Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Unajua ni vyema kama ukisoma kitu mtu alichoandika Kwa makini kabla ya kujiaibisha. Mimi nilichokosoa ni PLANNING STRATEGY ya huo mji Maana inafuata MODERNIST IDEAS.We jamaa ni much know lakini hakuna ubaya wowote kwenye Dom government city.. miji yote mikuu mipya imezingatia kutenganisha ofisi za serikali pamoja na makazi ya watu, mifano kwa picha ukitaka nitakupatia mana ni mingi mno..
And by the way DODOMA government city si tu eneo kwaajili ya serikali lahasha, huo mji umekua designed ku accommodate kila aina ya majengo kuanzia majengo ya biashara, makazi ya watu, viwanja vya michezo, shule, hospitals n.k ..
Ni vile tu wewe hufuatilii chochote Halaf unataka kujitia ujuaji ilihali hujui kinachoendelea ..
Moja ya architects wa kwanza ku-conceptualize hii concept ni Le Corbusier, architect aliyezaliwa Switzerland. Mwaka 1925 alikuwa na idea ya kui-transform Paris Kwa kujenga tower blocks na highways Kwasababu AUTOMOBILES zilianza kubadilisha lifestyle ya binadamu. Badala ya kuwa na miji ambayo kila kitu kipo karibu wakaona Hakuna shida ya kuwa na miji ambayo mtu yuko mbali na huduma anazohitaji as long as akiwa na gari la kumpeleka anakohitaji.
Hii Ndio vision yake ya Paris. Looks a lot like “government city,” except the towers are really tall.
Miji mingi duniani ilianza implementation ya hii concept kuanzia miaka ya 60. Miji yote iliyojengwa na hii principle lazima utaona highways, freeways, vast parking space, tower blocks, suburb sprawl, and commercial spaces located far from the city center. Nairobi ni mfano mzuri wa hii aina ya planning.
Lakini miji ya hii aina HAKUNA COMMUNITY. Ni Sawa na kuishi bila interaction na watu wengine. Na miji iliyochangua hii design concept ilianza kuanguka kuichumi kwasababu maeneo ya katikati ya miji kulipokuwa na biashara na watu wanatembea Au wakiwa karibu na makazi yao zilikutana na competition kutoka kwenye shopping centers. Na highways, freeways hazi-encourage watu kutembea sio SAFE.
Mini mingi America na Europe aliyobadilishwa na modernism sasa hivi inarudi ilikotoka. Shopping malls zinakufa kwasababu online retail imeshika kasi, wanabomoa freeways na highways katikati ya miji na kujenga mixed use buildings na walkable neighborhoods kuvutia watu wanaotembea. Kwa kufanya hivyo unajenga uchumi mzuri na a sense of community.
Nikuulize swali. Ni bora uishi kwenye mji A Au B?
Mji A
Mji B
Nchi nyingi duniani sasa hivi zinaelewa kuwa ili kujenga miji ambayo watu wanafurahia kuishi ni vyema ku-prioritize waenda Kwa miguu. Kwasababu hao Ndio wanatengeneza community na hao Ndio shoppers.
Seoul, Korea walikuwa na highway wakaibomoa kujenga stream na park: sehemu ya watu ku-stroll na kupumzika.
Kama unataka kujifunza zaidi ya planning strategy ninayo-recommend, nenda kasome kuhusu “NEW URBANISM.”
