Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe jamaa utakua mwanaharamu au mimba yako ilikua ya kubakwa. Haiwezekani uwe na kauli zisizo na stara hivyo. Mbona ni kawaida kwa mapadri ata wakiacha upadri wanaendelea kuitwa padri tu. Alafu wapo mapadri kibao wanawatoto ata Kama hawajaweka wazi. Wala usione nakashifu imani ya mtu. Ata Mimi ni catholic pia. Ila geza punguza kauli za kuudhi tafadhari vinginevyo ukiona post ni ya kipuuzi kausha na pita kimya
Mimba ya mamako ilikuwaje? Ya mpachikaji mwenye utindio wa ubongo? Dr Slaa aitwe padri na wewe taahira tu na Main stream media wasione hilo na kufanya hilo?
 
A section of Singida town with lake singidani in the background
FB_IMG_1685900175252.jpg
 
Wewe jamaa utakua mwanaharamu au mimba yako ilikua ya kubakwa. Haiwezekani uwe na kauli zisizo na stara hivyo. Mbona ni kawaida kwa mapadri ata wakiacha upadri wanaendelea kuitwa padri tu. Alafu wapo mapadri kibao wanawatoto ata Kama hawajaweka wazi. Wala usione nakashifu imani ya mtu. Ata Mimi ni catholic pia. Ila geza punguza kauli za kuudhi tafadhari vinginevyo ukiona post ni ya kipuuzi kausha na pita kimya
Nimecheka sana wallahi
 
Back
Top Bottom