Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha kwa ground.....what's wrong with Africa.....we really focus on few resorts but 90% of the city is like a dumpsite just like this arusha and all tanzanians towns.....View attachment 2644133
Nikisema tuende kwa greeny planned estates, hakuna mji wowote hapo kenya unaeza battle na Arusha except NAIROBI.. kama unabisha twende ground kichaa wewe
 
Do you even know Nakuru's GDP.....The video itself just shows how the overrated Arusha has nothing on kisumu au mwanza and dodoma are part of arusha the overrated pit stop
Chukua kisumu + nakuru alaf zilete zipambane na arusha kondoo wewe 😅😅
Mukizidiwa point munahamia kwenye GDP na hua nashangaa kuskia mpaka leo hii bado munaongelea GDP ambayo haiwez hata kulipa mishahara
 
Hapana, lakini napenda haki na usawa. Inasikitisha sana kuwa leo hii bado kuna binadamu wasiopata haki na usawa. Wewe unafurahia wengine kunywimwa haki zao lakini nina uhakika utakuwa kwenye hali ngumu kama ukinyang’anywa ingalau hata haki moja unayfurahia kuwa nayo kila siku.

Hakuna haki ya kuwa shoga. Get it deep inside your a&ss.
 
Uchumi unakua, sector ya banking inakua


Screenshot_20230603-060006.jpg
 
Ila uzinzi wa wake za watu ndio maadili ya waafrika, sivyo?. Mkuu, ulichokizoea kwa miaka mingi na kuwa ni sehemu ya maisha yako, usitake kulazimisha kwa wengine iwe ndio hivyo.

Waafrika tumezoea uzinzi na umalaya wa kupitiliza kiasi kwamba tunaona ni jambo la kawaida na kulifanya ni sehemu ya Mila zetu, wakati kiukweli, uzinzi una athari kubwa katika jamii kuliko ushoga ambao hauna madhara yoyote kijamii.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Mzee mbona unaanza kuwa wa kawaida sana, kuna shida gani mwanamke na mwanaume kushiriki tendo ? Hilo ndio lengo la uumbaji. In the end ni lazima mwanamke na mwanaume wakutane washiriki tendo ndio tupate watoto na mwendelezo wa vizazi na jamii.
Ushoga ni laana, inayovuka mipaka yote . It is disgusting. Mtoto wako wa kiume akifanya umalaya angalau ataweza kukuletea mjukuu, akiwa shoga ndio imeisha hiyo.
Hili ni la kupinga kuliko yote.
 
Hata muambiwe hamsikii dimwits.....Kenya is miles ahead of the overrated tz....facts only......Every foreigner and honest tanzanians confess it very seamlessly...


 
Hahaha.....Tanzania is 30 years behind....I like this honest American
 
Okay. Ngoja nizungumze Kwa lugha ya uumbaji. Kuna watu wanaumbwa bila reproductive organs. Kuna watu wanaumbwa na mwili wa kiume lakini wana ovaries na pia kuna wanawake wameumbwa na testicles. Mimi sijui sababu yake ni nini lakini Wewe naona kuna “wajibu” wa kufanya mapenzi Kwa kutumia reproductive organs Za opposite sex. Lakini it’s more complicated than that. Si kila mtu amebeba secondary sexual characteristics kama zako na si kila mtu ana hisia ulizonazo. Usilazimishe matakwa yako Kwa watu wengine kwasababu binadamu hawafanani.

Iko hivi,
Wewe ni shoga, unafokolewa huko kwako na basha lako , hakuna anaejua.
Tatizo linaanza pale mnapotaka sasa eti mtambulike publicly na kupromote, mnataka mhalalishwe, mbaya zaidi mnaenda mbali na kuanza kufundisha na ku-recruit watoto wetu mambo ya ushoga .
Hapo lazima tu-deal na nyie vilivyo.
 
Mkuu, Uganda haijaingiliwa na mtu, sheria za Uganda zinasema ushoga hapana, na Sheria za Marekani zinasema sheria kandamizi hapana.

Kila nchi Iko na sheria yake, Sasa Kama utekelezaji wa katiba ya Marekani unaleta athari kwa nchi nyingine nje ya Marekani, hilo sio lengo la Marekani, hiyo ni shida ya hiyo nchi kuwa tegemezi, mbona North Korea, Iran, Russia zimewekewa vikwazo lakini hawalalamiki?

Mkuu, nchi yoyote Iko na uhuru na maamuzi yake, wachague kati ya vikwazo au kuachana na hiyo sheria, uamuzi ni wenu, lakini hakuna nchi itakayoachwa bila kupata vikwazo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Nimetofautiana na wewe kwenye mtazamo wako juu ya mambo ya ushoga,
Ila hapa nimekubaliana na wewe kuwa shida hapa sio marekani, shida ni Uganda.
 
Hahaha.....Tanzania is 30 years behind....I like this honest American
Siku ambayo kisumu itafika level ya dodoma tag me plz 😅😅😅😅👇👇 manake arusha umekwenda mbali sana





Ukiachilia hayo miradi inayoendelea dodoma 👇👇👇👇😅😅

State house dodoma
Outer ring road 112km dual carriageway
Dodoma international airport
Sport arena + ultra modern stadium
NHC housing project
Farkwa dam
Magufuli government city
SGR + modern dry port + TRC HQ building
Veta training institute
Schools and medical centers. Etc

wengine wanaeza kujazia
 
Mzee mbona unaanza kuwa wa kawaida sana, kuna shida gani mwanamke na mwanaume kushiriki tendo ? Hilo ndio lengo la uumbaji. In the end ni lazima mwanamke na mwanaume wakutane washiriki tendo ndio tupate watoto na mwendelezo wa vizazi na jamii.
Ushoga ni laana, inayovuka mipaka yote . It is disgusting. Mtoto wako wa kiume akifanya umalaya angalau ataweza kukuletea mjukuu, akiwa shoga ndio imeisha hiyo.
Hili ni la kupinga kuliko yote.
Mkuu, tatizo la waafrika ni unafiki, na uwezo mdogo wa kufikiria, mkuu huu mjadala unadhihirisha ni kwa kiasi gani elimu yetu bado haijatukomboa, hivi kweli msomi wa chuo kikuu unawezaje kuzungumza vitu sawa na bibi yangu wa kijijini?, hii ni aibu na ni janga kwa bara letu.

Hii habari ya kutumia Lugha ya "maumbile" au kuzungumza kuhusu habari ya kupata watoto, au mume na mke ndio waliohalalishwa kufanya sex, ni kauli za kizamani Sana, watu wasio na "exposure", watu wenye elimu ndogo na kugubikwa na mafundisho ya dini ndio wanazungumza Lugha za namna hii.

Africa tumetawaliwa na Imani za uchawi na dini,tena dini za kigeni. Hiyo habari za maumbile, kupata watoto, mke na mume, vyote unavitoa katika vitabu na mafundisho ya dini za kigeni(Uislam/Ukristo), "Nothing but continuation of mental slavery, primitivity and inability to think on your own freerly. Sio wote tunaoamini kwenye kupata watoto, kwanini msimuambie Papa,mapadre na masista wapate watoto au wafanye sex Kama kweli binadamu waliumbwa kwa ajili hiyo?.

Punguzeni ushamba kidogo, Kila mtu yupo huru kuishi maisha anayopenda, muhimu asihathiri na kuingilia uhuru wa wengine, amkeni waafrika, dini hizi zinawalemaza akili, kuwajaza ujinga na kuwadanganya Kama huko Shakahola.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom