Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Meli ya kitalii imetia nanga znz na watalii zaidi ya 400 👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Screenshots_2023-04-14-14-44-37.png
Screenshots_2023-04-14-14-44-50.png
 
Wacha kuwa dwanzi, hamna aliyesema estate roads zote za Nairobi zina lami. Hata hivyo majority zina lami, hata hiyo umeweka hapa ukatafuta current picture ya hio area utapata kuna lami. Tupee jina ya hio street tukuletee current picture
Kileleshwa

Ngoja nikutafutie receipts ili ujione ulivyo Dwanzi kweli kweli 🤣 . Una uhakika hakuna mtu aliyesema estates zenu zote zina lami? Kwenye maandamano tumeona hali halisi kila kona nchini mwenu. Lakini mkiongea humu utafikiri watu wa BEVERLY HILLS.
 
Ngoja nikutafutie receipts ili ujione ulivyo Dwanzi kweli kweli . Una uhakika hakuna mtu aliyesema estates zenu zote zina lami? Kwenye maandamano tumeona hali halisi kila kona nchini mwenu. Lakini mkiongea humu utafikiri watu wa BEVERLY HILLS.
Zilete
 
We boya Nairobi si dar, karibia kila estate na suburbs zina lami si vumbi kama huko kwenu. Lami kwenye estates zilianza kuwekwa kitambo na bado zinaendelea kuwekwa
Ngoja nikutafutie receipts ili ujione ulivyo Dwanzi kweli kweli 🤣 . Una uhakika hakuna mtu aliyesema estates zenu zote zina lami? Kwenye maandamano tumeona hali halisi kila kona nchini mwenu. Lakini mkiongea humu utafikiri watu wa BEVERLY HILLS.
NDINDA
 
Back
Top Bottom