Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_2023-05-13-21-09-31-57_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-05-13-21-09-18-20_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-05-13-21-11-02-83_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-05-13-21-10-12-38_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
Screenshot_2023-05-13-21-10-26-26_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg
 
Usirukeruke mkuu, mjadala hapa ni kwamba "Je Magufuli aliua au alikuza uchumi Tanzania?".

Nimekutajia sectors za uchumi na nikakuambia tupitie Moja baada ya nyingine, tulinganishe kipindi Cha Magufuli na kabla hajaingia madarakani Ili tulinganishe, hiyo ndio njia bora ya kujua Kama uchumi ulikua au ulivurugika, hutaki badala yake unaendeleza shutuma za ajabu

Post ingine ni kuhusu Polepole, huko nako nimekupa maelezo ya kina na ndiko nilikotaja "Ujinga", kwahiyo usijaribu kuchanganya mambo, kwanza tuanze na kupitia sectors za uchumi Moja baada ya ingine tuone Kama zilikua enzi zake au zilisinyaa, mwisho utupe ushahidi kwamba Polepole anaandaliwa kuwa rais 2025.

Mkuu, tulia usipaparike, twende hatua kwa hatua. Tuanze na kipengele Cha kukua kwa GDP" Kisha tupitie Kila sector mojamoja.
Mkuu watu wanaenda mbali sana kuhusu Pole pole ambaye hayupo hapa jamvini. Hata mimi mwenyewe nawaza kuwa Rais maana Urais kumbe ni rahisi kila mtu anaweza akapigiwa debe chaa faster mjengoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila mtu nadhani apewe chakula anachoweza kula,kuna anayehitaji kunywa uji na maziwa, mwingine ndizi, mwingine nyama na ugali.

Chakula kigumu wasipewe watoto tafadhali kitawaumiza. [emoji41][emoji41][emoji41].
 
Haya timu za Tz hizo hapo top ten Africa, kwa wapenzi wa Simba pia muelewe kwamba kwa sasa Yanga ni baba lao hapa Tz na Africa mashariki na kati, ukitaka link hii hapahttps://iffhs.com/posts/2741#.
Screenshot_20230515-004956.jpg



 
Inaonekana unasumbuka sana mimi najua idadi ya majengo ya viwanda vilivyopo hapo.. nikuletee picha za juu uone.?
Na bado zinajengwa…. Ukienda ground saa hii , construction is ongoing for various industries…… ama unapinga hiyo pia?
 
Ulitaka zote, 78 industries so far.
It doesn’t matter what you show him… these Bongolalas are kings of goalpost changing… as I said before, if you showed them a Kenyan walking on water , they will claim the Kenyan can’t swim or that Tanzanians are better swimmers….🤣🤣🤣🤣
 
Tell us, how private property benefits more country than government owned property?
That’s the mentality that got your country screwed for so many years … unlike you and your hate for Kenya … I will give Ujamaa credit for uniting Bongo but beyond that it was an economic disaster… we can agree to disagree but the experts are on my side… and that’s why you switched your system to free market entrepreneurship … though you Joto la Mawe seem to be still stuck in the past … maybe you should move to North Korea or Cuba… I hear the weather is great this time of the year…🤣🤣🤣
 
Which is which hehehe

We may have our political tribal identity problems of which nothing we can’t handle…. But there is no doubt Kenya has the most mature democracy in the entire region…. This weekend the President and his opposition rival shared same platform and even the opposition leader addressed same gathering, then they were on same dais at Kasarani later in the evening…. Sooner the President was with the local media being grilled with hard hitting questions to a point he had to defend himself….. that’s a true democratic nation…. Can our neighbors to the south do the same ?…. No way CCM would entertain such pressure on mama …and does the opposition even exist south of our border???… now watch goal post changing loading…..🤣🤣🤣🤣
 
soma kitabu nilichokupa! Wewe huwezi kunifundisha kitu mimi! Nakupa homework angalia miradi ya Sukumaland in total halafu linganisha na miradi ya Kigoma! Na uje uniambie mbona Kigoma haikupewa kipaumbele pia? Mbona Mara hakukupewa priority pia?
Sasa, kwani huo mkoa wa kigoma umeanza kuezist kipindi cha Magufuli?

Magufuli ndio rais wa kwanza Tanzania, hao wengine wameifanyia nini Kigoma miaka yao 10 na zaidi ya uongozi?

Ni ukweli usiopingika kuwa miradi ya kweli na mikubwa ya maendeleo Tanzania imeshudia ikianza kipindi cha MWAMBA Magufuli.

Kama ni lawama zozote za uwiano wa kimaendeleo or miradi ya kimaendeleo, tuanza na marais waliokuwa viongozi miaka 10 na zaidi.
 
joto la jiwe Yote haya yalifanyika awamu ya baba yenu.

Mbishie na Sirro basi

Wewev kweli hamna kitu mkuu.

Wewe ulikuwa na ufaulu mbuvu sana shuleni, yaani shule ulikua mtalii. nafiri hii ni mara ya pili kukwambia hivi.

Sasa hapo Sirro kaongelea uhalifu na wewe ulivyo boya ukapotea na Kichwa cha habari "wasiojulikana". jifunze kitu kinaitwa "sensationalism" na ambapo inapotumika kwa makusudi kuwatia kingi watu hata walioenda shule.
 
Sasa, kwani huo mkoa wa kigoma umeanza kuezist kipindi cha Magufuli?

Magufuli ndio rais wa kwanza Tanzania, hao wengine wameifanyia nini Kigoma miaka yao 10 na zaidi ya uongozi?

Ni ukweli usiopingika kuwa miradi ya kweli na mikubwa ya maendeleo Tanzania imeshudia ikianza kipindi cha MWAMBA Magufuli.

Kama ni lawama zozote za uwiano wa kimaendeleo or miradi ya kimaendeleo, tuanza na marais waliokuwa viongozi miaka 10 na zaidi.
Am loading my popcorn 🍿…🤣🤣
 
Niliona documentary ya Brasilia, wamejenga vizuri lakini moja ya vitu watu wanalalamika ni ofisi za serikali kuwa mbalimbali kiasi kwamba watu wanatembea sana kupata huduma.
Na kitu kingine ni inequality. Slums zilianza kujaa nje ya Brasilia kwasababu masterplan haikuruhusu high density building. Majengo yako mbali na unahitaji gari kupata huduma. Ni tatizo.
 
Wewev kweli hamna kitu mkuu.

Wewe ulikuwa na ufaulu mbuvu sana shuleni, yaani shule ulikua mtalii. nafiri hii ni mara ya pili kukwambia hivi.

Sasa hapo Sirro kaongelea uhalifu na wewe ulivyo boya ukapotea na Kichwa cha habari "wasiojulikana". jifunze kitu kinaitwa "sensationalism" na ambapo inapotumika kwa makusudi kuwatia kingi watu hata walioenda shule.
Uhaiifu au siyo? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mnajaribu kuturudisha Misri Kwa Lazima au siyo? Haturudi tena huku 👇
 
That’s the mentality that got your country screwed for so many years … unlike you and your hate for Kenya … I will give Ujamaa credit for uniting Bongo but beyond that it was an economic disaster… we can agree to disagree but the experts are on my side… and that’s why you switched your system to free market entrepreneurship … though you Joto la Mawe seem to be still stuck in the past … maybe you should move to North Korea or Cuba… I hear the weather is great this time of the year…[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa ndio huwa naonaga akili za mkenya zilivyo kiduchu mithili ya punje ya haradali, Kenya is a third world country, so is Tanzania.
50 years Post independence in sub Saharan African countries with exceptional of few countries like South Africa, Gabon, Namibia, Mauritius;
There is no significant difference in terms of economic development between ujamaa countries Vs Capitalist.
 
Back
Top Bottom