Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu, sidhani Kama ni busara kushabikia nchi kwa sababu ya fedha, huko ni kujishusha na kujidhalilisha Sana, Tanzania tunaheshimika Sana duniani kwa kuwa nchi yenye kusimamia utu na uhuru wa raia pote duniani bila kujali fedha, rejea hotuba ya Nyerere kuhusu "Wanasiasa wenye tabia za umalaya".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama una hiyo jeuri Tunga sheria kama ya Uganda ndio tujue hiyo heshima ya Tanzania..

Yaani usishabikie rafiki wa kweli anaekufaa Kwa dhiki uje kushabikia wahuni kama Russia?
 
They are trying to visit to those countries which opposed them and try to find out if they can use food to influence them to change their minds.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Badilisha simu kwanza,
Itel L5007🤣🤣🤣
IMG_20210420_110846_5.jpg
 
Kama una hiyo jeuri Tunga sheria kama ya Uganda ndio tujue hiyo heshima ya Tanzania..

Yaani usishabikie rafiki wa kweli anaekufaa Kwa dhiki uje kushabikia wahuni kama Russia?
Rafiki wa kweli anakupangia mpaka chupi atakazovaa mke wako huyo ndio rafiki wa kweli 😆😆😆😆 uganda ina sheria zake na utamaduni wake kwann haziheshimu ikiwa nirafiki wa kweli?? 👇👇👇
 
Zikiletwa alaf over 50% ni mashoga kazi yake na faida yake ni nn?? Na wanawake wakisagana wao kwa wao hio nguvu kazi ya hzo bil 6 zifatoka wapi??
Kupambana na ukimwi ila kwao ukimwi huusikii ila ukimwi uko africa tu ili wapunguze idadi ya binaadamu africa

Hakuna mtu mjinga dunia hii mzee ndio maana unaona wakenya wanadhalilika kwa uwongo wao kwasababu wanaumbuka mapema tu 😆😆😆😆

Eti pesa ya beberu wakat mchina ndio anaongoza kufadhili nchi za africa nenda kaangalie madeni amabayo africa inadaiwa na china ndio utaelewa na china ndio anaongoza kwa direct investments africa nzima nenda kokote africa kama utamkosa mchina 🤣🤣🤣🤣

Kwenye masuala ya biashara tutafanya na hao mabwana zako ila mambo ya utamaduni na sheria za nchi hapana big NO
Acha story za kufikirika na hii ndio shida ya Wajamaa mnaishi Kwa feelings ,woga na kutojiamini..

Nakwambia hivi hizo pesa zimeshatumika na zinaendelea kutumika Hadi keshokutwa kuanzia kwenye condom Hadi net za mbu na Bado watu sio mashoga..

Mashoga walioko Tzn,Russia nk wamelazimishwa na Beberu America?

Korea Kusini unayoijua Leo bila Beberu America ingeishia kuwa kama North Korea tuu huko au Venezuela au Zimbabwe..

Siwezi kuwa mshirika wa vinchi vya kipuuzi Mimi,kwanza sijawahi na Wala Sina kumbukumbu ni lini Waziri yeyote wa Tanzania aliwahi tembelea Russia ila huko Kwa beberu USA hawakatiki..

Long live beberu Marekani
 
Ingetokea africa ungeskia wanasema ugaidi ila kwao akaah ni democracy 😆😆😆🙌

 
Hawa Wakenya wasipewe uraia wa hii nchi, Wakenya wengi wanapambana sn kuwa Watz lkn inabidi wawekewe vikwazo vya hali ya juu kuliko raia wengine wotee
Hata mimi nakubaliana na wewe kuhusu hilo

Hapo zamani Nilidhani ni raia tu wa kawaida ndio tupo makini na hawa watu ila ukweli ni kwamba hata kwenye system hakuna anayewapenda hawa watu wapo nao makini sana

Wanaekewa kauzibe na ugumu flani hivi unadhani ni hao 12 kwa mwaka mzima ndio waliomba? ni wengi tu sema ndio hivyo lazima waweke ugumu ili tusi rise flag wakashtuka .au wakawa wengi sana
 
Hayo makabila yapo huko miaka na miaka chizi wewe watu wamezaana miaka kwa miaka wameishi hapi kabla hata kenya haijapata uhuru mbona kuna wajaluo watanzania na wakenya?🤣
Wapemba waliopewa uraia wanaishi kilifi/Mombasa/lamu ambapo sio eneo lao, hao ni wahamiaji haramu.
 
Rafiki wa kweli anakupangia mpaka chupi atakazovaa mke wako huyo ndio rafiki wa kweli 😆😆😆😆 uganda ina sheria zake na utamaduni wake kwann haziheshimu ikiwa nirafiki wa kweli?? 👇👇👇

Umepangiwa lini? Acha mihemko na uongo wewe,sera ya beberu Iko clear kutetea Haki za binadamu na si vinginevyo..

Na Kwa jinsi Africa ilivyo na majitu makatili bila Beberu America tungekuwa tumeisha, Nadhani unakumbuka Mwendazake alivyoufyata baada ya Makonda kuanzisha Kampeni ya kuwasaka hao mashoga..

Sijawahi ona popote USA akilazimisha mtu kuwa shoga ila sera Yao ni kutetea Haki za makundi yeyote yakiwamo ya hao mashoga.
 
Acha story za kufikirika na hii ndio shida ya Wajamaa mnaishi Kwa feelings ,woga na kutojiamini..

Nakwambia hivi hizo pesa zimeshatumika na zinaendelea kutumika Hadi keshokutwa kuanzia kwenye condom Hadi net za mbu na Bado watu sio mashoga..

Mashoga walioko Tzn,Russia nk wamelazimishwa na Beberu America?

Korea Kusini unayoijua Leo bila Beberu America ingeishia kuwa kama North Korea tuu huko au Venezuela au Zimbabwe..

Siwezi kuwa mshirika wa vinchi vya kipuuzi Mimi,kwanza sijawahi na Wala Sina kumbukumbu ni lini Waziri yeyote wa Tanzania aliwahi tembelea Russia ila huko Kwa beberu USA hawakatiki..

Long live beberu Marekani
Pesa zitumike lakini ushoga tanzania na africa ni BIG NO haiwezekani nahaitatokea kama anakuja kwa lengo la biashara tutafanya kama kwa lengo la kuharibu kizazi haiwezekani na haitawezekana hata wakenya wanaowasujudia hao wazungu kuliko wewe hawakubaliani nao 👇👇👇





 
Kama una hiyo jeuri Tunga sheria kama ya Uganda ndio tujue hiyo heshima ya Tanzania..

Yaani usishabikie rafiki wa kweli anaekufaa Kwa dhiki uje kushabikia wahuni kama Russia?
Mkuu, Mimi ni miongoni mwa watu wanaoamini katika haki za binadamu na utakumbuka katika hilo nilitofautiana na Magufuli, hata katika hili ninatofautiana na Museven, Tanzania tukipitisha hii Sheria nitapinga, katika hili nipo na USA.

Ila ninapingana na wewe kwa kitendo cha kutumia kigezo Cha pesa kuwa ndio sababu ya kuwakubali USA na kuwakandia Russia. Hivi Sasa China ndiyo nchi yenye uhusiano mkubwa na Afrika katika mambo ya Uchumi na biashara kuliko USA, labda Kama wewe ni mtu wa kupenda misaada ya bure ndio utashabikia USA zaidi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hizo ni dola bil.6.6 sawa na til.20 za Bongo..

Zimeshatumika tena kwenye sekta Moja tuu ya kupambana na Ukimwi sijagusia usAid,MCCL, investments,budget support,bill and Melinda gates foundation nk

Una survive hapo Kwa pesa za beberu Marekani na Sina hakika kama wewe ni choko au laa

Long live beberu USA
Uko radhi upewe hela na ukubali ushoga ?
 
Pesa zitumike lakini ushoga tanzania na africa ni BIG NO haiwezekani nahaitatokea kama anakuja kwa lengo la biashara tutafanya kama kwa lengo la kuharibu kizazi haiwezekani na haitawezekana hata wakenya wanaowasujudia hao wazungu kuliko wewe hawakubaliani nao 👇👇👇






Msinichoshe hakuna mtu alilazimishwa.kuwa shoga,na ushoga isiwe kichaka Cha kufichia madhaifu ya failed state ya Russia na Tzn kuacha kuunga mkono upande wenye maslahi Kwa Nchi in favour of Kutofungamana na upande wowote..

Mimi binafsi ninafungamana na beberu Marekani full stop,mbona makabisa yenu hayo ya RC nk Yana kashfa za ushoga na Bado mnasali?
 
Umepangiwa lini? Acha mihemko na uongo wewe,sera ya beberu Iko clear kutetea Haki za binadamu na si vinginevyo..

Na Kwa jinsi Africa ilivyo na majitu makatili bila Beberu America tungekuwa tumeisha, Nadhani unakumbuka Mwendazake alivyoufyata baada ya Makonda kuanzisha Kampeni ya kuwasaka hao mashoga..

Sijawahi ona popote USA akilazimisha mtu kuwa shoga ila sera Yao ni kutetea Haki za makundi yeyote yakiwamo ya hao mashoga.
😆😆😆😆😆😆😆 kwamba anatetea wanawake wasagane na wanaume wapandane ndio haki hio ambayo ww hujawah isikia kwa mababu zako wote waliotangulia na kama wangekua na mchezo huo ww usingekuwepo duniani leo hii punguza ujinga unaofkirika

Kama biden hapangii nchi zingine kwann uweke vikwazo ?? Au unatuona humu wote tunaakili kama zako?? 😆😆😆

Mm nimekupa tiba kama washakupandia mzee kachukue kaa la moto lenye moto mkali sana weka kwenye kipumulio hicho kiungue kisawasawa hakuna tiba tofaut na hio 🤣🤣🤣🤣🤣

Ukiona mtu anatetea kwa kuwaekea vikwazo tamaduni zingine maana yake anakulazmisha ufate anavotaka hvi ww kuna nani mjinga wa kuamini kua marekani na washirika wake hawalazmishi ushoga africa ?? Unaeza pinga ?? 😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom