tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Who is elijah k samuel???🤣🤣🤣With our 20% arable land..View attachment 2634825
Source Elijah K Samuel 🤣🤣🤣With our 20% arable land..View attachment 2634825
With our 20% arable land..View attachment 2634825
Hii ni uwanja gani uko na running track poa hivi?The beautiful itenView attachment 2634818
Mkuu, soma vizuri historian ya Eastern DRC kwa undani, huko Northern Kivu Wala siko kunakotoka madini. Huko ni swala la Banamulenge kutokubaliwa na wenyeji na kutakiwa kurudi Rwanda, Kumbuka Banyamulenge(watutsi) walikuwepo huko kabla ya 1884.Hapana, Rwanda teyari kulikuwa na ugomvi kati ya koo mbili za Hutu na Tutsi. Sasa eastern congo kuna madini na ili madini yatoroshwe vizuri ilibidi kuwe na machafuko.
Kwa kuwa RPF chini ya Kagame teyari walikuwa na ambitions za kutawala, 'wakawezeshwa' na kuipindua serikali ya Habyarimana na kutengeneza mauaji ya kimbari.
That is more than enough to feed not only Kenya, but Africa as well, what you need is big brain not big arable land, Israel should be your teacher.With our 20% arable land..View attachment 2634825
Ukiacha YESU, ulishasikia wapi tena mtu aliyekufa akafufuka?. Ninachokiona Mimi ni Uganda kutaka kuunganisha reli yake na "Central corridor", sioni ni vipi mfumo wa Mturuki(European), kuingiliana na Mchina, tena Mchina wa kizamani.Hii maneno
COW is back!
Hehe poor tqnzanians
Wazee wa kupika data, show me a farm of irish potato kenya, ingekuwa hivyo basi soko la viazi vya lushoto lingeanguka huko mombasa na nairobiWith our 20% arable land..View attachment 2634825
Nilisema mwanzo, ambitious za watutsi kutaka kuitawala eastern Congo zinatumika kama nyenzo na wazungu kuendeleza ukoloni mamboleo Congo.Mkuu, soma vizuri historian ya Eastern DRC kwa undani, huko Northern Kivu Wala siko kunakotoka madini. Huko ni swala la Banamulenge kutokubaliwa na wenyeji na kutakiwa kurudi Rwanda, Kumbuka Banyamulenge(watutsi) walikuwepo huko kabla ya 1884.
Migogoro ipo ila inakuzwa na nje ya Afrika. Jamaa zako kwa fitna si mchezo, wanahusika moja kwa moja kuchochea migogoro mingi Afrika kwa kutumia machawa wao wanao rubuniwa na vipesa vichache. Nimekupa mfano hai wa misukosuko aliyoipata Magufuli kule Kibiti na kwenye bwawa la Nyerere ila naona kwa bahati mbaya au makusudi umekuwa unaupotezea.migogori ya Africa sababu kubwa ni ukabila na Imani za dini, wenzetu wazungu walifanikiwa Sana kuachana na makabila na kupunguza Sana Imani za dini. Hadi waafrika tutakapoachana na ukabila, na kupunguza Imani za dini, tutaendelea kuchapana Kama ilivyo kati ya Israel na waarabu. Wazungu hawahusiki kabisa, tunatafuta sababu tu ya kuhalalisha mapungufu yetu