joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kwahiyo mkuu, akilini mwako unaamini kabisa kwamba kilichosababisha wanyarwanda kuchinjana ni wazungu?, Kweli mkuu?.Umeongelea kitu tofauti na nilichokisema, hapa si suala la kutukuza wazungu bali kuelewa jinsi wanavyo operate na kuja na solution.
Waafrika tuna matatizo yetu lakini pia tunafanyiwa songombinde nyingi. Kutatua matatizo ya wakina Odinga ni pamoja na tuutokomeze ukoloni mamboleo.
Umepngelea Rwanda kuchinjana, lakini hujuilizi ni nani aliyewapa wakina Kagame silaha za kuipindua serikali ya Rwanda miaka ya tisini?
Nimekupa mfano wa mshike mshike aliofanyiwa Magu, mpaka tukawa na magaidi kibiti, ni nani aliyewaleta hao jamaa? Mbona sasa hawapo kwa Samia?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
