Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bora tuwakubali wahindi na wapakistan kuliko Wakenya mkuu, hao wahindi na wapakistan hawana tatizo lolote na Watz ila Wakenya sio watu kabisa. Mombasa ni sehemu ya Tz haina shida na watu wake wengi wana elements za ki Tz ila Wakenya weusi kutoka maeneo mengine ukiacha Mombasa ni mbwa sana.
Watu wa pwani wenyewe hawawapendi hawa wa central na milimani nakumbuka kile kipindi walichotaka kujitenga


Wakaleta ile slogan pwani si Kenya


Viongozi wa ile movement sijui waliwaua waliwapoteza kabisa
 
👏👏👏👏👏🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
20230530_150724.jpg
 
kushirikiana nao kwenye biashara sio tatizo lakini sio kwenye masuala ya sheria na utamaduni wa nchi na watu wake hilo hapana mzee usilazmishe sheria zao ziwe zetu kwa mlango wa nyuma wa haki za binaadamu kama wao ni mashoga wakae na ushoga wao sio lazima uwepo africa mzee
Wao wameamua kujitoa kushirikiana na nchi yoyote wanayohisi ni kandamizi, tusilalamike, tuwaache waende.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 

So this act is about DEFIANCE? But let me ask you a question. How do western countries bring homosexuality to Africa? Do they carry it via cargo planes, boats, container ships? I’m curious.

From what i learned, the new law is meant to “preserve Ugandan values,” and they use religion as the basis of their actions. It’s ironic because Christianity was brought into Uganda by WESTERNERS. That is a fact. But there is no evidence that Homosexuality is imported because even animals can be homosexual. And another interesting thing is that Christianity at its core is an ideology built upon LOVE. Jesus never spoke anything against homosexuals, and I’m certain that they existed when he was around. How can you call yourself a Christian if your actions contradict your own religion?
 
Not only 12 Kenyans, mpo wengi mnaotaka uraia wa Tanzania sema tunawabana ktk kuwapa uraia nyie Wakenya la sivyo mngekuwa maelfu kwa maelfu.
Lazima wakimbie maisha magumu , ardhi ya watu wachache na ukabila .

Halafu wanatuletea azimio la ardhi ya pamoja ya Afrika mashariki

Tukawaambia waache ufala . Na tumewapiga pin kweli

Kuna thread twitter inasema why you should invest in Tz yule mkenya amemwaga madini kweli vitu vilivyopo
.

Ila kwenye reply ukizisoma kule wakenya wanalalamika wao ni ngumu kufanya hivyo sababu tunawachukia wanaogopa ...

Nikasema yes Kumbe mnajua bora mtu yeyote East Africa na Africa kwa ujumla Ila sio mkenya
 
Kitu usichotaka kusikia ni kuwa hiyo act iliyopitishwa Uganda ina-undermine haki za binadamu. Watu kama nyie mnaona Sawa Kwa baadhi ya makundi kwenye jamii kukandamizwa, kudharauliwa, hata pia kufungwa na kuuawa kwasababu haikuathiri kwa namna yoyote.

Tolerance ni kitu ambacho Tanzania imesimamia tangu nchi ipate uhuru. Ndio Maana tunaishi kwa amani tofauti na majirani zetu. Kuheshimu TOFAUTI za watu wengine kama dini zao au madhehebu yao au makabila yao si tofauti na kuheshimu haki za mashoga. Kama Wewe unafurahia kuishi Kwa uhuru bila kuumizwa na watu wengine kwanini utumie uhuru wako kusababisha harm Kwa binadamu mwingine? Huwezi kusema kuwa LIFESTYLE ya mtu mwingine inakukosesha Amani wakati Huyo mtu hajakukosea Kwa kitu chochote. Hiyo ni BIGOTRY. Na wengi humu mmejaa chuki zisizo na sababu.
Ushoga haukubaliki hata mkijificha kwenye kichaka cha haki za binadamu, kwanza ukiacha katazo la kidini kuhusu ushoga lkn hata kisayansi ushoga una athari nyingi, mtu ukiwa shoga baadaye una haribikiwa, sasa kama una athari kwnn tuu tolerate?

Mzazi gani angependa awe na mtoto shoga? Unakuwa shoga ili iweje? Mana lengo kuu la sex ukiacha starehe ni kuzaana, je unakuwa shoga ili uzae au? Na kwnn shoga hazai? Ile sehemu ipo kule nyuma sio kwasababu za kuingiliwa bali kujisaidia tu na si vinginevyo, hata mwanamke anayefanywa kule nyuma mwishowe hupata hitilafu kubwa za kimwili, kwnn mnalazimisha kuwe na usawa kwenye jambo ovu namna hiyo?

Kwnn tusiungane kupinga kwa dhati kabisa tabia hizi za kishenzi? unasema mtu akiwa shoga hamuathiti mtu mwingine na kwamba aachwe, je mtu akiwa teja anamuathiri nani? Mbona mateja mnawasumbua wakati hawawaathiri chochote? Kwnn machoko mnataka tuwaache?
 
Haki za binaadamu ni zipi?? Mbona walimuua gadafi na sadam husein au haki za binaadamu hazikuwepo?? Usifiche maovu na usherati kwa kusingizia haki za binaadamu mangapi ya ugaidi yanafanyika kwenye nchi zao na husikii wakitaja haki za binaadamu au haki za binaadamu ziko africa tu ?? Kwa vile ushoga wanoutaka wao ndio uwe uhuru kwa africa na kwann africa kwann sio asia ?? Mbona huko hawafanyi wanayoyafanya africa au haki za binaadamu ziko africa tu ?? Kuna maswali mengi sana nyuma ya pazia huwez yajibu na hii mada sio size yako mzeee achana nayo

Kuharibu kizazi ni haki za binaadamu
Hivi Kuna watu washerati Kama waafrika?, au "definition" ya uasherati imebadilika siku hizi?. Wazungu wameamua kutoshirikiana na nchi yoyote wanayodhani sheria zao haziendani na zao, huko sio kulazimisha kitu. Waafrika tulieni kwenu kwenye sheria na maadili mazuri, wacheni kushirikiana na nchi za Ulaya na Marekani zenye laana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Haki za binaadamu ni zipi?? Mbona walimuua gadafi na sadam husein au haki za binaadamu hazikuwepo?? Usifiche maovu na usherati kwa kusingizia haki za binaadamu mangapi ya ugaidi yanafanyika kwenye nchi zao na husikii wakitaja haki za binaadamu au haki za binaadamu ziko africa tu ?? Kwa vile ushoga wanoutaka wao ndio uwe uhuru kwa africa na kwann africa kwann sio asia ?? Mbona huko hawafanyi wanayoyafanya africa au haki za binaadamu ziko africa tu ?? Kuna maswali mengi sana nyuma ya pazia huwez yajibu na hii mada sio size yako mzeee achana nayo

Kuharibu kizazi ni haki za binaadamu
Hao US mbn hawawasumbui Saudi Arabia ambao hawaruhusu ushoga wanakuja kuisumbua Uganda.
 
(Ni utamaduni wa dunia nzima kwamba mwanaume kwa mwanamke na si vinginevyo, hilo suala la mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke wanalileta kwa itikadi zao na mpaka sasa hatuelewi kwa nini wanalazimisha iwe hivyo, so hatuwezi kuliacha liendelee kuwa hivyo mana si utaratibu wetu wa Afrika.")

Mkuu, utamaduni ni mambo yanayobadilika kwasababu jamii pia zinabadilika, Kuna tamaduni nyingi Sana ambazo hazikuwepo, au zilikuwepo kwa kiasi kidogo Sana miaka ya 1970s lakini hivi Sasa hazipo.

Mfano mzuri ni utamaduni wa mavazi, miaka ya 1970s vazi la suruali lilikua ni kwa ajili ya wanaume, na shorts(Kaptula), ndio kabisaa, ni WA awake wa kizungu tu ndio ambao walikua wanavaa, hii Leo ni "Opposite".

Mkuu, 98% ya dini na mfumo wa maisha ya hivi Sasa unafuata sheria za dini za kigeni(Uislan na Ukristo), hata huo ushoga unapingwa kwa kutumia Sheria za kidini zaidi kuliko Sheria za kitamaduni.

Sheria zetu za kimila zinaruhusu ndoa za wake wengi, lakini wakristo hawaitumii badala yake wameamua kuo mke mmoja.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi nimegusia suala la ushoga ni kinyume kabisa na tamaduni za binadamu sio tu Africa bali dunia nzima na hata wanyama ambao wamezaliwa na jinsia moja hawaingiliani na jinsia yake bali jinsia tofauti na ya kwake, huwa inashangaza sana ukiona wanyama wa jinsia moja wanaingiliana na ni very rare, iweje sisi tulichekee jambo kama hilo kwa misingi ya haki za binadamu?
 
Ninakubaliana na wewe kwa yote uliyoandika, isipokua sehemu Moja tu
" Pili, mashoga pia wanao uwezo wa kuzaa". Hii sehemu sio sahihi, hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kubeba mimba, bado hiyo technology duniani haipo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Alimaanisha wana uwezo wa kuzaa kwamba akiingiliana na mwanamke, sasa kama kuzaa mpaka aingiliane na mwanamke lengo hasa la kuwa shoga ni nini.
 
Kitu usichotaka kusikia ni kuwa hiyo act iliyopitishwa Uganda ina-undermine haki za binadamu. Watu kama nyie mnaona Sawa Kwa baadhi ya makundi kwenye jamii kukandamizwa, kudharauliwa, hata pia kufungwa na kuuawa kwasababu haikuathiri kwa namna yoyote.

Tolerance ni kitu ambacho Tanzania imesimamia tangu nchi ipate uhuru. Ndio Maana tunaishi kwa amani tofauti na majirani zetu. Kuheshimu TOFAUTI za watu wengine kama dini zao au madhehebu yao au makabila yao si tofauti na kuheshimu haki za mashoga. Kama Wewe unafurahia kuishi Kwa uhuru bila kuumizwa na watu wengine kwanini utumie uhuru wako kusababisha harm Kwa binadamu mwingine? Huwezi kusema kuwa LIFESTYLE ya mtu mwingine inakukosesha Amani wakati Huyo mtu hajakukosea Kwa kitu chochote. Hiyo ni BIGOTRY. Na wengi humu mmejaa chuki zisizo na sababu.
20230511_141716.jpg
 
Mkuu mimi nimegusia suala la ushoga ni kinyume kabisa na tamaduni za binadamu sio tu Africa bali dunia nzima na hata wanyama ambao wamezaliwa na jinsia moja hawaingiliani na jinsia yake bali jinsia tofauti na ya kwake, huwa inashangaza sana ukiona wanyama wa jinsia moja wanaingiliana na ni very rare, iweje sisi tulichekee jambo kama hilo kwa misingi ya haki za binadamu?
Mkuu, hata wanyama wapo mashoga, Kama ilivyo kwa binadamu japo ni very "rare", hata kwa binadamu pia ushoga upo japo ni very "rare". Inashangaza Sana kuona wanyama wanavumiliana kuwa na wenzao ambao tabia zao ni tofauti lakini binadamu tunashindwa kuvumilian, huu ni ubinafsi wa hali ya juu Sana wa binadamu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ushoga haukubaliki hata mkijificha kwenye kichaka cha haki za binadamu, kwanza ukiacha katazo la kidini kuhusu ushoga lkn hata kisayansi ushoga una athari nyingi, mtu ukiwa shoga baadaye una haribikiwa, sasa kama una athari kwnn tuu tolerate?

Mzazi gani angependa awe na mtoto shoga? Unakuwa shoga ili iweje? Mana lengo kuu la sex ukiacha starehe ni kuzaana, je unakuwa shoga ili uzae au? Na kwnn shoga hazai? Ile sehemu ipo kule nyuma sio kwasababu za kuingiliwa bali kujisaidia tu na si vinginevyo, hata mwanamke anayefanywa kule nyuma mwishowe hupata hitilafu kubwa za kimwili, kwnn mnalazimisha kuwe na usawa kwenye jambo ovu namna hiyo?

Kwnn tusiungane kupinga kwa dhati kabisa tabia hizi za kishenzi? unasema mtu akiwa shoga hamuathiti mtu mwingine na kwamba aachwe, je mtu akiwa teja anamuathiri nani? Mbona mateja mnawasumbua wakati hawawaathiri chochote? Kwnn machoko mnataka tuwaache?
Okay. There’s a lot to unpack here.

Tuanze na hii point yako:

Ushoga haukubaliki hata mkijificha kwenye kichaka cha haki za binadamu, kwanza ukiacha katazo la kidini kuhusu ushoga lkn hata kisayansi ushoga una athari nyingi, mtu ukiwa shoga baadaye una haribikiwa, sasa kama una athari kwnn tuu tolerate?

Hizi athari za kisayansi unazozizungumzia ni zipi? Mtu anaharibikiwa kivipi? Nipe SCIENTIFIC explanations si story za viniweni.

Mzazi gani angependa awe na mtoto shoga? Unakuwa shoga ili iweje? Mana lengo kuu la sex ukiacha starehe ni kuzaana, je unakuwa shoga ili uzae au? Na kwnn shoga hazai? Ile sehemu ipo kule nyuma sio kwasababu za kuingiliwa bali kujisaidia tu na si vinginevyo, hata mwanamke anayefanywa kule nyuma mwishowe hupata hitilafu kubwa za kimwili, kwnn mnalazimisha kuwe na usawa kwenye jambo ovu namna hiyo?
Sikatai kwamba wazazi wengi wana expectations za watoto wao kuishi maisha “typical,” that is kufanya ndoa na kuishi kama baba na mama na kuzaa watoto. Lakini Hakuna mtu anayechagua kuwa shoga. Ni Sawa na Wewe ambaye si shoga useme leo kuwa unaamua kuwa shoga. Nina uhakika haiwezekani. Na hii ni misconception kubwa kwasababu watu wengi wanadhani mashoga wamechangua kuwa hivyo walivyo.

Kuhusu mashoga kuzaa naomba usome replies zangu nyingine kwasababu nimeshaeleza kiundani. Mashoga wanaweza kuwa na watoto wao. Simaanishi kuwa mwanaume anaweza kuwa na uterus. Namaanisha kuwa anaweza kutumia sperm yake na eggs Za mwanamke kufanya fertilization via IVF! Hii ni science.

Na Wewe si mtu wa kuamua kuwa ushoga ni uovu. You come from Religion na inanishangaza kuwa unadhani unaweza kuamua maisha ya kila mtu Kwa kutumia Imani yako. Know your limits.

Kwnn tusiungane kupinga kwa dhati kabisa tabia hizi za kishenzi? unasema mtu akiwa shoga hamuathiti mtu mwingine na kwamba aachwe, je mtu akiwa teja anamuathiri nani? Mbona mateja mnawasumbua wakati hawawaathiri chochote? Kwnn machoko mnataka tuwaache?

Na hapa nilikuwa napasubiri. SIKU ZOTE watu wanatumia OTHER CRIMINAL OFFENSES kulinganiha na homosexuality. And it doesn’t make SENSE. Huwezi kusema kuwa jambo Fulani ni crime kwa kulinganisha na crime nyingine na hii inaonyesha jinsi argument yako ilivyo WEAK. Any criminal offense will have adverse effects on the people responsible and those affected. Sasa niambie adverse affects Za homosexuality kwa individual na jamii.
 
Alimaanisha wana uwezo wa kuzaa kwamba akiingiliana na mwanamke, sasa kama kuzaa mpaka aingiliane na mwanamke lengo hasa la kuwa shoga ni nini.
Swali zuri Sana mkuu

Lengo hasa la kuwa shoga ni nini Kama hawawezi kuzaa?

98% of sexual intercourse done by human beings is for pleasure, not for reproduction.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom