Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu usichotaka kusikia ni kuwa hiyo act iliyopitishwa Uganda ina-undermine haki za binadamu. Watu kama nyie mnaona Sawa Kwa baadhi ya makundi kwenye jamii kukandamizwa, kudharauliwa, hata pia kufungwa na kuuawa kwasababu haikuathiri kwa namna yoyote.

Tolerance ni kitu ambacho Tanzania imesimamia tangu nchi ipate uhuru. Ndio Maana tunaishi kwa amani tofauti na majirani zetu. Kuheshimu TOFAUTI za watu wengine kama dini zao au madhehebu yao au makabila yao si tofauti na kuheshimu haki za mashoga. Kama Wewe unafurahia kuishi Kwa uhuru bila kuumizwa na watu wengine kwanini utumie uhuru wako kusababisha harm Kwa binadamu mwingine? Huwezi kusema kuwa LIFESTYLE ya mtu mwingine inakukosesha Amani wakati Huyo mtu hajakukosea Kwa kitu chochote. Hiyo ni BIGOTRY. Na wengi humu mmejaa chuki zisizo na sababu.
Haki za binaadamu ni zipi?? Mbona walimuua gadafi na sadam husein au haki za binaadamu hazikuwepo?? Usifiche maovu na usherati kwa kusingizia haki za binaadamu mangapi ya ugaidi yanafanyika kwenye nchi zao na husikii wakitaja haki za binaadamu au haki za binaadamu ziko africa tu ?? Kwa vile ushoga wanoutaka wao ndio uwe uhuru kwa africa na kwann africa kwann sio asia ?? Mbona huko hawafanyi wanayoyafanya africa au haki za binaadamu ziko africa tu ?? Kuna maswali mengi sana nyuma ya pazia huwez yajibu na hii mada sio size yako mzeee achana nayo

Kuharibu kizazi ni haki za binaadamu๐Ÿ˜†๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Sasa mbona hakuna mtanzania hata mmoja aliyeomba uraia wa Kenya na kuukataa uraia wake wa Tanzania lakini Kuna raia wengi Sana wa Tanzania waliochukua uraia wa nchi zingine na kuukataa uraia wa Tanzania?.

Kenya is shithole country, there is no a single Tanzanian who would deny his/her citizenship for a Kenyan passport.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakuna mtanzania angependa kuwa mkenya ila over 90% ya Wakenya wangependa kuwa Watz hata hawa wa humu.
 
Huwez kulazmisha ushoga ambao ni laana kubwa sana kwa kigezo cha haki za binaadamu na democracy never ever kwanza ukiangalia nyuma ya haki za binaadamu kuna matukio yakutisha na propaganda

Hakuna mtu aliyelazimishwa ushoga, ila Marekani imekataa kushirikiana na nchi yoyote yenye sheria kandamizi ya ushoga. Sisi wenye akili na dini nzuri, tujipange Ili tuwatenge wale wote ambao katiba zao zinaruhusu ushoga.

Hivi iweje tunalazimisha kushirikiana na nchi zenye laana Kama USA?, Mimi nilitegemea tungefurahia Marekani kuacha kushirikiana na Afrika kwasababu watatuambukiza laana ya ushoga, badala yake tunataka kuendelea kushirikiana na Taifa lililo na laana,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
kushirikiana nao kwenye biashara sio tatizo lakini sio kwenye masuala ya sheria na utamaduni wa nchi na watu wake hilo hapana mzee ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† usilazmishe sheria zao ziwe zetu kwa mlango wa nyuma wa haki za binaadamu kama wao ni mashoga wakae na ushoga wao sio lazima uwepo africa mzee
 
SADC ilitakiwa tanzania isiwepo ila wakaikubali tanzania kwa vigezo vya kuchagiza uhuru wa nchi zao ndio maana tanzania pia ni mwanachama wa SADC akili kubwa tu ndio inaweza kuelewa ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Hata kama tusingekuwepo waha tusingepata hasara yeyote na hata baada ya kuwepo hakuna kitu chochote Cha maana tunapata..

Tanzania Iko kwenye Kanda yenye fursa na Nguvu zaidi hii ya East/Eastern Africa
 
Mkuu suala la ushoga halihusiani na imani, ni utamaduni wa mwafrika tangu enzi na enzi, kwamba mwanaume kwa mwanamke na si vinginevyo. Kuhusu Mungu hiyo imani ya kuamini uwepo wa Mungu hatujaletewa waafrika bali ipo miaka nenda rudi isipokuwa kuna jinsi tulivyokuwa tunaamini sisi waafrika, hakuna taifa lililofundishwa uwepo wa Mungu isipokuwa tunatofautiana jinsi ya kuabudu, sisi tulikuwa na utamaduni wetu wa kuamini.

Ni utamaduni wa dunia nzima kwamba mwanaume kwa mwanamke na si vinginevyo, hilo suala la mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke wanalileta kwa itikadi zao na mpaka sasa hatuelewi kwa nini wanalazimisha iwe hivyo, so hatuwezi kuliacha liendelee kuwa hivyo mana si utaratibu wetu wa Afrika.
(Ni utamaduni wa dunia nzima kwamba mwanaume kwa mwanamke na si vinginevyo, hilo suala la mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke wanalileta kwa itikadi zao na mpaka sasa hatuelewi kwa nini wanalazimisha iwe hivyo, so hatuwezi kuliacha liendelee kuwa hivyo mana si utaratibu wetu wa Afrika.")

Mkuu, utamaduni ni mambo yanayobadilika kwasababu jamii pia zinabadilika, Kuna tamaduni nyingi Sana ambazo hazikuwepo, au zilikuwepo kwa kiasi kidogo Sana miaka ya 1970s lakini hivi Sasa hazipo.

Mfano mzuri ni utamaduni wa mavazi, miaka ya 1970s vazi la suruali lilikua ni kwa ajili ya wanaume, na shorts(Kaptula), ndio kabisaa, ni WA awake wa kizungu tu ndio ambao walikua wanavaa, hii Leo ni "Opposite".

Mkuu, 98% ya dini na mfumo wa maisha ya hivi Sasa unafuata sheria za dini za kigeni(Uislan na Ukristo), hata huo ushoga unapingwa kwa kutumia Sheria za kidini zaidi kuliko Sheria za kitamaduni.

Sheria zetu za kimila zinaruhusu ndoa za wake wengi, lakini wakristo hawaitumii badala yake wameamua kuo mke mmoja.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kama makanisa yanakashafa hizo ni wao sisi tunasali kwa Mungu sio mwanadamu Mungu aliumba Mwanaume na Mwanamke akasema mkazae muijaze dunia , Mashoga wanawezaje kuzaa etc , kama wao ni mashoga sawa , ila wasilazimishe watu eti kufunga biashara kisa ushoga , wakati wao wanafanya mambo ya ajabu inculding pedophilia
Kuna disinformation nyingi kuhusu mashoga na umezitaja mbili: kwamba hawawezi kuzaa watoto na pia ni Pedophiles. Sikatai kwamba kuna mshoga ambao hawana uwezo wa kuzaa au mashoga ambao ni pedophiles LAKINI hizi si defining characters exclusive to them! Kanisa Katoliki Lina maelfu na maelfu ya kesi za PRIESTS abusing children sexually AKA PEDOPHILIA lakini ni watu wachache sana ambao wanasema kuwa kanisa Katoliki ni pedophile. Hii Imani uliyonayo kuwa mashoga ni pedophiles ni ya uongo.

Pili, mashoga pia wanao uwezo wa kuzaa. Wana fertility kama straight people. Na pia wanaweza kuwa na watoto wao. Sidhani kama unafahamu teknolojia ya IVF na surrogacy ambayo pia inatumiwa na wanandoa wasio mashoga wenye fertility issues kupata watoto. Lakini si kila mtu kwenye hii dunia anahitaji watoto. Na kuna wengine wanaamua kulea watoto wasio na wazazi wa kuwatunza. Kiufupi, mashoga wanaweza kuzaa watoto. Si kwamba wana mapungufu yoyote.

Mimi naheshimu imani Za watu wote na ninasimamia haki za watu wote. Lakini huwezi kusema kuwa dini yako ndiyo inajenga principles Za maisha ya kila mtu. Si kila binadamu kwenye hii dunia ana Imani uliyonayo wewe. Kwa hiyo fikiri kwanza kabla ya kusema.
 
Anaikumbuka africa leo baada ya hali kua tete kwake??๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Kuna disinformation nyingi kuhusu mashoga na umezitaja mbili: kwamba hawawezi kuzaa watoto na pia ni Pedophiles. Sikatai kwamba kuna mshoga ambao hawana uwezo wa kuzaa au mashoga ambao ni pedophiles LAKINI hizi si defining characters exclusive to them! Kanisa Katoliki Lina maelfu na maelfu ya kesi za PRIESTS abusing children sexually AKA PEDOPHILIA lakini ni watu wachache sana ambao wanasema kuwa kanisa Katoliki ni pedophile. Hii Imani uliyonayo kuwa mashoga ni pedophiles ni ya uongo.

Pili, mashoga pia wanao uwezo wa kuzaa. Wana fertility kama straight people. Na pia wanaweza kuwa na watoto wao. Sidhani kama unafahamu teknolojia ya IVF na surrogacy ambayo pia inatumiwa na wanandoa wasio mashoga wenye fertility issues kupata watoto. Lakini si kila mtu kwenye hii dunia anahitaji watoto. Na kuna wengine wanaamua kulea watoto wasio na wazazi wa kuwatunza. Kiufupi, mashoga wanaweza kuzaa watoto. Si kwamba wana mapungufu yoyote.

Mimi naheshimu imani Za watu wote na ninasimamia haki za watu wote. Lakini huwezi kusema kuwa dini yako ndiyo inajenga principles Za maisha ya kila mtu. Si kila binadamu kwenye hii dunia ana Imani uliyonayo wewe. Kwa hiyo fikiri kwanza kabla ya kusema.
Ninakubaliana na wewe kwa yote uliyoandika, isipokua sehemu Moja tu
" Pili, mashoga pia wanao uwezo wa kuzaa". Hii sehemu sio sahihi, hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kubeba mimba, bado hiyo technology duniani haipo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Haki za binaadamu ni zipi?? Mbona walimuua gadafi na sadam husein au haki za binaadamu hazikuwepo?? Usifiche maovu na usherati kwa kusingizia haki za binaadamu mangapi ya ugaidi yanafanyika kwenye nchi zao na husikii wakitaja haki za binaadamu au haki za binaadamu ziko africa tu ?? Kwa vile ushoga wanoutaka wao ndio uwe uhuru kwa africa na kwann africa kwann sio asia ?? Mbona huko hawafanyi wanayoyafanya africa au haki za binaadamu ziko africa tu ?? Kuna maswali mengi sana nyuma ya pazia huwez yajibu na hii mada sio size yako mzeee achana nayo

Kuharibu kizazi ni haki za binaadamu๐Ÿ˜†๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Sijaongea lolote kuhusu Marekani kwenye reply yangu Kwa hiyo sijui umekuwa triggered na nini. Usi-generalize Asia kuwa bara lililo backwards. Nchi nyingi tu Za Asia hazina sheria kandamizi dhidi ya ushoga. Hata China ili decriminalize homosexuality recently (1997 I believe).

Imani yako sio grounds Za kuamua binadamu wengine waishi namna gani. Kama unafikiri ushoga ni uasherati au sijui aina gani ya dhambi hiyo ni Imani yako. Lakini haki za binadamu hazijengwi na dini. Kama tungekuwa tunatumia vitabu vya dini ku-determine haki nina uhakika watu wengi sana wangekuwa wanakandamizwa.
 
Back
Top Bottom