Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie ni wanasiasa mufilisi (kama Nyerere alivyosema). Mmetumwa mitandaoni kusambaza uongo kwamba wote wanaompenda Magufuli ni Wasukuma au kanda ya ziwa.

Mimi huniambii kitu mbele ya Magufuli na ni Mchagga pure. Msitake kutuharibia nchi yetu kisa mnamchukia Magufuli kwa kuwabana na kuwakomesha mafisadi na vibaraka wa mabeberu.

Mmemsingizia vyote vibaya alivyokuwa hai (anaua dikteta nk) lakini Watz si wajinga kama mlivyodhani hawakusikiliza uongo wenu. Mmeamua kuongezea uongo wa Ukabila na mtaendelea kushindwa!

Mwanza na Nyanda za juu kusini kuna watu wamekutwa wameuwawa na wasio julikana, je tuseme anayehusika na hayo mauaji ni SH kama walivyo kuwa wanamsingizia JP awamu iliyopita!
 
Majirani hata kwenye mipango hawamo pamoja kutanguliza kituo kimoja
 

Attachments

  • Screenshot_20230514-135317.png
    Screenshot_20230514-135317.png
    202.3 KB · Views: 9
Mwanza na Nyanda za juu kusini kuna watu wamekutwa wameuwawa na wasio julikana, je tuseme anayehusika na hayo mauaji ni SH kama walivyo kuwa wanamsingizia JP awamu iliyopita!
Eti jamani. Watu wengi sana wamekufa kwenye mazingira ya kutatanisha mbona hatusemi SH kawauwa?

Mwaka 2019 kuna uonevu nilitaka kufanyiwa na watu fulani nikaelezwa ni maagizo kutoka Ikulu. Haikuwa kweli na hao watu walifukuzwa kazi moja kwa moja baada ya kutoa malalamiko yangu sehemu husika.
Kwahiyo ningeanza kulalamika kila mahali Magufuli mbaya, muonevu etc kisa nimekutana na watu waliotaka kutumia jina lake kufanya maovu?
 
Nyie ni wanasiasa mufilisi (kama Nyerere alivyosema). Mmetumwa mitandaoni kusambaza uongo kwamba wote wanaompenda Magufuli ni Wasukuma au kanda ya ziwa.

Mimi huniambii kitu mbele ya Magufuli na ni Mchagga pure. Msitake kutuharibia nchi yetu kisa mnamchukia Magufuli kwa kuwabana na kuwakomesha mafisadi na vibaraka wa mabeberu.

Mmemsingizia vyote vibaya alivyokuwa hai (anaua dikteta nk) lakini Watz si wajinga kama mlivyodhani hawakusikiliza uongo wenu. Mmeamua kuongezea uongo wa Ukabila na mtaendelea kushindwa!
Tatizo ni elimu haijawasaidia hawa watu, walienda shule kupata vyeti vya kutafuta ajira lakini hawana uwezo wa kuchakata mambo kwa undani, ni shida Sana kwakweli. Ila tusichoke kuwapa elimu, watajikomboa kutoka katika huo ujinga walionao.
 
Kwahiyo unataka kusema Magufuli hakuwa Mkabila? Tutajie kijiji kingine Tanzania kilicholazimishiwa $1 bln ya uwekezaji usio na tija kama Chato!
Anzisha thread ya hayo mambo.. wenye comments/hoja zao watawafata mchuane hukohuko.. kila mwezi mnayaongelea hayo humu lkn halimdhiki au hammalizi hizo hoja/utashi/nyongo zenu.. huku sio mahali pa kuyaongelea haya tafadhari.. na siwazuii kuyaongelea humu lkn huku sio mahali pake
 
Tatizo ni elimu haijawasaidia hawa watu, walienda shule kupata vyetu vya kutafuta ajira lakini hawana uwezo wa kuchakata mambo kwa undani, ni shida Sana kwakweli.
Sitaki kuamini hawa watu ni wajinga kiasi hicho. Wanajifanya wajinga kuendeleza ajenda zao. Wametumwa ndio maana unakuwa kama unabishana na roboti, (bora maroboti wanajifunza) hata umueleze nini hakujibu kwa hoja.

You can never have an intelligent discussion with these people they'll always use irrelevant issues like fictitious tribalism to scapegoat and pretend they have valid points of concern.
 
Eti jamani. Watu wengi sana wamekufa kwenye mazingira ya kutatanisha mbona hatusemi SH kawauwa?

Mwaka 2019 kuna uonevu nilitaka kufanyiwa na watu fulani nikaelezwa ni maagizo kutoka Ikulu. Haikuwa kweli na hao watu walifukuzwa kazi moja kwa moja baada ya kutoa malalamiko yangu sehemu husika.
Kwahiyo ningeanza kulalamika kila mahali Magufuli mbaya, muonevu etc kisa nimekutana na watu waliotaka kutumia jina lake kufanya maovu?

Udhaifu wa CEO wa sasa wanauficha kwa kumchafua CEO aliyepita.
 
Ni mwendo wa kuosha pesa kwa speed ya ngiri.
Wanaosha pesa mnooo.
Moja kati ya hoja za kumponda Magufuli ni hakuwa mzuri kwenye diplomasia hakusafiri hivyo ameua diplomasia.

Sasa wanasifia diplomasia imerudi.
Hawa waNaDiPloMasiA wanaosifia na wanaotaka kusafiri kila kukicha wanaongoza kwa kutakatisha fedha na madhila mengine mengi yanayofanya nchi zetu za Kiafrika zisiendelee.
 
Anzisha thread ya hayo mambo.. wenye comments/hoja zao watawafata mchuane hukohuko.. kila mwezi mnayaongelea hayo humu lkn halimdhiki au hammalizi hizo hoja/utashi/nyongo zenu.. huku sio mahali pa kuyaongelea haya tafadhari.. na siwazuii kuyaongelea humu lkn huku sio mahali pake
Hunipangii wapi pa ku-post kama mnavyoshangilia kifo cha Membe na sie tunagonga humohumo the pioneer of Sukumagang's hate ni mkabila na muuaji wa Ben Saanane, Azory Gwanda na pia jaribio la mauaji la Tundu Lissu, ukiacha diwani wa CHADEMA Morogoro mnyongaji Marehemu Magufuli!

Mijitu ya huko kuua ni kawaida ndo maana hamjali uhai wa waathirika! Ulizeni jamii ya Maalbino! Eti mnataka tena Urais! Sukumagang ni watu wa ajabu sana! !
 
Sitaki kuamini hawa watu ni wajinga kiasi hicho. Wanajifanya wajinga kuendeleza ajenda zao. Wametumwa ndio maana unakuwa kama unabishana na roboti, (bora maroboti wanajifunza) hata umueleze nini hakujibu kwa hoja.

You can never have an intelligent discussion with these people they'll always use irrelevant issues like fictitious tribalism to scapegoat and pretend they have valid points of concern.
Ninakupata vizuri Sana, hili ni tatizo kubwa Sana, sio Tanzania tu, watu wa aina hii ndio wengi katika nchi hizi za dunia ya tatu.

Sasa nchi ikiwa na watu Kama hawa hata kwa 25%, kweli kutapatikana maendeleo?. Hawa ndio watanzania wachache waliosoma, wakirudi vijijini jamii inawaamini kwa Kila wanachosema kwasababu ni wasomi.
 
Hunipangii wapi pa ku-post kama mnavyoshangilia kifo cha Membe na sie tunagonga humohumo the pioneer of Sukumagang's hate ni mkabila na muuaji Magufuli!
Endelea kutapatapa wewe mfamaji..
Na aliyesheherekea kifo cha Membe ni nani?
Kwani watu wanaozua haya mambo walikua wapi when both JPM & Membe were alive to bring mbwembwe zao? Wanatumia loophole that wote hawapo na hasa JPM hayupo kujibu hizo false allegations zenu? Ngoja nikwambie JPM is loved and he lives in the hearts of many Tanzanians.That won't change anything

Na hao wote mnaowaita sukuma gang ni viongozi imara wenye misimamo isiyoteteleka na mmeanza kuogopa itakuaje kama wakichukua dola so mnawachafua mapema btw its like mnatengeneza some sorts of groups za kuchafua viongozi imara the like of PM, Polepole and others!!
 
Ninakupata vizuri Sana, hili ni tatizo kubwa Sana, sio Tanzania tu, watu wa aina hii ndio wengi katika nchi hizi za dunia ya tatu.

Sasa nchi ikiwa na watu Kama hawa hata kwa 25%, kweli kutapatikana maendeleo?. Hawa ndio watanzania wachache waliosoma, wakirudi vijijini jamii inawaamini kwa Kila wanachosema kwasababu ni wasomi.
Ndio maana hatuendelei. Hawa watu hawana uchungu hata kidogo na nchi yao.
 
Back
Top Bottom