At statehouse Nairobi, always looking beautiful.
Prime minister of Japan was in Nairobi. Also UN Boss Guteres was also in Nairobi
View attachment 2609631
View attachment 2609632
Unajichekesha au sio, huwa nakuumiza nikikwambia unitajie infrastructure ambayo ipo huko kwenye shit hole yenu na haipo Tz unakimbia. Kwa sasa sina haja tena ya kuendelea kubishana kuhusu hilo tushafunga mjadala kilichobaki ni kupeleka siku ziende kwa afya ya uzi but no comparison at all btn Tz and Kenya.Tanzania ipo juu ya Kenya kwa lipi?![]()
Maua mliyatoa? nyie watu ni wapumbavu sn na washamba wa mwisho, huwa mnapenda decorations lkn kuzitunza hamuwezi kutokana na ukweli kwamba nyie hamko civilizedIt's hard not to fall in love with this city. Nairobea View attachment 2610085










Weka link Kama hii https://www.ippmedia.com/en/bu...orts-record-strong-growth-2022, Wacha ujinga wako wa kupiga kelele, ukiweka link yenye kuonyesha export za manufactured goods (Sio total Exports), tafadhali weka data za "only export of manufactured goods za 2022, tuone. Kumbuka kwamba your manufacturing sector grew by negative - 2.7 last year, hakuna kitu mlipeleka nje ya nchi, Kama unabishe weka tuone. Failed state ninyi hamuwezi shindana na Tanzania.I am giving you 2021 data which clearly shows we are miles ahead of you in value of manufactured goods exported and you are clinging on 2022 data, a difference of 12 months!! Si unaona ulivyo mjinga?
If you couldn't match us in 2021 just when Covid was taking a toll on most economies including ours, what makes you think you could match us in 2022 when most sectors of our economy had recovered from Covid effects? Wewe kilaza wa bongo hakuna siku Tanzania will catch up with Kenya in anything. The earlier you understand this the better. We exported manufactured goods worth $3b in 2021 and I have provided proof. I am not even sure if you exported manufactured goods worth $1b the same year na bado uko na nguvu ya kutoa povu. Useless danyanyikan!
Waulize wenzako watakujibu, Wacha kutusumbua, hata wewe ukweli unaujua vizuri sanaTanzania ipo juu ya Kenya kwa lipi?![]()
Sasa mbona unalia? Umeambiwa ulete data unatoa povu, Tz ina export zaidi yenu but nyie mnatuzidi kwenye importation, hilo sipingi. Kuhusu umeme hamtokaa mtukaribie kwasababu sisi tuna vyanzo vingi vya umeme, ukijumlisha unapata namba kubwa kuliko yenu, na hapo bado kuna jnhpp soon inakuja ambapo tutaanza kuwauzia umeme mtake msitake.Bongolala, sikuachana na anything. I just wanted to see how far you could go with this talk. Remember I told you data nikakupa? Here it is
In 2021, Kenya exported a total of $11.66b worth of goods
Kenya Exports 1960-2023
Exports of goods and services represent the value of all goods and other market services provided to the rest of the world. They include the value of merchandise, freight, insurance, transport, travel, royalties, license fees, and other services, such as communication, construction, financial...www.macrotrends.net
Out this, 30% ($3.498b) were manufactured goods
![]()
Sasa mtanganyika nataka unisikize kwa makini, hakuna siku giza na mchana zitawahi kutana. We are miles ahead of you kushinda humu ukitajataja Kenya kinywani mwako from morning to evening. Shugulika na nchi yenu fukara instead of wasting your time mentioning nchi ambayo imeshinda yenu by far. You still have a long way to go as Tanganyika to even start mentioning Kenya's name everytime.
Angalau ongezeni electricity consumption yenu kwanza ifike level yetu ndio uanze kuwa na ndoto kwamba your country is more industrialized than ours coz kipimo cha kwanza cha ustawi wa viwanda ni the amount of electricity you consume as a country coz industries run on electricity. Huwezi kuwa na viwanda vingi wakati consumption yako ya umeme ni kiduchu. Hope message umeipata
Don't always believe in people's opinions.Sasa mbona unalia? Umeambiwa ulete data unatoa povu, Tz ina export zaidi yenu but nyie mnatuzidi kwenye importation, hilo sipingi. Kuhusu umeme hamtokaa mtukaribie kwasababu sisi tuna vyanzo vingi vya umeme, ukijumlisha unapata namba kubwa kuliko yenu, na hapo bado kuna jnhpp soon inakuja ambapo tutaanza kuwauzia umeme mtake msitake.
Eti mlijenga miaka ya 70s? Na kwamba ziko kila manispaa? Nionyeshe with proof hizo viwanja mlipojenga manispaa ya Songea, Shinyanga, Iringa, Singida, Bukoba, Mtwara na Tarime,
Tukija mtaani ni kawaida Fetty ataitwa fatuma tu siunajua mkuuduh unalala kuzuri mkuu
![]()
Eti mlijenga miaka ya 70s? Na kwamba ziko kila manispaa? Nionyeshe with proof hizo viwanja mlipojenga manispaa ya Songea, Shinyanga, Iringa, Singida, Bukoba, Mtwara na Tarime,
Nairobi jacaranda bloom. Who can't fall in love with this? View attachment 2610162
code hahahaaaaaaaaa mnachekesha sana