mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,447
- 4,951
Hatuimport basi kamili kama mnavyofanya hukoKwan nyinyi hamufanyu imports hapo ?? Vifaa vyote muna import alaf muna assemble sasa which is which??![]()
Hatuimport basi kamili kama mnavyofanya hukoKwan nyinyi hamufanyu imports hapo ?? Vifaa vyote muna import alaf muna assemble sasa which is which??![]()
Niambie kitu gani hamu import nikiskie hapa🤣Hatuimport basi kamili kama mnavyofanya huko
Hivi huko kwenu meli za mafuta ni kitu kinachotokea mara ngapi kwa mwaka?, Viongozi wenu hana kazi za kufanya?Hatuimport basi kamili kama mnavyofanya huko
Wacha kuwa dwanzi, hamna aliyesema estate roads zote za Nairobi zina lami. Hata hivyo majority zina lami, hata hiyo umeweka hapa ukatafuta current picture ya hio area utapata kuna lami. Tupee jina ya hio street tukuletee current pictureKwenye page hii kuna Scene inafanana na yale mabonde bonde ya kule mwezini,Kumbe ni hapahapa Topestan.
halafu kuna mtu anasema wana lami hadi mitaani, au hii mitaa sio ya Nairobae?
![]()
View attachment 2587268

Hakuna timu East and Central Africa ya kumsumbua Young Africans kwa ss, Yanga akishinda jumapili sio big deal ila Simba akishinda yatakuwa maajabu ya Mussa, nategemea Wakenya wengi kuja kuhudhuria mechi ya timu zao pendwa hapa Africa.Tunakuja na magoli yetu 5 mfukoni naona sasa mmetuzoea vibaya hadi kumshika Simba sharubu.![]()
Hata kwangu.Mbona kwenye app picha hazifunguki.. Moderator
Hongereni kwa kufungwa na Vipers ya Uganda iliyo Afrika Mashariki.Hakuna timu East and Central Africa ya kumsumbua Young Africans kwa ss, Yanga akishinda jumapili sio big deal ila Simba akishinda yatakuwa maajabu ya Mussa, nategemea Wakenya wengi kuja kuhudhuria mechi ya timu zao pendwa hapa Africa.
Key words "kwa ss"Hongereni kwa kufungwa na Vipers ya Uganda iliyo Afrika Mashariki.





Hongereni kwa sasa. Sijajua sasa unayoisema inaanzia tarehe ngapi.Key words "kwa ss"
Vipers aliifunga Yanga ambayo haijaunganika, hata Rivers United toka Nigeria naye alitufunga ila subiri uone nitakachomfanya, atawaadithia![]()
Kichwa cha familia kimesjudu🤣🤣🤣
Wacha kuwa dwanzi, hamna aliyesema estate roads zote za Nairobi zina lami. Hata hivyo majority zina lami, hata hiyo umeweka hapa ukatafuta current picture ya hio area utapata kuna lami. Tupee jina ya hio street tukuletee current picture
Kileleshwa
Imekuwaje hadi huu mtungi wa chang'aa umeanguka?!
Kwani kwenu mgr yenu huwa haziderail?Imekuwaje hadi huu mtungi wa chang'aa umeanguka?!
Simba ni timu yenye historia kubwa kila awamu na raisi wake tunaweka record mpya na kwa mama Samia pia tunataka record mpya maana za 6-0, 5-0, 4-0 kwa kila awamu tumeshazizoea tunataka wiki kama Horoya sasa.Hakuna timu East and Central Africa ya kumsumbua Young Africans kwa ss, Yanga akishinda jumapili sio big deal ila Simba akishinda yatakuwa maajabu ya Mussa, nategemea Wakenya wengi kuja kuhudhuria mechi ya timu zao pendwa hapa Africa.
Ni ngumu kuamini from tanzania 🤣🤣👇👇Ni ngumu kuamini this bus was fabricated in Kenya.View attachment 2587555View attachment 2587556