazingua sana yani
Undugulization unaimaliza ile timu
Come out of the closet!
Mwakilishi mwenyewe hana nguvu za kiume😅Yanga tumekufa kiume huko kwa wamangasasa tusubiri African Super League toka kwa mwakilishi wetu number moja tukae kwa kutulia.
Almost wote wanatoka tanzania 😅😅Mashakahola asanteni kwa ukarimu wenu 😅😅😅 actually talent doesn't know bounderies, ninyi hamna talents ndio maana your hearts force you to seek from Tanzania 😂View attachment 2645486