Kwahiyo unataka kusema Magufuli hakuwa Mkabila? Tutajie kijiji kingine Tanzania kilicholazimishiwa $1 bln ya uwekezaji usio na tija kama Chato!Hvi mbona munalazmisha mambo ya ukabila humu ndani, munaharibu hii thread
Usirukeruke mkuu, mjadala hapa ni kwamba "Je Magufuli aliua au alikuza uchumi Tanzania?".Sasa Bora mjinga kuliko mpumbavu unaeng'ang'ania uongo..
Kwamba Serikali ya Mwendazake haikuongeza value retention fee kwenye mikopo ya Bodi? Kwamba haikuongeza makato kutoka 10% to 15%? Kwamba hizo hazijaondolewa Sasa hivi?
Kwamba haikuondoa annual increment na Sasa zimerudishwa?
Kwamba miradi ya NHC haikuwa imejifia au kusimamiaekwa kukosa pesa ila Sasa ujenzi umerejea tena na wewe unajua?
Kwamba Hawa wote ni waongo ila wewe ndio mkweli si ndio?
Kwenye karatasi sio?, but can't support sports, agriculture, health, businesses, manufacturing sector, and to lower cost of livingNikama venye uchumi wa Nairobi unashinda uchumi wa Tanzania nzima kihadhi
Mkuu kabila la nini tena?, Tanzania ya Leo hatuulizani makabila mkuu, mbona unajishusha kiasi hicho?, Watu wanawashangaa Sana hapa.Hayo maelezo hayana specific ya kabila Wala alikozaliwa japo Kuna maelezo ya wazazi wake kuzikwa Dar labda kama alitokea huko Tabora .
kadanganye wapuuzi wenzio ukabila upo tena JPM ndo chanzo!Mkuu kabila la nini tena?, Tanzania ya Leo hatuulizani makabila mkuu, mbona unajishusha kiasi hicho?, Watu wanawashangaa Sana hapa.
Kwahiyo mnauendeleza?, Kama aliuleta kazi yetu sio kuuendeleza,, jukumu letu ni kuuzima sio kuuendeleza, au unataka kusema serikali ya Sasa pia inaendeleza ukabila?.kadanganye wapuuzi wenzio ukabila upo tena JPM ndo chanzo!
nikuulize agenda ya wakina Polepole na wenzie ni nini hasa? Mbona movement yao inaendeshwa kanda ya ziwa tu?Kwahiyo mnauendeleza?, Kama aliuleta kazi yetu sio kuuendeleza,, jukumu letu ni kuuzima sio kuuendeleza, au unataka kusema serikali ya Sasa pia inaendeleza ukabila?.
Mkuu, kitendo Cha kwamba hakuna mtu yeyote anayezungumza ukabila hapa kwenye hii forum, ni dalili ya wazi kwamba hilo jambo watu halipo kabisa katika vichwa vyao, Wala hawana "interest" nalo.
Mkuu, naomba utofautishe kati ya "Tribalism vs Nepotism, hapo ndio unachanganya mambo. Unapowapa upendeleo jamaa zako wa karibu na majirani zako, hiyo ni "Nepotism".Kwahiyo unataka kusema Magufuli hakuwa Mkabila? Tutajie kijiji kingine Tanzania kilicholazimishiwa $1 bln ya uwekezaji usio na tija kama Chato!
Hvi unafahamu ukabila vzr bwana geza au unausikia? Tuulize sisi tuliofika kwenye nchi zenye ukabila na for ur information tanzania hakuna ukabila kabisa so musiharibu hii thread kwa mambo ambayo hayana msingi wowote bro, turudini kwenye lengo la threadKwahiyo unataka kusema Magufuli hakuwa Mkabila? Tutajie kijiji kingine Tanzania kilicholazimishiwa $1 bln ya uwekezaji usio na tija kama Chato!
Usilazimishe mambo nepotism na tribalism viko intertwined! Soma kile kitabu uelewe!Mkuu, naomba utofautishe kati ya "Tribalism vs Nepotism, hapo ndio unachanganya mambo. Unapowapa upendeleo jamaa zako wa karibu na majirani zako, hiyo ni "Nepotism".
Tribalism ni kuwapendelea watu wa kabila lako hata Kama hamfahamiani, sio marafiki Wala majirani zako. Kama unachukulia ujenzi wa Chato ni upendeleo, basi hiyo ni "Nepotism sio tribalism".
Garama za bundle zipungue basi. Kumbe wanapewa grants na serikali, sasa kwa nini hizo bei za internet bundles hazipungui??![]()
What 758 new telecom towers mean for Tanzania's rural economy
President Samia Suluhu Hassan yesterday witnessed the signing of rural telecommunication projects that will provide communication services to 8.5 million people who have no access to the network.www.thecitizen.co.tz
Kaka tafadhali, huwezi fananisha ligi yetu ya wananwake hapa na uchafu wa Kenya.That’s what they worth……ligi ya Kenya ni kama ya Ligi yetu ya wanawake tu kwa hadhi………….na wamefurahi hao………![]()
Mkuu, Mimi sio mtu wa Majungu Majungu, siwezi kuishi kwa kumfuatilia mtu kiasi hicho, hii yote ni Tanzania, Kila mtu anayo haki ya kufanya chochote mahali popote.nikuulize agenda ya wakina Polepole na wenzie ni nini hasa? Mbona movement yao inaendeshwa kanda ya ziwa tu?
Mimi sio mtaalamu wa Lugha, lakini "Tribalism na Nepotism", japo vinabeba dhana Moja, lakini ni vitu viwili tofauti Sana.Usilazimishe mambo nepotism na tribalism viko intertwined! Soma kile kitabu uelewe!
Mzee usiende mbali hivyo! Sisi sote ni watanzania na tuna haki sawa kushiriki kwenye siasa. Utofauti wa fikra usiwe ndo sababu ya mgawanyiko wetu.ukweli haufichiki mzee! Hawa watu wana agenda chafu kwa mstakabali wa nchi yetu!
soma kitabu nilichokupa! Wewe huwezi kunifundisha kitu mimi! Nakupa homework angalia miradi ya Sukumaland in total halafu linganisha na miradi ya Kigoma! Na uje uniambie mbona Kigoma haikupewa kipaumbele pia? Mbona Mara hakukupewa priority pia?Mimi sio mtaalamu wa Lugha, lakini "Tribalism na Nepotism", japo vinabeba dhana Moja, lakini ni vitu viwili tofauti Sana.
Kwenye "Nepotism" driving factor ni ujaribu wa mtu, bila kujali kabila lake, kwa mfano, mtu yeyote anayeishi Chato, atanufaika na huo "upendeleo" uliofanyika, awe Msukuma au kabila lolote.
Kwenye Tribalism, wanufaika ni wasukuma wote popote walipo duniani. Mkuu jaribu kusoma vitabu vingi na uweke Ubongo wako wazi kupokea elimu, usijifungie ndani ya chumba Cha chuki na Majungu