Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hvi ww unafkiri nchi zote zilizotuzunguka zingekua hazina amani ziko kwenye vita unafkiri hii amani iliopo tanzania ingekuwepo??? Inahitaji akili kubwa sana kufkiria haya na siku zote what goes around comes around, diplomacy ni kitu muhimu sana ndio maana unaona tanzania imewekwa SADC kwa heshima kama hio usioitaka ww vitu vingine tumia akili ndogo tu hata kama kubwa huna 😆😆😆😆
Kichaka Cha kujifichia 😁😁😁😁
Namibia,Angola ,South Africa, Zimbabwe nk wanakuzunguka upande upi? 😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣

Ujamaa ni ujinga,uvivu na mfumo wa hovyo .
 
Si ilikuwa inapandikiza Itikadi za kindezi na uvivu za ujamaa aliyokuwa anahubiri Nyerere ndio sababu ikawa hivyo..

Kama kawaida Nyerere aliegemea kwenye kundi la ndege wanafanana,Sasa Leo hii nani anataka huo mfumo wa kipuuzi wa ujamaa wa kina Karl Max na Lenin?
Kwahiyo mkuu, wewe ni zaidi ya Nyerere?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama hailazmishi kwann aweke vikwazo vya kiuchumi kwa kutumia ubabe wake ?? Kwann yeye haeshimu sheria za nchi zingine ?? Usiniambie hujui bro najua inside ur heart unajua ukweli mtupu kuhusu anachokifanya beberu kwa nchi za africa kuweka vikwazo tu maana yake hueshimu sheria za nchi zingine na kwa maana nyingine ni kwamba unalazmisha ushoga africa ndio ukweli hata ukwepe vipi hautabadilika kua ukweli
Mbona sisi Sheria zetu zinakataza kushirikiana na nchi yeyote yenye sheria ya ubaguzi wa rangi?, au na sisi pia ni wababe?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, Kama Marekani wamekataa kushirikiana na Uganda, tatizo liko wapi?, Uganda nao wakatae kushirikiana na Marekani.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Tatizo langu lipo kwenye kuwaekea vikwazo vya kiuchumi hapa ndipo tatizo lilipo sijui unanielewa bro kwann uwaumize wadogo kisa hawafati unayotaka wewe mkubwa? Mm sina tatizo na kwenda marekani au laa hilo hata sioni shida ila shida iko kwenye kuwaonea wadogo kwa kuweka vikwazo ili waumie kisa hawajataka kufata laana unazotaka ww mkubwa
 
Mbona sisi Sheria zetu zinakataza kushirikiana na nchi yeyote yenye sheria ya ubaguzi wa rangi?, au na sisi pia ni wababe?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama nchi gani sisi hatushirikiani nazo zenye tabia hio ntajie moja tu 😆😆😆😆 bro issue ni ushoga hata ukizungusha hapa na pale bado issue itabaki kua ni laana ya ushoga inayolazmishwa africa
 
hehehe atakeishindwa amfate mwenzie basi nimekuelewa yani manake kwavile ww mkubwa basi ulazmishe wadogo wafate laana zako ndio maana yake au? Sijuu tunatoa wapi mguvu kutetea ushoga aloo alaf nyuma ya mlango tunashabikia democracy
Mkuu, udogo wako wa kushindwa kujitegemea ni ishara ya uwezo wako mdogo wa akili(Maisha ndio kipimo Cha akili), yaani ushindwe kujilisha lakini uwe na uwezo wa kujiamulia vile upendavyo, hakuna kitu Kama hicho duniani. Who feeds you controls you.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kichaka Cha kujifichia 😁😁😁😁
Namibia,Angola ,South Africa, Zimbabwe nk wanakuzunguka upande upi? 😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣

Ujamaa ni ujinga,uvivu na mfumo wa hovyo .
SADC ilitakiwa tanzania isiwepo ila wakaikubali tanzania kwa vigezo vya kuchagiza uhuru wa nchi zao ndio maana tanzania pia ni mwanachama wa SADC akili kubwa tu ndio inaweza kuelewa 😆😆😆😆
 
Tukiachana na ukabila hili ambalo lipo toka mnapata uhuru kwa sasa Mna matatizo chungu nzima njaa ,maandamano , wizi ufisadi unaendelea , matatizo ya kisiasa

Rais wenu asafiri ili iweje sasa ?
Ile ni kama holiday trip kwa Samia ukiachana na lengo kuu ambalo ni kukuza mahusiano ya kidiplomasia

Hivi wakenya mnakuwaga hivi dumb

Unashangaa raisi kusafiri nchi za Afrika kwenye sherehe ya uapisho ila hushangai ruto kwenda ulaya kwenye sherehe ya mfalme Charles

Oyaa wabongo wenzangu hawa majamaa hayanaga akili hio komenti yake imenichekesha sana hawa ni wazungu "wannabe "...
Makenya ni mamburula sana ndiyo maana huwa sitaki yapewe nafasi yoyote huku Tz, pia huwa nafurahi wakipungua mana ni wengi sana alafu wazembe watatupa shida kuwalisha mbwa hawa.
 
Mkuu, udogo wako wa kushindwa kujitegemea ni ishara ya uwezo wako mdogo wa akili(Maisha ndio kipimo Cha akili), yaani ushindwe kujilisha lakini uwe na uwezo wa kujiamulia vile upendavyo, hakuna kitu Kama hicho duniani. Who feeds you controls you.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Bro ww usitake kuniambia kua hujui africa ilinyonywa na ikaendelea kunyonywa kwa mabavu ya wazungu ndio sisi tuliodanganywa kwenye history kua idd amin alikua mtu mbaya usisahau ukweli hujitenga kwenye uongo na leo hawa hawa ndio hawataki africa ijitegemee alipotaka gadafi kufanya mageuzi africa walimuua kwa kusingizia watu wake hawamtaki ambao ni uongo shahiri dhahiri 😆😆😆

Huwez kulazmisha ushoga ambao ni laana kubwa sana kwa kigezo cha haki za binaadamu na democracy never ever kwanza ukiangalia nyuma ya haki za binaadamu kuna matukio yakutisha na propaganda
 
Mkuu, udogo wako wa kushindwa kujitegemea ni ishara ya uwezo wako mdogo wa akili(Maisha ndio kipimo Cha akili), yaani ushindwe kujilisha lakini uwe na uwezo wa kujiamulia vile upendavyo, hakuna kitu Kama hicho duniani. Who feeds you controls you.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Huwez kutumia ubabe kuwakandamiza wa chini kisa unataka laana zako ziwavae na wengine basi hii sio maana ya democracy kama hueshimu sheria za wengine 😆😆 mm hua ni mtu wa mwisho kuamini kwenye democracy na haki za binaadamu
 
Kama nchi gani sisi hatushirikiani nazo zenye tabia hio ntajie moja tu bro issue ni ushoga hata ukizungusha hapa na pale bado issue itabaki kua ni laana ya ushoga inayolazmishwa africa
Hadi Leo nchi nyingi duniani hazishirikiani na Israel, Tanzania tumerudisha Uhusiano na Israel kipindi Cha Kikwete, tulikua hatuna na Uhusiano mzuri na Morroco kwasababu hizo hizo.

Mkuu, lazima ukubali kwamba, Dunia hii ni tofauti na Kuna Imani na tamaduni tofauti, huwezi kulazimisha madhirikiano na nchi au mtu yeyote ambaye kwako unahisi hamuendani, USA hawaendani na nchi yoyote yenye sheria kandamizi kwa mashoga, tuache Marekani achague yupi anayehisi anafaa kushirikiana naye, tusimlazimishe.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, hii Imani ya Mungu Kila mtu anaamini kivyake, mbona mnataka wote tuamini kwamba tumeletwa Ili kuijaza Dunia?, Jambo la kushangaza ni kwamba hao hao wazungu walioleta hiyo habari ya Mungu wa kuijaza dunia", ndio hao hao wanaoleta ushoga.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkuu suala la ushoga halihusiani na imani, ni utamaduni wa mwafrika tangu enzi na enzi, kwamba mwanaume kwa mwanamke na si vinginevyo. Kuhusu Mungu hiyo imani ya kuamini uwepo wa Mungu hatujaletewa waafrika bali ipo miaka nenda rudi isipokuwa kuna jinsi tulivyokuwa tunaamini sisi waafrika, hakuna taifa lililofundishwa uwepo wa Mungu isipokuwa tunatofautiana jinsi ya kuabudu, sisi tulikuwa na utamaduni wetu wa kuamini.

Ni utamaduni wa dunia nzima kwamba mwanaume kwa mwanamke na si vinginevyo, hilo suala la mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke wanalileta kwa itikadi zao na mpaka sasa hatuelewi kwa nini wanalazimisha iwe hivyo, so hatuwezi kuliacha liendelee kuwa hivyo mana si utaratibu wetu wa Afrika.
 
Hadi Leo nchi nyingi duniani hazishirikiani na Israel, Tanzania tumerudisha Uhusiano na Israel kipindi Cha Kikwete, tulikua hatuna na Uhusiano mzuri na Morroco kwasababu hizo hizo.

Mkuu, lazima ukubali kwamba, Dunia hii ni tofauti na Kuna Imani na tamaduni tofauti, huwezi kulazimisha madhirikiano na nchi au mtu yeyote ambaye kwako unahisi hamuendani, USA hawaendani na nchi yoyote yenye sheria kandamizi kwa mashoga, tuache Marekani achague yupi anayehisi anafaa kushirikiana naye, tusimlazimishe.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ila mbona tunashirikiana nao kwann sasa ??😆
 
Mkuu suala la ushoga halihusiani na imani, ni utamaduni wa mwafrika tangu enzi na enzi, kwamba mwanaume kwa mwanamke na si vinginevyo. Kuhusu Mungu hiyo imani ya kuamini uwepo wa Mungu hatujaletewa waafrika bali ipo miaka nenda rudi isipokuwa kuna jinsi tulivyokuwa tunaamini sisi waafrika, hakuna taifa lililofundishwa uwepo wa Mungu isipokuwa tunatofautiana jinsi ya kuabudu, sisi tulikuwa na utamaduni wetu wa kuamini.

Ni utamaduni wa dunia nzima kwamba mwanaume kwa mwanamke na si vinginevyo, hilo suala la mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke wanalileta kwa itikadi zao na mpaka sasa hatuelewi kwa nini wanalazimisha iwe hivyo, so hatuwezi kuliacha liendelee kuwa hivyo mana si utaratibu wetu wa Afrika.
Tatizo ni africa ndio hua tunadanganywa kuhusu democracy na haki za binaadamu kwa leo mtoto wa kike akitembea na chupi ndio haki za wanawake ila nyuma ya mlango ni kuimaliza africa kabisa



 
Wahindi na wapakistan kwa kweli hapana! hao jamaa siwakubali sema ndo hivyo tu! Wakenya hatuwezi kuwakimbia, hasa sisi wa swahili, Nusu nzima ya mombasa ni watu kutoka Tanga! ila hizi nyang'au zingine ni pasua kichwa sana!
Bora tuwakubali wahindi na wapakistan kuliko Wakenya mkuu, hao wahindi na wapakistan hawana tatizo lolote na Watz ila Wakenya sio watu kabisa. Mombasa ni sehemu ya Tz haina shida na watu wake wengi wana elements za ki Tz ila Wakenya weusi kutoka maeneo mengine ukiacha Mombasa ni mbwa sana.
 
Bro ww usitake kuniambia kua hujui africa ilinyonywa na ikaendelea kunyonywa kwa mabavu ya wazungu ndio sisi tuliodanganywa kwenye history kua idd amin alikua mtu mbaya usisahau ukweli hujitenga kwenye uongo na leo hawa hawa ndio hawataki africa ijitegemee alipotaka gadafi kufanya mageuzi africa walimuua kwa kusingizia watu wake hawamtaki ambao ni uongo shahiri dhahiri

Huwez kulazmisha ushoga ambao ni laana kubwa sana kwa kigezo cha haki za binaadamu na democracy never ever kwanza ukiangalia nyuma ya haki za binaadamu kuna matukio yakutisha na propaganda
Huwez kulazmisha ushoga ambao ni laana kubwa sana kwa kigezo cha haki za binaadamu na democracy never ever kwanza ukiangalia nyuma ya haki za binaadamu kuna matukio yakutisha na propaganda

Hakuna mtu aliyelazimishwa ushoga, ila Marekani imekataa kushirikiana na nchi yoyote yenye sheria kandamizi ya ushoga. Sisi wenye akili na dini nzuri, tujipange Ili tuwatenge wale wote ambao katiba zao zinaruhusu ushoga.

Hivi iweje tunalazimisha kushirikiana na nchi zenye laana Kama USA?, Mimi nilitegemea tungefurahia Marekani kuacha kushirikiana na Afrika kwasababu watatuambukiza laana ya ushoga, badala yake tunataka kuendelea kushirikiana na Taifa lililo na laana,

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Alaf hawa ndio mabwana zako wakutumainiwa ?? Nchi inaingilia mpaka sheria za nchi nyingine kisa wameguswa kunako..... Ovyo kabisa inamaana hua wanatoa misaada ili tufate madudu yao na kwann africa sio asia huko au kwengineko??



Kitu usichotaka kusikia ni kuwa hiyo act iliyopitishwa Uganda ina-undermine haki za binadamu. Watu kama nyie mnaona Sawa Kwa baadhi ya makundi kwenye jamii kukandamizwa, kudharauliwa, hata pia kufungwa na kuuawa kwasababu haikuathiri kwa namna yoyote.

Tolerance ni kitu ambacho Tanzania imesimamia tangu nchi ipate uhuru. Ndio Maana tunaishi kwa amani tofauti na majirani zetu. Kuheshimu TOFAUTI za watu wengine kama dini zao au madhehebu yao au makabila yao si tofauti na kuheshimu haki za mashoga. Kama Wewe unafurahia kuishi Kwa uhuru bila kuumizwa na watu wengine kwanini utumie uhuru wako kusababisha harm Kwa binadamu mwingine? Huwezi kusema kuwa LIFESTYLE ya mtu mwingine inakukosesha Amani wakati Huyo mtu hajakukosea Kwa kitu chochote. Hiyo ni BIGOTRY. Na wengi humu mmejaa chuki zisizo na sababu.
 
Just because of 12 kenyans?? This things happen all the time, difference ni kenya allows dual citizenship. Watanzania hapa hmna exposure kabisa, ni mdomo tu
Not only 12 Kenyans, mpo wengi mnaotaka uraia wa Tanzania sema tunawabana ktk kuwapa uraia nyie Wakenya la sivyo mngekuwa maelfu kwa maelfu.
 
Back
Top Bottom