Wakunya walivyoingiza ng'ombe zao Tanzania kinyume na sheria, mamlaka zetu zilikamata ng'ombe wao na kuwataka wamiliki waje kulipa fines ndogo wachukue ng'ombe zao lakini Wakunya walitusakama mpaka makoo yakawakauka
wamejichanganya wameingia kwa M7 wamepigwa risasi kama mvua na wengine wamefungwa jela miaka 20 huku ng'ombe zao zikitokomea kusikojulikana



jinsi wanavyowatishia waganda ni kichekesho kingine, ooh sijui tutakamata mizigo yenu iliopo Mombasa port, mama Mwingine is dragging Uganda first Lady in, yaani Wakunya sijui akili mtapata lini na hamna mtu anaewataka