Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😆😆😆😆😆😆😆 kwamba anatetea wanawake wasagane na wanaume wapandane ndio haki hio ambayo ww hujawah isikia kwa mababu zako wote waliotangulia na kama wangekua na mchezo huo ww usingekuwepo duniani leo hii punguza ujinga unaofkirika

Kama biden hapangii nchi zingine kwann uweke vikwazo ?? Au unatuona humu wote tunaakili kama zako?? 😆😆😆

Mm nimekupa tiba kama washakupandia mzee kachukue kaa la moto lenye moto mkali sana weka kwenye kipumulio hicho kiungue kisawasawa hakuna tiba tofaut na hio 🤣🤣🤣🤣🤣

Ukiona mtu anatetea kwa kuwaekea vikwazo tamaduni zingine maana yake anakulazmisha ufate anavotaka hvi ww kuna nani mjinga wa kuamini kua marekani na washirika wake hawalazmishi ushoga africa ?? Unaeza pinga ?? 😆😆😆😆😆
Wasagane tuu ni private life ,kwani wakisagana wewe unawashwa sehemu gani?
 
Msinichoshe hakuna mtu alilazimishwa.kuwa shoga,na ushoga isiwe kichaka Cha kufichia madhaifu ya failed state ya Russia na Tzn kuacha kuunga mkono upande wenye maslahi Kwa Nchi in favour of Kutofungamana na upande wowote..

Mimi binafsi ninafungamana na beberu Marekani full stop,mbona makabisa yenu hayo ya RC nk Yana kashfa za ushoga na Bado mnasali?
Kama makanisa yanakashafa hizo ni wao sisi tunasali kwa Mungu sio mwanadamu Mungu aliumba Mwanaume na Mwanamke akasema mkazae muijaze dunia , Mashoga wanawezaje kuzaa etc , kama wao ni mashoga sawa , ila wasilazimishe watu eti kufunga biashara kisa ushoga , wakati wao wanafanya mambo ya ajabu inculding pedophilia
 
Msinichoshe hakuna mtu alilazimishwa.kuwa shoga,na ushoga isiwe kichaka Cha kufichia madhaifu ya failed state ya Russia na Tzn kuacha kuunga mkono upande wenye maslahi Kwa Nchi in favour of Kutofungamana na upande wowote..

Mimi binafsi ninafungamana na beberu Marekani full stop,mbona makabisa yenu hayo ya RC nk Yana kashfa za ushoga na Bado mnasali?
😆😆😆😆😆😆 dawa ni moja tu chukua kaa la moto gandisha kwenye kipumulio kiungue kisawasawa nje ya hapo hakuna dawa nyingine mzee

Mwenye macho haambiwi tazama mzee👇👇

 
Mkuu, Mimi ni miongoni mwa watu wanaoamini katika haki za binadamu na utakumbuka katika hilo nilitofautiana na Magufuli, hata katika hili ninatofautiana na Museven, Tanzania tukipitisha hii Sheria nitapinga, katika hili nipo na USA.

Ila ninapingana na wewe kwa kitendo cha kutumia kigezo Cha pesa kuwa ndio sababu ya kuwakubali USA na kuwakandia Russia. Hivi Sasa China ndiyo nchi yenye uhusiano mkubwa na Afrika katika mambo ya Uchumi na biashara kuliko USA, labda Kama wewe ni mtu wa kupenda misaada ya bure ndio utashabikia USA zaidi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Na Mimi sijasema pesa or anything,hoja yangu ni kwamba nitaside na upande wenye maslahi kwangu na si vinginevyo..

Marekani ni rafiki wa kweli kwenye shida na njaa,hao wengine ni marafiki wa mdomoni tuu waliomponza Hadi Mugabe 😁😁
 
😆😆😆😆😆😆 dawa ni moja tu chukua kaa la moto gandisha kwenye kipumulio kiungue kisawasawa nje ya hapo hakuna dawa nyingine mzee

Mwenye macho haambiwi tazama mzee👇👇


Huna hoja,subiria kibano kianze Kwa hao Uganda usije kushindwa kushangilia pia.
 
Kama makanisa yanakashafa hizo ni wao sisi tunasali kwa Mungu sio mwanadamu Mungu aliumba Mwanaume na Mwanamke akasema mkazae muijaze dunia , Mashoga wanawezaje kuzaa etc , kama wao ni mashoga sawa , ila wasilazimishe watu eti kufunga biashara kisa ushoga , wakati wao wanafanya mambo ya ajabu inculding pedophilia
Mnasali Mungu au siyo? 🤣🤣🤣🤣🤣
Ushoga ulikuwepo,utakuwepo na hakuna kitu utafanya usiwepo jambo lasingi focus kwenye maslahi sio kushabikia vinchi vya ajabu ajabu kama Russia ambavyo ni useless..
 
Kama makanisa yanakashafa hizo ni wao sisi tunasali kwa Mungu sio mwanadamu Mungu aliumba Mwanaume na Mwanamke akasema mkazae muijaze dunia , Mashoga wanawezaje kuzaa etc , kama wao ni mashoga sawa , ila wasilazimishe watu eti kufunga biashara kisa ushoga , wakati wao wanafanya mambo ya ajabu inculding pedophilia
Yani anataka kuona watu wote humu ni wajinga kiasi tuamini anavoona yeye😆😆
Kama ni suala la biashara fine aje huyo beberu lakini sio kupanga utaratibu nani awe mwanaume nani awe mwanamke

Mbona hajiulizi alipokuja yule VP wa america hakuruhusiwa kuongelea mambo ya ushoga na aliambiwa tanzania haikubaliani na masuala hayo kama ni biashara sawa
 
Kenya voted to condemn Russias invasion of Ukraine at the UN but still their top diplomat was in Nairobi yesterday for bilateral talks. Tanzakundu abstained the vote
May 29
Russian Foreign Minister Sergey Lavrov holds a meeting with the leadership of the Parliament of kenya in Nairobi
View attachment 2640011
Hivi kama mkenya unapata wapi nguvu za kushindana na nchi ya ahadi kama Tz, unajua huwa nashangaa sana.
 
Huna hoja,subiria kibano kianze Kwa hao Uganda usije kushindwa kushangilia pia.
Hakuna kibano chochote na africa yote inamsimamo huo huo ndio maana yule pelosi alipokuja tanzania hakuzungumzia mambo ya ushoga kwasababu nchi haikubaliani nazo 😆😆😆😆 na kuna mwandishi wa BBC alijaribu kumuuliza hilo swali waziri wa mambo ya nje akamkatia siku ya ujio wa pelosi
 
Hakuna kibano chochote na africa yote inamsimamo huo huo ndio maana yule pelosi alipokuja tanzania hakuzungumzia mambo ya ushoga kwasababu nchi haikubaliani nazo 😆😆😆😆 na kuna mwandishi wa BBC alijaribu kumuuliza hilo swali waziri wa mambo ya nje akamkatia siku baada ya ujio wa pelosi
Viza zimeanza kufutwa na wanaenda na kule kutamu ,usije laumu Kilio kikianza..

Mlimdanganya Mugabe hivi hivi ,Africa Ina msimamo huo yes ila haiwezi thubutu kutunga sheria kama za Uganda Kwa sababu inaelewa consequences zake..
 
Viza zimeanza kufutwa na wanaenda na kule kutamu ,usije laumu Kilio kikianza..

Mlimdanganya Mugabe hivi hivi ,Africa Ina msimamo huo yes ila haiwezi thubutu kutunga sheria kama za Uganda Kwa sababu inaelewa consequences zake..
Kama ni mashoga waende kwao wakajaze laana huko huko lakini kwa africa ni BIG NO haiwesekani na haitawezekana 😆😆😆

Na dawa yake nishakupa sasa akili kichwani mwako wakudandie au ujitibu 👇👇👇
😆😆😆😆😆😆 dawa ni moja tu chukua kaa la moto gandisha kwenye kipumulio kiungue kisawasawa nje ya hapo hakuna dawa nyingine mzee

Mwenye macho haambiwi tazama mzee👇👇

 
Viza zimeanza kufutwa na wanaenda na kule kutamu ,usije laumu Kilio kikianza..

Mlimdanganya Mugabe hivi hivi ,Africa Ina msimamo huo yes ila haiwezi thubutu kutunga sheria kama za Uganda Kwa sababu inaelewa consequences zake..
Zimbabwe ina shida gani hebu ww tueleze ina shida gani?? Ikiwa zimbabwe ina unafuu kwenye umaskini kuliko kenya ambayo haijawah ingia vitani na wanamsujudia beberu miaka kenda 👇

 
Most beautiful golf course in Africa is in Arusha 👇
michaelsolomonkipuyo_1685434153683928.jpg
michaelsolomonkipuyo_1685434153683830.jpg
michaelsolomonkipuyo_1685434153683503.jpg
 
Tanzakundu sent their president to Nigeria for the inauguration, we didnt.View attachment 2640017
View attachment 2640019
Tukiachana na ukabila hili ambalo lipo toka mnapata uhuru kwa sasa Mna matatizo chungu nzima njaa ,maandamano , wizi ufisadi unaendelea , matatizo ya kisiasa

Rais wenu asafiri ili iweje sasa ?
Ile ni kama holiday trip kwa Samia ukiachana na lengo kuu ambalo ni kukuza mahusiano ya kidiplomasia

Hivi wakenya mnakuwaga hivi dumb

Unashangaa raisi kusafiri nchi za Afrika kwenye sherehe ya uapisho ila hushangai ruto kwenda ulaya kwenye sherehe ya mfalme Charles

Oyaa wabongo wenzangu hawa majamaa hayanaga akili hio komenti yake imenichekesha sana hawa ni wazungu "wannabe "...
 
Back
Top Bottom