ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Mkuu, katika hili Marekani hajakosea hata kidogo, yeye anasimamia msimamo na Imani yake Kama ambavyo Uganda inavyosimamia imani, tamaduni na msimamo wake kuhusu ushoga.kwamba anatetea wanawake wasagane na wanaume wapandane ndio haki hio ambayo ww hujawah isikia kwa mababu zako wote waliotangulia na kama wangekua na mchezo huo ww usingekuwepo duniani leo hii punguza ujinga unaofkirika
Kama biden hapangii nchi zingine kwann uweke vikwazo ?? Au unatuona humu wote tunaakili kama zako??
Mm nimekupa tiba kama washakupandia mzee kachukue kaa la moto lenye moto mkali sana weka kwenye kipumulio hicho kiungue kisawasawa hakuna tiba tofaut na hio
Ukiona mtu anatetea kwa kuwaekea vikwazo tamaduni zingine maana yake anakulazmisha ufate anavotaka hvi ww kuna nani mjinga wa kuamini kua marekani na washirika wake hawalazmishi ushoga africa ?? Unaeza pinga ??![]()
Kwanini wahindi na wapakstani ndo wengi zaidi?Wakenya 12 wameukana uraia wa Kenya na kuchukua uraia wa Tanzania, hii Wakuu imekaaje? Serikali iweke ugumu kumpa mkenya uraia sababu ni watu wasioaminika kabisa
View attachment 2639942
Mkuu, hii Imani ya Mungu Kila mtu anaamini kivyake, mbona mnataka wote tuamini kwamba tumeletwa Ili kuijaza Dunia?, Jambo la kushangaza ni kwamba hao hao wazungu walioleta hiyo habari ya Mungu wa kuijaza dunia", ndio hao hao wanaoleta ushoga.Kama makanisa yanakashafa hizo ni wao sisi tunasali kwa Mungu sio mwanadamu Mungu aliumba Mwanaume na Mwanamke akasema mkazae muijaze dunia , Mashoga wanawezaje kuzaa etc , kama wao ni mashoga sawa , ila wasilazimishe watu eti kufunga biashara kisa ushoga , wakati wao wanafanya mambo ya ajabu inculding pedophilia
Zimbabwe ina shida gani hebu ww tueleze ina shida gani?? Ikiwa zimbabwe ina unafuu kwenye umaskini kuliko kenya ambayo haijawah ingia vitani na wanamsujudia beberu miaka kenda 👇
Mkuu, Mimi siendeshwi Sana na maslahi, Mimi ninaendeshwa na "Principles of life", utu kwanza.Na Mimi sijasema pesa or anything,hoja yangu ni kwamba nitaside na upande wenye maslahi kwangu na si vinginevyo..
Marekani ni rafiki wa kweli kwenye shida na njaa,hao wengine ni marafiki wa mdomoni tuu waliomponza Hadi Mugabe![]()
Wahindi na wapakistan kwa kweli hapana! hao jamaa siwakubali sema ndo hivyo tu! Wakenya hatuwezi kuwakimbia, hasa sisi wa swahili, Nusu nzima ya mombasa ni watu kutoka Tanga! ila hizi nyang'au zingine ni pasua kichwa sana!In descending order
India------------------(75)
Yemen----------------(43)
Pakistan---------------(22)
Kenya------------------(12)
DRC--------------------(11)
Lebanon----------------(10)
Rwanda-----------------(4)
Somalia-----------------(4)
Afrika kusini--------------(3)
Lithuania-----------------(2)
China--------------------(2)
Ugiriki--------------------(2)
Uingereza-----------------(2)
Uswizi---------------------(2)
Zambia-------------------(2)
Zimbabwe-----------------(2)
Cameroon-----------------(1)
Cuba----------------------(1)
Japan---------------------(1)
Oman---------------------(1)
Palestina-------------------(1)
Sierra Leone----------------(1)
wewe unategemea propaganda posters! huna hata AKILI! haya sasa nikuulize, hizo Bandari ni zipi na tuletee ushahidi!Kimewaramba, tanzakundu has two ports(all) either funded or operated by the Chinese.
View attachment 2639997
How? ThibitishaMkuu, Mimi siendeshwi Sana na maslahi, Mimi ninaendeshwa na "Principles of life", utu kwanza.
Mkuu, Russia, Cuba na China ndizo nchi zilizosimama na sisi katika kipindi kigumu zaidi Cha maisha ya waafrika, kipindi ambacho wazungu walikua wakitukojolea vichwani na kutufanyia Kila aina ya unyama.
Mkuu, utakumbuka ni kwakiasi gani Tanzania tulivyojitoa kuzisaidia nchi za kusini mwa Afrika kujikomboa?, hivi utakisikiaje Kama nchi ya Afrika kusini ikiamua kutuacha sisi watanzania na kuegemea Uingireza kwa kigezo Cha Maslahi?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mtatoa wapi badget?Tanzakundu sent their president to Nigeria for the inauguration, we didnt.View attachment 2640017
View attachment 2640019
Na wewe ilikuaje ukawa choko? Ni nani aliyekulazimisha?Umewahi lazimishwa kuwa choko?machoko waliojaa Tzn waliletwa na beberu USA? Choko ana Haki zake ndio hizo beberu anamtetea ..
Mwisho watu wa failed state kama Russia mnapenda kujifichia upuuzi wenu kwenye hoja ya uchoko.
Choko ni baba YakoNa wewe ilikuaje ukawa choko? Ni nani aliyekulazimisha?
Issue ni kwamba kwann mulibadilisha msimamo baadae mukasema hamuna upande wowote ?? 😆😆😆😆😆
Kumbe mushajua where to go now
Kama hao marekani inawauma sana, si wawachukue hao machoko wa Uganda wawapeleke Marekani, wawalinde!Kwani sheria za machoko duniani zinatetea na kina nani?? Au unafkiri wakiekewa sheria ya kifo wataingia kwenye ushoga ??😆😆
Sinimesema hapa ukiona mtoto wa kiume anatetea ushoga ujue ana alama nazo sinimekwambia mm na ndio sababu kubwa ulikua humpendi magu kisa haendi sawa na mambo hayo
Ikiwa mnyama hana akili hakosei ww mwenye akili ndio ukosee??😆😆😆😆
Hakuna rais amenifurahisha kama mseven
View attachment 2640038
Kwamba Cuba, China na Urusi zilikua mstari wa mbele katika vita vya kuwakomboa waafrika kuliko nchi za Western.Huyu huyu aliyewauza wenzie nimsikilize Ili nijifunze nini?
Tanzania hao kina Cuba,China na Russia walikuwa front line ipi wakati hakuna vita ya ukombozi?Kwamba Cuba, China na Urusi zilikua mstari wa mbele katika vita vya kuwakomboa waafrika kuliko nchi za Western.
Vipi kuhusu Nyerere ambaye aliegemea Urusi Ili aweze kuzikomboa nchi za kusini mwa Afrika baada ya nchi za Magharibi kukataa kumuunga mkono?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kenya istahili heshimaUmechoka pumzika👇🏾👇🏾 View attachment 2640104