Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unataka kumdanganya nani? Nakupa mifano michache tuu japo Nina mifano milioni
1.Unajua Kwa nini Serikali ilichukua mkopo wa Uviko 19 Kwa dirisha la dharula?
2.Unajua sababu za kusimamisha Ajira,salary,kuunganisha mifuko,kusua Sua Kwa mafao,miradi Mingi kwenda Nje ya mda?
3.Unajua sababu ya kuchukua pesa kwenye accounts za watu Kwa Nguvu?
4.Nitajie hiyo independent organization hata Moja ambayo iliwahi sema Tanzania uwekezaji umeongezeka au wewe hapo lini uliwahi sikia FDI imeimarika?
5.Unajua sababu ya real estates kufa?
6.Unaijua sababu ya kuingiza jeshi kununua korosho?
7.Unaijua sababu ya mazao ya kilimo.kuporomoka bei? Eg mbaazi,ufuta,korosho,nafaka nk?
8.Unajua sababu ya wimbo wa Tanzania ya viwanda kuacha kuumbwa Hadi vyerehani kuwa sehemu ya viwanda?
9.Unajua sababu ya commercial loans kuongezeka badala ya consessional loans?
10. Unaijua sababu ya propaganda kutumika kuongoza Nchi?

Haya kati ya miradi yote mikubwa aliyoanzisha huyo mtu Wetu,nitajie mradi hata mmja ambao ulikuwa on time by march 2021..

Mwisho unadhani nini kulifanya hayo yote nimeeleza hapo Juu yawe on reverse as we speak just within 2 years? Do you hear any kisingizio ?

Tusibishane sana muwekeni polepole 2025 au 2030 harafu tuonane na mtunze Statistics za Rais Samia kuanzia march 2021 Hadi 2025 mje mlinganishe View attachment 2620948
Tatizo mkuu unazungumza bila "supporting evidence/documents, unatumia nadharia na mawazo yako tu.

Tanzania kwa "projections" za WB na IMF tulikua tuingie uchumi wa kati 2025, lakini tuliingia 2019, hivi nchi yenye kufanya vibaya katika uchumi inawezaje uchumi wake kusonga mbele kwa Kasi?.

Mkuu, rudi katika google uangalia Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania kuanzia 2015 hadi kuanza kwa ugonjwa wa COVID-19, na ulinganishe na kipindi Cha nyuma.

Mkuu, rudi tena uangalie makusanyo ya TRA kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani, linganisha mauzo ya dhahabu na almasi kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani. Mapato ya Utalii kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani. Uzalishaji wa chakula kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani.

Mkuu, jaribu kupitia FDI kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani, Miradi mikubwa iliyoanzishwa na serikali kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani.

Mkuu, tupitie Moja baada ya lingine tulinganishe ndio utagundua ukweli badala ya kutoa shutuma toka kichwani mwako ambazo nyingi hazina mashika kabisa msingi wake ni chuki na maneno ya mtaani tu.
 
Tatizo mkuu unazungumza bila "supporting evidence/documents, unatumia nadharia na mawazo yako tu.

Tanzania kwa "projections" za WB na IMF tulikua tuingie uchumi wa kati 2025, lakini tuliingia 2019, hivi nchi yenye kufanya vibaya katika uchumi inawezaje uchumi wake kusonga mbele kwa Kasi?.

Mkuu, rudi katika google uangalia Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania kuanzia 2015 hadi kuanza kwa ugonjwa wa COVID-19, na ulinganishe na kipindi Cha nyuma.

Mkuu, rudi tena uangalie makusanyo ya TRA kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani, linganisha mauzo ya dhahabu na almasi kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani. Mapato ya Utalii kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani. Uzalishaji wa chakula kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani.

Mkuu, jaribu kupitia FDI kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani, Miradi mikubwa iliyoanzishwa na serikali kabla na baada ya Magufuli kuingia madarakani.

Mkuu, tupitie Moja baada ya lingine tulinganishe ndio utagundua ukweli badala ya kutoa shutuma toka kichwani mwako ambazo nyingi hazina mashika kabisa msingi wake ni chuki na maneno ya mtaani tu.
Bwana wewe Baki hivyo hivyo unavyoamini siwezi kukubadilisha ,naona nimekutajia mambo lukuki hapo yaliyoharibika Bado unabisha unataka supporting evidence ipi wewe?

Ni hivi Mwendazake ni baba Yako wa uchumi ila nakwambia hivi tunza takwimu za Sasa harafu mletenj mjamaa mwingine kama Magufuli utakuja kupata majibu..
 
Ndio nasikia sikia wanamtumia kupima upepo.Slowslow na Gwajiboy ndio Frontrunner wao japo Kuna wengine kina PM,Mpina, Bashungwa..

Lakini out of hao wote mjamaa haswa hapo ni Slow slow na huyo ni dangerous kabisa na pia yeye ni rahisi kuwateka watu wenye akili ndogo Kwa kichaka Chao kile kile Cha Uzalendo na blaa blaa kama hizo..

Wawekane Kwa namna yeyote ila wanaoijua ila mda utasema na nimeshakula kucheza na wajamaa na nadhani na Wafanyabiashara wengi wamekua hawatakubali kuumia kama awamu iliyopita..

Kimei hapa anasema sio tuu watu walikuwa wanakacha kuweka pesa banks Bali walikuwa wanapokea maelekezo ya kihuni,watetezi waje Sasa wabishe na hapa,huku ndiko Wanataka waturudishe?
Mkuu, mbona unapenda Sana "gossiping?". Mkuu mambo matatu ni sifa ya mtu mjinga
1)Gossiping
2)Kulalamika bila sababu za msingi
3)Imani za kupitiliza " uchawi/dini

Mkuu, jihadhari Sana na tabia hiyo ya kupenda kutoa shutuma bila kuwa na ushahidi, Cyprian Musiba alishindwa na Membe mahakamani leo hii Mali zake zote zimakamatwa na serikali zinapigwa mnada.

Cyprian Musiba alikua anamtuhumu Membe, Kinana, Nape Makamba na wengine kutaka kuunda kundi la kumpinga Magufuli 2020 bila ushahidi wowote, Leo watu wanamtuhumu Polepole bila ushahidi wowote, mkuu usiingie kwenye kundi la wajinga, tujenge hoja zenye ushahidi tuachane na "gossiping", hizo waachie wanachama wa vyama vya siasa wapigane vikumbo kwasababu wao wanataka vyeo na madaraka, sisi ni wasomi tuonyesha usomi wetu
 
Mkuu, mbona unapenda Sana "gossiping?". Mkuu mambo matatu ni sifa ya mtu mjinga
1)Gossiping
2)Kulalamika bila sababu za msingi
3)Imani za kupitiliza " uchawi/dini

Mkuu, jihadhari Sana na tabia hiyo ya kupenda kutoa shutuma bila kuwa na ushahidi, Cyprian Musiba alishindwa na Membe mahakamani leo hii Mali zake zote zimakamatwa na serikali zinapigwa mnada.

Cyprian Musiba alikua anamtuhumu Membe, Kinana, Nape Makamba na wengine kutaka kuunda kundi la kumpinga Magufuli 2020 bila ushahidi wowote, Leo watu wanamtuhumu Polepole bila ushahidi wowote, mkuu usiingie kwenye kundi la wajinga, tujenge hoja zenye ushahidi tuachane na "gossiping", hizo waachie wanachama wa vyama vya siasa wapigane vikumbo kwasababu wao wanataka vyeo na madaraka, sisi ni wasomi tuonyesha usomi wetu
Sasa Bora mjinga kuliko mpumbavu unaeng'ang'ania uongo..

Kwamba Serikali ya Mwendazake haikuongeza value retention fee kwenye mikopo ya Bodi? Kwamba haikuongeza makato kutoka 10% to 15%? Kwamba hizo hazijaondolewa Sasa hivi?

Kwamba haikuondoa annual increment na Sasa zimerudishwa?

Kwamba miradi ya NHC haikuwa imejifia au kusimamiaekwa kukosa pesa ila Sasa ujenzi umerejea tena na wewe unajua?

Kwamba Hawa wote ni waongo ila wewe ndio mkweli si ndio?
 
Sina hakika ila nimewahi sikia wanasema ni mtu wa Rukwa
POLEPOLE NI NANI

Polepole ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kwa mujibu wa maelezo yake anasema alitua Dar es Salaam mwaka 1988 akitokea Tabora. Alisoma shule ya msingi Mbuyuni na kuendelea Shule ya Sekondari Azania, Benjamini Mkapa kisha akajiunga na elimu ya juu huko Arusha na baadaye UDSM.



MY TAKE
Ni Mtu wa kanda ilee angalia jina la Marehemu babake!
 
POLEPOLE NI NANI

Polepole ni msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kwa mujibu wa maelezo yake anasema alitua Dar es Salaam mwaka 1988 akitokea Tabora. Alisoma shule ya msingi Mbuyuni na kuendelea Shule ya Sekondari Azania, Benjamini Mkapa kisha akajiunga na elimu ya juu huko Arusha na baadaye UDSM.

Hayo maelezo hayana specific ya kabila Wala alikozaliwa japo Kuna maelezo ya wazazi wake kuzikwa Dar labda kama alitokea huko Tabora .
 
Back
Top Bottom