Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Kwani Magufuli city tayari zimeshaanza kujengwa residential buildings.? Nimeona hii 👇
Watu wanataka picha za hizo factories usijitoe ufahamu.Ulitaka zote, 78 industries so far.
Tell us, how private property benefits more country than government owned property?Only communist minded folks would think government buildings are better that private entrepreneurship…. Like the mindset of North Koreans …. [emoji1787][emoji1787]🥲
Yamekwisha mkuu, ninahisi wameelewa.Mkuu, mimi nakuelewa sana, shida yako ni moja. You have too much tolérance towards stupidity, unawalea sana Wendawazimu Huku ukifahamu fika hawatakubaliana na mtazamo wako kamwe,
Kwa kufanya hivi maana yake unakuwa unawaendekeza, kisha wanakuzoea, kisha wanajiona wako relevant, feeding the troll is a gentle sin. Don’t feed the troll.
Watu wanataka picha za hizo factories usijitoe ufahamu.
Inaonekana unasumbuka sana mimi najua idadi ya majengo ya viwanda vilivyopo hapo.. nikuletee picha za juu uone.?View attachment 2621844
Tatu Industrial Zone
Ni kweli Mkuu,Kipande kilichosalia ni Kati ya Makongongolosi-Rungwa Hadi hapo Moronga Kwa upande wa Singida na kutoka Rungwa Hadi Ipole Kwa upande wa Tabora..Hii barabara muhimu sana Kuanzia Itigi to Rungwa to Chunya over 400km wakifanikisha kuiunga na lami basi itasaidia sana usafirishaji , itakuwa hamna haja ya kupita Dodoma kama unaenda mbeya , pia Mwanza to Mbeya itakuwa imefupishwa , hizi ndo project zinazokuza sana uchumi wa nchi
Tatu city ina over 15 yrs Sasa tuoneshe just 1% of its render ili tuone miaka 15 mulikua munafanya nn na je ni white elephant au sioView attachment 2621844
Tatu Industrial Zone
Hizi ndio 70 industries au sio🤣🤣🤣Some of the companies and businesses at TatuView attachment 2621981View attachment 2621982View attachment 2621984View attachment 2621990View attachment 2621993View attachment 2621998View attachment 2621999View attachment 2622001View attachment 2622003View attachment 2622006View attachment 2622008View attachment 2622010View attachment 2622011
Hivi rungwa to chunya ina lamiNi kweli Mkuu,Kipande kilichosalia ni Kati ya Makongongolosi-Rungwa Hadi hapo Moronga Kwa upande wa Singida na kutoka Rungwa Hadi Ipole Kwa upande wa Tabora..
Hii ndio Barabara fupi ukitaka kufika Mikoa ya Kaskazini au Lake zone badala ya kuzungukia Dodoma.
Bajeti ijayo hizo sections zinaenda kupata Wakandarasi
Nimefafanua hapo kwenye maelezo yangu na hiyo attachment hapo,hakuna lami.Hivi rungwa to chunya ina lami
Si kila mtu ako idle kama wewe. Nimekuwekea list ya some of the companies enda ujitaftie1
Hizi ndio 70 industries au sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hvi ww unaeza nidanganya mm nakuuliz tu ww unahisi unaweza au??Si kila mtu ako idle kama wewe. Nimekuwekea list ya some of the companies enda ujitaftie