Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wazee wa kupika data, show me a farm of irish potato kenya, ingekuwa hivyo basi soko la viazi vya lushoto lingeanguka huko mombasa na nairobi
No pun intended but Potato farming in Kenya is very advanced especially in value chain…. The main growing areas are Molo in Nakuru county and Nyandarua county… but the demand outweighs the supply, just like rice hence cheap imports are inevitable till we increase acreage under cultivation…our potatoe industry is geared by science from seed research institutes like ADC and KARI to cold storage complex facilities
7A085887-1D2E-4140-A007-9B84D04D9A5D.jpeg
356547D7-9F58-48E3-BFEF-C598E947456C.jpeg
0990c76a-d8c2-4f51-9593-ac0d54e1bc08-jpeg.2634959
in growing areas… value add chain include potato processing factories like sereni fríes among others…
 

Attachments

  • 0990C76A-D8C2-4F51-9593-AC0D54E1BC08.jpeg
    0990C76A-D8C2-4F51-9593-AC0D54E1BC08.jpeg
    104.4 KB · Views: 19
  • 7D2F5595-CCCF-44F7-AA3D-FC3E763C7F40.png
    7D2F5595-CCCF-44F7-AA3D-FC3E763C7F40.png
    197.9 KB · Views: 8
No pun intended but Potato farming in Kenya is very advanced especially in value chain…. The main growing areas are Molo in Nakuru county and Nyandarua county… but the demand outweighs the supply, just like rice hence cheap imports are inevitable till we increase acreage under cultivation…our potatoe industry is geared by science from seed research institutes like ADC and KARI to cold storage complex facilities View attachment 2634957View attachment 2634958
0990c76a-d8c2-4f51-9593-ac0d54e1bc08-jpeg.2634959
in growing areas… value add chain include potato processing factories like sereni fríes among others…
FA61CB50-9D8E-4B3B-B950-2391C0FF0F29.png
 
Okay nimeelewa sijui kwanini UG imedecide kuchukua the route lakini labda wanaona ndo fupi na less time consuming kuliko yetu yakutumia wagon Ferries , looks like tumemkosa UG tayari
Hivi hakukuwa na mpango wa kujenga kipande cha kwenda Uganda? Maana kuna Sudani ya kusini pia.
 
Tz hainufaiki ni kama customer tu kwa jinsi nilivyoelewa maana hatujachangia hela yoyote as i know , kwa sababu uko Border ya UG na TZ ameamua kumuita President wafungue wote , na kuna uwezekano umeme mwingine ukauzwa TZ
Ina maana hizo Megawatt 7 tulizopewa tunanunua?
 
Nilisema mwanzo, ambitious za watutsi kutaka kuitawala eastern Congo zinatumika kama nyenzo na wazungu kuendeleza ukoloni mamboleo Congo.

Migogoro ipo ila inakuzwa na nje ya Afrika. Jamaa zako kwa fitna si mchezo, wanahusika moja kwa moja kuchochea migogoro mingi Afrika kwa kutumia machawa wao wanao rubuniwa na vipesa vichache. Nimekupa mfano hai wa misukosuko aliyoipata Magufuli kule Kibiti na kwenye bwawa la Nyerere ila naona kwa bahati mbaya au makusudi umekuwa unaupotezea.

Nitakupa mfano mwingine wa nje ya Afrika...

China miaka ya 1500s ndiyo ilikuwa nchi yenye uchumi mkubwa duniani. Miaka ya 1700s Waingereza wakawaletea wachina madawa ya kulevya (opium), walipokataa wakawapiga na navy yao iliyokuwa unmatched kipindi kile.

Wachina wakanyang'anywa Hong Kong na Waingereza wakaifanya kuwa kitovu cha kuendesha biashara ya madawa ya kulevya. The Hong Kong and Shanghai banking corporation (HSBC) ilianzishwa ili kuendesha biashara ya opium. Leo hii ndiyo benki kubwa Ulaya, imeichukua China miaka 200 hivi kurudi kwenye status yake ya uchumi mkubwa duniani, sisi Afrika hata hatujafikisha miaka 100 toka kupata uhuru.
Mkuu, nilikua sitaki kuingilia hilo suala la Magufuli kwasababu ni kitu ambacho nimekizungumza mara nyingi Sana. Tuanze na misukosuko kuhusu bwawa la Nyerere, nadhani unajua wazi kwamba hilo bwawa limekua na upinzani tangu enzi za Nyerere, sababu kubwa ni mazingira, mbona husemi kuhusu upinzani wanapata Uganda na Bomba lao la mafuta kuhusu mazingira, Kenya wamekatazwa kuchimba makaa ya mawe kwa sababu hizohizo.

Hivi hujui kwamba duniani kote Kuna kampeni ya kutunza mazingira haijalishi ni bara gani?, Fuatilia USA ambao ndio nchi yenye deposit kubwa ya mafuta duniani, lakini wanakumbana na upinzani mkubwa Sana wa kuyachimba toka kwa makundi ya wanaharakati wa mazingira, Sasa ikitokea wanaharakati hao wakipiga kelele kwa nchi za Afrika inaonekana ni njama za wazungu.

Kuhusu hilo la China na biashara za madawa ya Kulevya, tafadhali weka ushahidi, hizo ni story tu hakuna ukweli wowote.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hivi hakukuwa na mpango wa kujenga kipande cha kwenda Uganda? Maana kuna Sudani ya kusini pia.
Nadhani it was designed kufika Uganda kupitia Rwanda. Tz will connect to Rwanda then Rwanda will connect with Uganda making Rwanda a center of goods traffic on that part of the route.
 
Tz hainufaiki ni kama customer tu kwa jinsi nilivyoelewa maana hatujachangia hela yoyote as i know , kwa sababu uko Border ya UG na TZ ameamua kumuita President wafungue wote , na kuna uwezekano umeme mwingine ukauzwa TZ
Ila nahisi utakua wa bei ya chini manake nimemsiki museven anasema uuzwe 5cents
 
Back
Top Bottom