Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata muambiwe hamsikii dimwits.....Kenya is miles ahead of the overrated tz....facts only......Every foreigner and honest tanzanians confess it very seamlessly...


Mambo ya kale haya unaleta, hakuna ufanano kati ya Tz na Kenya kwa sasa, tuko mbali sn, hamna uwezo wa ku level na sisi, tunafanya mambo makubwa nyie bado mmelala.
 
They invited me to invest in Zanzibar…. I will if they separate from Tanganyika….… Jk… don’t eat me alive now..
you seem to care about the Zanzibar separation, don't you think you should start back home ? I mean that "pwani si Kenya" movement could really use your supports right now.be instrumental of changes if you really want to inspire zanzbarian
 
Public school in Tanzania
20230602_120104.jpg
20230602_120112.jpg
20230602_120115.jpg
20230602_120109.jpg
 
You can never get such ugly aerial views in Nairobi Kenya over a very large area.....the surest way to get an overall score of a city is to just fly above it and daresalaam has proven to be a very ugly city by all standards almost 90% unplanned...



this city hapana
 
Mkuu, tatizo la waafrika ni unafiki, na uwezo mdogo wa kufikiria, mkuu huu mjadala unadhihirisha ni kwa kiasi gani elimu yetu bado haijatukomboa, hivi kweli msomi wa chuo kikuu unawezaje kuzungumza vitu sawa na bibi yangu wa kijijini?, hii ni aibu na ni janga kwa bara letu.

Hii habari ya kutumia Lugha ya "maumbile" au kuzungumza kuhusu habari ya kupata watoto, au mume na mke ndio waliohalalishwa kufanya sex, ni kauli za kizamani Sana, watu wasio na "exposure", watu wenye elimu ndogo na kugubikwa na mafundisho ya dini ndio wanazungumza Lugha za namna hii.

Africa tumetawaliwa na Imani za uchawi na dini,tena dini za kigeni. Hiyo habari za maumbile, kupata watoto, mke na mume, vyote unavitoa katika vitabu na mafundisho ya dini za kigeni(Uislam/Ukristo), "Nothing but continuation of mental slavery, primitivity and inability to think on your own freerly. Sio wote tunaoamini kwenye kupata watoto, kwanini msimuambie Papa,mapadre na masista wapate watoto au wafanye sex Kama kweli binadamu waliumbwa kwa ajili hiyo?.

Punguzeni ushamba kidogo, Kila mtu yupo huru kuishi maisha anayopenda, muhimu asihathiri na kuingilia uhuru wa wengine, amkeni waafrika, dini hizi zinawalemaza akili, kuwajaza ujinga na kuwadanganya Kama huko Shakahola.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Iko hivi mkuu, wala huhitaji kuita watu washamba au primitive, huko ulaya hujaenda pekeyako. Vinginevyo hii pia ni dalili ya primitively and hillbilly.
Hata ulaya na marekani majority bado wanapinga mambo ya ushoga na usagaji.
Kipimo rahisi zaidi kupima civilization ni kuangalia namna gani mtu anaheshimu mtazamo tofauti na wake.
Unasema uhuru, ni kweli uhuru, lakini uhuru lazima uwe na mipaka. Hili ndio linatutofautisha sisi na wanyama wa porini,
Ukisema uwe na uhuru huo unaosema wewe bila mipaka itafika hatua baba ataoa binti yake, si uhuru ? Ni nini tofauti ya binadamu na mbuzi?
Na, hao unaowaona wako civilized mbona hawajataka kuheshimu mtazamo tofauti (wa Uganda ?) kisha kuwaletea vitisho?
Mimi binafsi naheshimu mawazo yako japo kwangu sikubaliani nayo,
Kwa mfano: wewe huamini katika kupata watoto, lakini wazazi wako waliamini katika watoto ndio maana wewe ukawako.
Mkuu ni kweli we can’t exist kama tuna mawazo yanayofanana, kwa hiyo kwenye mapungufu ya mawazo yako wako wanaofidia.
Kwa mfano: imagine leo wanaume wote wa Tanzania wakawa na mawazo kama yako y’a kusema hawataki watoto , unadhani kutakuwa na Tanzania hapo baadae?

Muhimu Zaidi, hapa kwenye kutofautiana mawazo na mitazamo, ili kusiwe na vurugu sasa ni lazima kuwe na sheria na taratibu,
Na sheria hizi zinatungwa pia kuzingatia matakwa ya wengi (demokrasia)
Demokrasia ni civilization, na simply demokrasia means wengi wape,
Watanzania wengi hawataki ushoga. Hii ni Sawa na lazima hawa ndio wasikilizwe. Mambo ya uzinzi nk ni kawaida kwa jamii ila ushoga ni deviation,

Wala sio kama mnavyodai ni sexual nini sijui.
Ni simply abnormality, deviation , disorientation.

Kama wewe pia huamini katika watoto kwangu mimi ni hiyo pia abnormality, sababu hakuna kiumbe hai asiyehitaji reproduction , you reproduce or you perish. This is from biological point of view.
 
On Value Addition

Top Exporters of Pineapple Juice in Africa in 2021

South Africa ~ 7,315 MTs (9th Globally)
Kenya ~ 3,851 MTs
Benin ~ 3,344 MTs
Togo ~ 3,001 MTs
Egypt ~ 1,801 MTs

Notice that Egypt is appearing here although it doesn't produce Pineapples.

Yes, because they are a leading importer in the continent and from what they import, they process and export the Juice

Top Exporters of Prepared or Preserved Pineapples

Kenya ~ 34,476 MTs (5th Globally)
Eswatini ~ 3,577 MTs

All other countries in the continent have less than 1,000 MTs

#DataSpeaks
 
Mkuu, tatizo la waafrika ni unafiki, na uwezo mdogo wa kufikiria, mkuu huu mjadala unadhihirisha ni kwa kiasi gani elimu yetu bado haijatukomboa, hivi kweli msomi wa chuo kikuu unawezaje kuzungumza vitu sawa na bibi yangu wa kijijini?, hii ni aibu na ni janga kwa bara letu.

Hii habari ya kutumia Lugha ya "maumbile" au kuzungumza kuhusu habari ya kupata watoto, au mume na mke ndio waliohalalishwa kufanya sex, ni kauli za kizamani Sana, watu wasio na "exposure", watu wenye elimu ndogo na kugubikwa na mafundisho ya dini ndio wanazungumza Lugha za namna hii.

Africa tumetawaliwa na Imani za uchawi na dini,tena dini za kigeni. Hiyo habari za maumbile, kupata watoto, mke na mume, vyote unavitoa katika vitabu na mafundisho ya dini za kigeni(Uislam/Ukristo), "Nothing but continuation of mental slavery, primitivity and inability to think on your own freerly. Sio wote tunaoamini kwenye kupata watoto, kwanini msimuambie Papa,mapadre na masista wapate watoto au wafanye sex Kama kweli binadamu waliumbwa kwa ajili hiyo?.

Punguzeni ushamba kidogo, Kila mtu yupo huru kuishi maisha anayopenda, muhimu asihathiri na kuingilia uhuru wa wengine, amkeni waafrika, dini hizi zinawalemaza akili, kuwajaza ujinga na kuwadanganya Kama huko Shakahola.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Kuzaa watoto sio option , kwa kiumbe hai yoyote . Ni lazima .
 
Mkuu, tatizo la waafrika ni unafiki, na uwezo mdogo wa kufikiria, mkuu huu mjadala unadhihirisha ni kwa kiasi gani elimu yetu bado haijatukomboa, hivi kweli msomi wa chuo kikuu unawezaje kuzungumza vitu sawa na bibi yangu wa kijijini?, hii ni aibu na ni janga kwa bara letu.

Hii habari ya kutumia Lugha ya "maumbile" au kuzungumza kuhusu habari ya kupata watoto, au mume na mke ndio waliohalalishwa kufanya sex, ni kauli za kizamani Sana, watu wasio na "exposure", watu wenye elimu ndogo na kugubikwa na mafundisho ya dini ndio wanazungumza Lugha za namna hii.

Africa tumetawaliwa na Imani za uchawi na dini,tena dini za kigeni. Hiyo habari za maumbile, kupata watoto, mke na mume, vyote unavitoa katika vitabu na mafundisho ya dini za kigeni(Uislam/Ukristo), "Nothing but continuation of mental slavery, primitivity and inability to think on your own freerly. Sio wote tunaoamini kwenye kupata watoto, kwanini msimuambie Papa,mapadre na masista wapate watoto au wafanye sex Kama kweli binadamu waliumbwa kwa ajili hiyo?.

Punguzeni ushamba kidogo, Kila mtu yupo huru kuishi maisha anayopenda, muhimu asihathiri na kuingilia uhuru wa wengine, amkeni waafrika, dini hizi zinawalemaza akili, kuwajaza ujinga na kuwadanganya Kama huko Shakahola.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
soo unatetea ushoga?
 
Hata muambiwe hamsikii dimwits.....Kenya is miles ahead of the overrated tz....facts only......Every foreigner and honest tanzanians confess it very seamlessly...


Huyu jamaa wanamkomenti ana utoto mwingi...
Tazama comments za American wenzake....
 
Iko hivi mkuu, wala huhitaji kuita watu washamba au primitive, huko ulaya hujaenda pekeyako. Vinginevyo hii pia ni dalili ya primitively and hillbilly.
Hata ulaya na marekani majority bado wanapinga mambo ya ushoga na usagaji.
Kipimo rahisi zaidi kupima civilization ni kuangalia namna gani mtu anaheshimu mtazamo tofauti na wake.
Unasema uhuru, ni kweli uhuru, lakini uhuru lazima uwe na mipaka. Hili ndio linatutofautisha sisi na wanyama wa porini,
Ukisema uwe na uhuru huo unaosema wewe bila mipaka itafika hatua baba ataoa binti yake, si uhuru ? Ni nini tofauti ya binadamu na mbuzi?
Na, hao unaowaona wako civilized mbona hawajataka kuheshimu mtazamo tofauti (wa Uganda ?) kisha kuwaletea vitisho?
Mimi binafsi naheshimu mawazo yako japo kwangu sikubaliani nayo,
Kwa mfano: wewe huamini katika kupata watoto, lakini wazazi wako waliamini katika watoto ndio maana wewe ukawako.
Mkuu ni kweli we can’t exist kama tuna mawazo yanayofanana, kwa hiyo kwenye mapungufu ya mawazo yako wako wanaofidia.
Kwa mfano: imagine leo wanaume wote wa Tanzania wakawa na mawazo kama yako y’a kusema hawataki watoto , unadhani kutakuwa na Tanzania hapo baadae?

Muhimu Zaidi, hapa kwenye kutofautiana mawazo na mitazamo, ili kusiwe na vurugu sasa ni lazima kuwe na sheria na taratibu,
Na sheria hizi zinatungwa pia kuzingatia matakwa ya wengi (demokrasia)
Demokrasia ni civilization, na simply demokrasia means wengi wape,
Watanzania wengi hawataki ushoga. Hii ni Sawa na lazima hawa ndio wasikilizwe. Mambo ya uzinzi nk ni kawaida kwa jamii ila ushoga ni deviation,

Wala sio kama mnavyodai ni sexual nini sijui.
Ni simply abnormality, deviation , disorientation.

Kama wewe pia huamini katika watoto kwangu mimi ni hiyo pia abnormality, sababu hakuna kiumbe hai asiyehitaji reproduction , you reproduce or you perish. This is from biological point of view.
Mkuu, Kila mtu mzima anayo maamuzi yake mwenyewe, baba yangu na Mimi ni watu wawili tofauti, alichokiamua baba yangu kuwa na watoto, sio lazima na Mimi nikifuate, Mimi pia Niko huru kuchagua njia na maisha yangu, kwani kabla ya kunizaa alinishirikisha?, huwezi jua huenda ningekataa kuzaliwa, usichukulie kuzaliwa kwangu Kama ni ushindi na jambo la maana sana kiasi Cha kutaka nimpongeze mzazi wangu, yeye alifanya kwa uamuzi wake kwa kutumia utashi na matakwa yake, ambayo huenda sikubaliani nayo, yeye ni uhuru wake wa maamuzi Kama binadamu huru.

Hivi mkuu, kwanini usiende Vatican ukawaambia kuanzia Papa, Mapadre na masista wote kwamba wanakwenda kinyume na lengo la Mungu ambalo ni watu kuzaana?, au kuoana na kuzaana kumeumbiwa waafrika pekee?.

Kwani papa katika Imani yetu ya kikatoliki si ndiye mwakilishi wa Mungu hapa duniani, vipi anakwenda kinyume na matakwa ya Mungu?, hivi Kama sio baba yake kumzaa tungepata wapi Papa Kama yeye?, na Mapadre na masista wangepatikanaje?, Mkuu mbona unajenga hoja nyepesi kiasi hicho?

Mkuu, huko Ulaya na Marekani, miaka 100 iliyopita walikua waumini wa Imani za dini Sana, kuzidi hata sisi huku Afrika, lakini baada ya jamii kuendelea kuelimika, Leo hii wajapan wenye kuamini Mungu ni 5%, Ulaya haizidi 20% na mwelekeo unazidi kwenda chini. Imani za ushoga nazo mwendo ni huo huo, miaka 40 iliyopita hawakua wakikubalika huko Ulaya na America, hivi Sasa hadi viongozi wa dini wapo mashoga na wanakubalika.

Mkuu, Education is a social vaccine, people need to be vaccinated against social diseases like religion, superstition, gossip, and unscientific way of reasoning, the only vaccine to eradicate the Shakahola and homophobia is to educate communities. Africans are far from being vaccinated.

Kila nchi iamue vile inadhani inapenda, Uganda inapenda kuwahukumu na kuwaua mashoga, USA inapenda kuziwekea vikwazo nchi zote zenye Sheria kandamizi.

Kwako wewe unaona Marekani kuiwekea vikwazo Uganda sio demokrasia, lakini Uganda kuwaadhibu baadhi ya raia wake ni demokrasia. Hivi baba akiwatesa watoto wake alio wazaa, serikali haipaswi kuingilia?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Am baaack!… what did I miss?….. on a new note, just watched live a moment ago… FAITH KIPYEGON just broke the World Record in the metric Mile ( 1500 m)…in Florence, Italy…..Congratulations to our golden girl!
Uko yues na Bando huna! Shenz tyme!!
 
Back
Top Bottom