kun ambwa flan ivi ya kenya uwa inasema tz akuna part iyo ni nn matk yako
You mean these "houses" 😂😂😂😂😂😂😂Most of us live in houses not apartments.
Hii ni city ama ushago(mashambani)???
I am giving you 2021 data which clearly shows we are miles ahead of you in value of manufactured goods exported and you are clinging on 2022 data, a difference of 12 months!! Si unaona ulivyo mjinga?Hahaha, can you please show your value of export of manufactured goods 2022 https://www.ippmedia.com/en/bu...orts-record-strong-growth-2022
Punguza maneno mengi na janjajanja za kukwepa. Kenya will never match Tanzania in manufacturing sector, never and I repeat never again. By the way 39% ya big industries Tanzania hutumia "Natural gas" hatutumii umeme kama ninyi.
Kenya hamna uwezo wa kuuza nje bidhaa za viwandani hata kufikisha $1B, Kila kitu mnaagiza toka nje ya Kenya.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Acha kuhama mada....What about world Athletics Association inasema aje?
Ama kwenu uwanja ni WA mpira pekee!!
Nchi. Ovyo sana.
Hata hangepost 😂😂😂😂😂Hii ni city ama ushago(mashambani)???
Wakati huu uzi unaanza mwaka 2017 ilikuwa shida sn kuwaaminisha watu kwamba Tz ipo juu ya Kenya, tulipata tabu sana mpaka baadhi ya Watz walikuwa hawaamini kabisa, tena tulikuwa tunarumbana humu kweli kweli na Watz wenzetu waliokuwa hawaamini hilo, lkn kwa ss Wakenya ndio hawaamini kama Kenya yao ipo juu ya Tz, wamebaki Wakenya wachache hasa wa humu JF ambao ukweli wanaujua kwamba Tz ipo juu sana sema wanaona aibu kukubali japo tunaona wanakubali kupitia post zao zilizokata tamaa.Hawa ni watu wa kelele tu, tatizo vyombo vyao vya habari na viongozi wao wamekua wakiwajaza ujinga kutaka kuwakweza wajione wao wapo juu katika Kila kitu, sisi huwa hatuna kelele, tunafukuza mwizi kimya kimya.
Wale waliokua wakiwaunga mkono na kutaka kutudanganya huku Tanzania kwamba wakenya wapo mbele yetu, siku hizi siwasikii Tena, sijui wameenda wapi.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tanzania ipo juu ya Kenya kwa lipi? 😂😂😂😂Wakati huu uzi unaanza mwaka 2017 ilikuwa shida sn kuwaaminisha watu kwamba Tz ipo juu ya Kenya, tulipata tabu sana mpaka baadhi ya Watz walikuwa hawaamini kabisa, tena tulikuwa tunarumbana humu kweli kweli na Watz wenzetu waliokuwa hawaamini hilo, lkn kwa ss Wakenya ndio hawaamini kama Kenya yao ipo juu ya Tz, wamebaki Wakenya wachache hasa wa humu JF ambao ukweli wanaujua kwamba Tz ipo juu sana sema wanaona aibu kukubali japo tunaona wanakubali kupitia post zao zilizokata tamaa.