Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yes, ni kiumbe hai ndiyo na ndiyo maana Yesu aliamuru upepo tulia ukatii. Kuna viumbe hai vingi tu sayansi bado imeshindwa kuvijua, mfano ardhi, maji, upepo n.k

1. Ardhi ni kiumbe hai ndiyo maana inakuwa, inaishi na inakufa.

2. Maji ni uhai, hatuwezi kusema hivyo alafu maji yenyewe yasiwe hai.

3. Upepo nishaelezea...
Kwahio nikiamuru laptop yangu kwa kuiambia zima.. na ikazima ..laptop yangu inakuwa kiumbe hai?
Au hata hizi simu zetu, ukisema switch off, na ikaswitch off.. simu inakuwa kiumbe hai?
 
Hata dini mkuu, zimeshindwa na kukosea katika maeneo mengi kushinda hata sayansi. Uzuri wa Sayansi ni kwamba ni kitu kinachokua na kubadilika Kila siku. Quran na Bible ndio zimefika mwisho, there is no new updates ",,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huku mzee unadhihirisha ujinga uliokithiri.. Quran haijaakueleza chochote kile na imetabiri pia yatakayokuja zama hizi na hadi mwisho, hata haya maelezo yako ya kipuuzi pia Qur'an ilitabiri watakuja watu wa aina ya upuuzi wako ..
 
Kwahio nikiamuru laptop yangu kwa kuiambia zima.. na ikazima ..laptop yangu inakuwa kiumbe hai?
Huwezi kuiamuru kwa kusema ikatii, kwanza laptop ni man made upepo sio man made ni natural, umeumbwa kama ulivyoumbwa wewe.
 
Siyo kwa maeneo yote. Yapo yaliyokuwa mazuri na mengine yalikuwa siyo. Ila kwa upande wa kuzikomboa nchi nyingine zilizokuwa zinakandamizwa na wakoloni hapo nakuwa upande wa Ujamaa.
In most cases ujamaa/Ukomunist una disadvantages nyingi sana Baadhi yake ni kama
Kuua spirit ya ubunifu maana no incentive,
Inaua aggressivess na kujitegemea Kwa sababu haikupi reward ya jasho lako,
Inaleta utegemezi Kwa Serikali na ulalamishi
Inaondoa uhuru wa maoni na patent rights,
Inategemea propaganda,hisia zaidi kuliko uhalisia,
Ni mfumo wa ukatili maana Vitisho ndio msingi wake,
Ni mfumo wa kutuliza mtu au kakikundo ka watu waliojipa madaraka,
Ni mfumo unaopendelea watu wawe maskini Ili watawaliwe Kwa maslahi ya kakikundi au mtu mwenye Nguvu,


Hiyo ni Baadhi tuu ,binafsi I hate this system totally.
 
Yah according to holy books upepo ni kiumbe hai, so lazima kitakuwa na rangi na shape pia.
Holy books?, books za wazungu na waarabu, ambao hao hao wanatuletea ushoga na tunaukataa. Walipotuletea vitabu vyao tukaviita "Holy books" Leo hii maagizo Yao ushoga kwanini pia tusiyaite "Holy directives?".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la watu wenye kuamini dini lipo hapo, kutaka kulazimisha na kuaminisha Dunia kwamba "Mungu" ndio mwisho wa Kila kitu, hiyo ni Imani tu, kwa ambaye hana hiyo Imani asilazimishwe kuamini Hilo, Kila mtu awe huru kuamini nakufuata akili yake.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hapa mzee ndipo unapokuja kufeli big time.. ukiangalia mbingu (imasimama juu huko where no man/device in those scientific researches amewahi kufika), ukiangalia bahari, Ardhi na kifo kwa mtu mwenye akili timamu hizo ni dalili tosha za uwepo wa Mungu.. kisayasi Ili structure yoyote isimame ni lazima kuwe na nguzo, umeshawahi kuona nguzo zilizoshikilia mbingu.? Au umeshawahi kuona mbingu ikifanyiwa marekebisho..

Tunajua sayansi hutibu magonjwa tofauti, je sayansi inaweza tibu kifo.? Yani kufufua...? Sayansi inaweza kumrudishia mtu kiungo chake (mkono/mguu uliovunjika au kukatwa) kikafanya kàzi kama ilivyokuwa awali.?

Yote haya hayakwambii kama kuna Mungu, muweza wa yote..? Then you ar a walking dead bro..
 
Yes, ni kiumbe hai ndiyo na ndiyo maana Yesu aliamuru upepo tulia ukatii. Kuna viumbe hai vingi tu sayansi bado imeshindwa kuvijua, mfano ardhi, maji, upepo n.k

1. Ardhi ni kiumbe hai ndiyo maana inakuwa, inaishi na inakufa.

2. Maji ni uhai, hatuwezi kusema hivyo alafu maji yenyewe yasiwe hai.

3. Upepo nishaelezea...
Mwenzako ichoboy01 amesema uhai unatokana na kupuliziwa "roho", kwahiyo hivyo vyote ulivyovitaja pia vilipuliziwa" roho?".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Holy books?, books za wazungu na waarabu, ambao hao hao wanatuletea ushoga na tunaukataa. Walipotuletea vitabu vyao tukaviita "Holy books" Leo hii maagizo Yao ushoga kwanini pia tusiyaite "Holy directives?".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wanaoharibu hii dunia ni wamarekani na ilishatabiriwa, pia ikikupendeza naomba unitajie ni taifa gani hilo la wazungu lililoanzisha hizo holy books. Na mbona hawajajipendelea kuweka manabii wao wa kizungu.
 
Mwenzako ichoboy01 amesema uhai unatokana na kupuliziwa "roho", kwahiyo hivyo vyote ulivyovitaja pia vilipuliziwa" roho?".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mungu aliumba viumbe kwa dizaini tofauti tofauti, kuna walioumbwa kwa udongo, kuna walioumbwa kwa moto, kila kiumbe kimeumbwa kwa style yake.
 
Yah miaka ya mbele huko watagundua viumbe hai vingi tu mana sayansi haijafika mwisho.
Mkuu ngoja nikueleweshe 😅
Upepo ni mkusanyiko wa hewa. Na hewa ni mkusanyiko wa gases mbalimbali zikijumuisha oxygen na nitrogen, na hizi gases zote ni colorless.. sasa itakuwaje upepo una rangi? wakat kinachotengeneza upepo ni colorless. Au mwenzetu umewah kuona rangi ya oxygen?

Na upepo unatokea pale kuna difference ya air pressure kutoka kwenye pressure kubwa kwenda kwenye pressure ndogo.. ishu ya Yesu kusimamisha upepo ni beyond science (hapa ni ukuu wa Mungu) kwamba alisimamisha upepo usisafiri even thou kulikuwepo na uwezekano wa kuwepo kwa air pressure difference, same case kupaa juu against gravity.. kutumia kigezo za upepo kusimamishwa sio kwamba upepo ni kiumbe hai, no.. na mamlaka au ukuu wa Mungu kufanya hivyo upepo usimame. Umeelewa?
 
Wanaoharibu hii dunia ni wamarekani na ilishatabiriwa, pia ikikupendeza naomba unitajie ni taifa gani hilo la wazungu lililoanzisha hizo holy books. Na mbona hawajajipendelea kuweka manabii wao wa kizungu.
Holy books kwa maana ya Biblia, walioindika ni kina "Luka, Mathayo, Peter, Wakoritho na wengineo, hao sio wazungu?. Chimbuko la Biblia ni wapi Kama sio watu weupe, hapa Afrika zilifanya kuletwa tu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Holy books?, books za wazungu na waarabu, ambao hao hao wanatuletea ushoga na tunaukataa. Walipotuletea vitabu vyao tukaviita "Holy books" Leo hii maagizo Yao ushoga kwanini pia tusiyaite "Holy directives?".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
We jamaa usome Bro, otherwise usituletee story yoyote hapa whether umetuelezea vizur or not, kama utakataa kuhusiana na holy books, kwasababu hizo history books zote zimeandikwa na watu weupe..

By the way Qur'an imeeleza hadi ni nani alikua wa kwanza kuingiliwa kinyume na maumbile na ikapinga vikali matukio hayo.. unajua kwanini hizo story zilisimuliwa kwenye holy books.?

Je, hizo story zitatusaidia nini sisi kizazi cha wakati huu.? Kwa mwenye akili za kawaida kama zako anaweza kujiuliza swali hili..

Mungu anasema "Inna fii'dhalika li'ibratan liman'yaghshaa" hizo story zote zilisimuliwa Ili iwe ni mazingatio kwa wenye kumcha Mwenyezi Mungu..
 
Back
Top Bottom