Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi imeipita mbali Dar es Salaam kwa maendeleo.

Watanzania tuache kujidanganya, tupige kazi tuletee nchi yetu maendeleo na si blah blah.

Barabara nzuri Nairobi inaongoza, uchumi imara kwa maana ya mzunguko wa pesa Nairobi inaizidi Dar pakubwa. Hata hali nzuri ya hewa na muonekano wa mji Nairobi ipo miles nyingi zaidi ya Dar.
"Tuletee nchi yetu maendeleo" asante kwa comment je ugali uko juu ya meza??🤣🤣🤣
 
"Tuletee nchi yetu maendeleo" asante kwa comment je ugali uko juu ya meza??🤣🤣🤣
Kwanza ngoja nikupatie angalizo; nchi zote za Afrika Mashariki ni masikini tu. Watu wetu wengi bado wanaishi kwenye umasikini mkubwa. Kwa mfano wewe hapo inawezekana umeshindia ugali maharage tena umekula mchana pekee usiku huu ujala kitu.

Baada ya kusema hayo nirudi kwenye hoja. Nairobi ni zaidi ya Dar hasa kama wewe unaangalia nafasi za kibiashara lakini pia ubora wa miundombinu. Dar es Salaam bado barabara za mitaa ni vumbi tupu. Nairobi lami hadi mitaani tena barabara zenye ubora.

Dar bado sana.

Mimi ni Mtanzania na ninasema wazi tu kwasababu watu wanaotembelea haya majiji mawili wanaona.
 
Nairobi imeipita mbali Dar es Salaam kwa maendeleo.

Watanzania tuache kujidanganya, tupige kazi tuletee nchi yetu maendeleo na si blah blah.

Barabara nzuri Nairobi inaongoza, uchumi imara kwa maana ya mzunguko wa pesa Nairobi inaizidi Dar pakubwa. Hata hali nzuri ya hewa na muonekano wa mji Nairobi ipo miles nyingi zaidi ya Dar.
Hakuna mtanzania anayeongea hivi kabadilishe id urudi tena[emoji116][emoji116]
Screenshot_20230412-223438.jpg
 
Kwanza ngoja nikupatie angalizo; nchi zote za Afrika Mashariki ni masikini tu. Watu wetu wengi bado wanaishi kwenye umasikini mkubwa. Kwa mfano wewe hapo inawezekana umeshindia ugali maharage tena umekula mchana pekee usiku huu ujala kitu.

Baada ya kusema hayo nirudi kwenye hoja. Nairobi ni zaidi ya Dar hasa kama wewe unaangalia nafasi za kibiashara lakini pia ubora wa miundombinu. Dar es Salaam bado barabara za mitaa ni vumbi tupu. Nairobi lami hadi mitaani tena barabara zenye ubora.

Dar bado sana.

Mimi ni Mtanzania na ninasema wazi tu kwasababu watu wanaotembelea haya majiji mawili wanaona.
Mtanzania hasemi teletee nchi yetu maendeleo bahat nzuri mm ni mtu najua mpaka rangi za chupi zenu hilo moja

alaf pili kua maskini sio tatizo, manake unaeza kua maskini lakini unakula milo mitatu na ukawa maskini ukawa huna hata chakutafuna sasa nakufundisha ujue tofaut hzo 😆😆😆

Ww jifurahishe tu 👏👏👏👏👏👏 na karibu sana kwenye jukwaa jirani
 
Hakuna mtanzania anayeongea hivi kabadilishe id urudi tena[emoji116][emoji116]View attachment 2585832
Onyesha makosa ya kiuandishi kuonyesha mimi si Mtanzania.

Haya sasa turudi kwenye mada kuu mezani. Je, Nairobi haina barabara nzuri zaidi ya Dar es Salaam?

Au wewe unashangilia Dar kwa sababu tu ni Mtanzania? Haujali ukweli?

Au ndiyo ujinga mwingi unakusumbua?
 
Mtanzania hasemi teletee nchi yetu maendeleo bahat nzuri mm ni mtu najua mpaka rangi za chupi zenu hilo moja

alaf pili kua maskini sio tatizo, manake unaeza kua maskini lakini unakula milo mitatu na ukawa maskini ukawa huna hata chakutafuna sasa nakufundisha ujue tofaut hzo 😆😆😆

Ww jifurahishe tu 👏👏👏👏👏👏 na karibu sana kwenye jukwaa jirani
bahat = bahati
mm = mimi
alaf = halafu
manake = maana yake
hzo = hizo
ww = wewe

Haya kajifunze kwanza kuandika halafu urudi tundee na mada iliyo mezani.
 
Back
Top Bottom