Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Kuna shemeji yenu hapo jamani,,
Tupite kimya kimya
Kuna shemeji yenu hapo jamani,,
Huwa wanazitamani sana. Kuna kipindi pia walikuwa wakisema eti watanzania hawana utamaduni wa kuishi kwenye apartments wakati jiji lao ni uswazi mwanzo mwisho. Then you ask yourself this question : Kama hawana utamaduni wa kuishi kwenye apartments, they few they the build wanajengea akina nani? And why do they get excited everytime an apartment block is built somewhere in Dar? Inferiority complex ni kitu mbaya sanaJust recently they were against it calling them boxes … coz hawana…. Now that wameanza …. Dunia haitalala…. And they cry when we say they have inferiority complex….. 🤣🤣🤣
Wewe huwa ni kichwa kigumu sana, miradi ya hivyo vigorofa hapa DAR ipo kila mahali .. usije ukajua labda eti aliepost alishangaa kuona kigorofa kimoja kujengwa.. rudia ile post labda unaweza kuambua chochoteUshamba gani inazidi ile ya kushangaa ujenzi wa residential apartment in a city??
Unajishtukia?Ushamba gani inazidi ile ya kushangaa ujenzi wa residential apartment in a city??
Fikeni level kama hzi alaf njoo ongea pumba sasa 🤣🤣🤣🤣Local stadiums zinashinda hizi zenu za serikali ukiondoa mkapa.
Plus running track zinaviwango standard kabisaaa
Amani stadium 🇹🇿🇹🇿Local stadiums zinashinda hizi zenu za serikali ukiondoa mkapa.
Plus running track zinaviwango standard kabisaaa
MY TAKE
Siku Kunyaland inapata mall ya thamani kama hii, tutaona all colors of Ukunya!
Huwa wanazitamani sana. Kuna kipindi pia waJust recently they were against it calling them boxes … coz hawana…. Now that wameanza …. Dunia haitalala…. And they cry when we say they have inferiority complex….. 🤣🤣🤣
Wewe huwa ni kichwa kigumu sana, miradi ya hivyo vigorofa hapa DAR ipo kila mahali .. usije ukajua labda eti aliepost alishangaa kuona kigorofa kimoja kujengwa.. rudia ile post labda unaweza kuambua chochote
Eti zipo kila mahali? 😂😂Wewe huwa ni kichwa kigumu sana, miradi ya hivyo vigorofa hapa DAR ipo kila mahali .. usije ukajua labda eti aliepost alishangaa kuona kigorofa kimoja kujengwa.. rudia ile post labda unaweza kuambua chochote
Hizo sehemu zote umetaja ukipata nafasi ya kufika utajiona wewe ni mpuuzi sana .. anyways tuanze na Temeke anza na hii 👇.Eti zipo kila mahali? 😂😂
Niletee picha za residential apartments Temeke, Tabata, Buguruni na Mwananyamala tuone
Eti zipo kila mahali?
Niletee picha za residential apartments Temeke, Tabata, Buguruni na Mwananyamala tuone
Umewachapa KO ,Kenya ni watoto kwetu kwa vingiWewe una bahati Sana up lipoamua kuachana na "debate" ya Manufacturing sectors kati ya Kenya na Tanzania, nilikua nimekuandalia silaha za maangamizi.
Kuanzia Leo, sitaki tena kuona unataja manufacturing sector ya Kenya, huwezi linganisha hata siku Moja na Tanzania.
Kenya manufacturing sector has collapsed for good. Soma vizuri kwa undani na unyamaze usirudi Tena
![]()
Kenya's economic growth slowed to 4.8pc in 2022, KNBS says
Most sectors of Kenya's economy recorded decelerated growth in 2022 compared to 2021.www.theeastafrican.co.ke
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hizo sehemu zote umetaja ukipata nafasi ya kufika utajiona wewe ni mpuuzi sana .. anyways tuanze na Temeke anza na hii 👇.
Hawa ni watu wa kelele tu, tatizo vyombo vyao vya habari na viongozi wao wamekua wakiwajaza ujinga kutaka kuwakweza wajione wao wapo juu katika Kila kitu, sisi huwa hatuna kelele, tunafukuza mwizi kimya kimya.Umewachapa KO ,Kenya ni watoto kwetu kwa vingi