Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kizazi cha wajinga wa hiv ni cha kukiteketeza chote, they don't deserve life. Magufuli alikosea sana kutowapoteza wote kwenye system.

Hatuwez ishi kwenye dunia ya kuoneana haya kwa kivuli eti democracy/Human rights wakati wapumbavu wachache wanafaidi pesa za mamilioni ya watanzania maskini while common citizens wanateseka. Ni ujinga wa namna gani.?
Watu dizaini ya Mwendazake hawawezi ku survive,Dunia haiwahitaji ni disaster kama kina Hitler.
Hata maofisini au kokote kwenye jamii watu wa hivyo hawatakiwi Huwa wanapigwa vita totally.

Bado 2 wanaliwa timing,Kiduku na Putin juzi kati drone imemkosa kosa
 
Kazi inapigwa Kila Kona ya Nchi..

Wazee wa hakuna miradi mipya ya Kimkakati mnahesabu lakini?

Wakati Fulani niliwahi kuandika kwamba Mwendazake hakuunganisha Mkoa wowote na lami Sasa Tunaenda kuthibitisha

 
Kazi inapigwa Kila Kona ya Nchi..

Wazee wa hakuna miradi mipya ya Kimkakati mnahesabu lakini?

Wakati Fulani niliwahi kuandika kwamba Mwendazake hakuunganisha Mkoa wowote na lami Sasa Tunaenda kuthibitisha

Hii barabara muhimu sana Kuanzia Itigi to Rungwa to Chunya over 400km wakifanikisha kuiunga na lami basi itasaidia sana usafirishaji , itakuwa hamna haja ya kupita Dodoma kama unaenda mbeya , pia Mwanza to Mbeya itakuwa imefupishwa , hizi ndo project zinazokuza sana uchumi wa nchi
 
Only communist minded folks would think government buildings are better that private entrepreneurship…. Like the mindset of North Koreans …. 🤣🤣🥲
Mzee comparison ya mji na mji humu ndani kwenye hii thread imekua ni muonekano/uzuri .. sasa umekula kichapo kwenye beauty unakimbilia kwenye eti entrepreneurship 🤣🤣🤣🤣. Loser ni loser tu always 🤣🤣
 
Tumeomba evidence yards 70 factories! Leta picha!
Here are some of the companies
IMG_180745_14523.jpg
 
Naomba utupe ushahidi katika teuzi, idadi ya wasukuma ktk Baraza la mawaziri vs proportion ya idadi ya wasukuma Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Mkuu, mimi nakuelewa sana, shida yako ni moja. You have too much tolérance towards stupidity, unawalea sana Wendawazimu Huku ukifahamu fika hawatakubaliana na mtazamo wako kamwe,
Kwa kufanya hivi maana yake unakuwa unawaendekeza, kisha wanakuzoea, kisha wanajiona wako relevant, feeding the troll is a gentle sin. Don’t feed the troll.
 
Back
Top Bottom