Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu kuwa serious , ni nini hiki mnajenga 2023 ?
Viwanja vya kizamani hivi sisi tulijenga miaka ya 70s kwenye kila manispaa, tuna manispaa zaidi ya 25 plus majiji 6 plus Stone Town. Counting ?
Despite the fact that our existing sports infrastructure is the best in the region, Sasa tunajenga uwanja mkubwa kabisa na wa kisasa Africa nzima pale nanenane Dodoma , tinajenga sports complex ya kisasa Kawe, tunakarabati viwanja 7 na kuvifanya viwe vya kisasa. As you are aware our Football Premere League is ranked 7th in the Continent.

Lastly, quick question;
Why do you call these Juakali structures International ?
View attachment 2609241
View attachment 2609242
View attachment 2609243
Tuoneshe picha za hivyo viwanja vyenu vipya.
 
Hebu kuwa serious , ni nini hiki mnajenga 2023 ?
Viwanja vya kizamani hivi sisi tulijenga miaka ya 70s kwenye kila manispaa, tuna manispaa zaidi ya 25 plus majiji 6 plus Stone Town. Counting ?
Despite the fact that our existing sports infrastructure is the best in the region, Sasa tunajenga uwanja mkubwa kabisa na wa kisasa Africa nzima pale nanenane Dodoma , tinajenga sports complex ya kisasa Kawe, tunakarabati viwanja 7 na kuvifanya viwe vya kisasa. As you are aware our Football Premere League is ranked 7th in the Continent.

Lastly, quick question;
Why do you call these Juakali structures International ?
View attachment 2609241
View attachment 2609242
View attachment 2609243
Wee wachana na Vitu vya viwango toka Kunyaland!
 
Arusha
20230502_160310.jpg
 
Local stadiums zinashinda hizi zenu za serikali ukiondoa mkapa.
Plus running track zinaviwango standard kabisaaa
We bhana hizo takataka CCM walijenga miaka mingi sana nyuma nyie mnajenga leo Halaf mnaongea humu .. hizo running track hazitafsiri ubora wa uwanja bro .. running track zipo hadi kwenye viwanja vya shule za msingi
FB_IMG_1678804704629.jpg
 
Back
Top Bottom