Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Walikurukurupuka hawakujitosheleza kwenya kufanya upembuzi yakinifu kwaajili ya huo mradi,Kuna namna BRT Kenya imekuwa cursed, haiwezekani kila wakianza wanaishia njiani, yaani walianza na lipstick wakachemsha, nyege zikawapanda tena wakaja na hii wakachemsha, kutakuwa na mkono wa mtu si bure[emoji28][emoji28][emoji28]
Walifanya hivyo kwa sababu dar kuna BRT wao hawana wakaona bora nao wafanye ilimradi ikija hoja ya BRT tukiwaambia Tz kuna BRT nao waseme kuwa wanayo,matokeo yake ndiyo hayo sasa kuumbuka