chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,124
moja kati ya achievement kubwa sana kwenye kuokoa mazingira yetu, hii investment itaokoa misitu yetu na kuongeza mchango wa sector ya viwanda/madini kwenye pato na Taifa
Tayari ameshaamini si umeona amekaa kimya








Tunatisha sana kwakweli.Kenya mkishamaliza fujo na maandamano ya kijinga, jiandaeni kufanya maandamano kupinga bidhaa za Tanzania kuingia kwa wingi soko la Kenya.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
moja kati ya achievement kubwa sana kwenye kuokoa mazingira yetu, hii investment itaokoa misitu yetu na kuongeza mchango wa sector ya viwanda/madini kwenye pato na Taifa
View attachment 2563645
Pole kwako. Saa hii ukiona any Golden Dragon bus in Tanzania just know that there's high chances zimeunganishwa Kenya😂😂Mbona hazijaandikwa classic bus?? 🤣🤣
Kila siku nilikuwa najiuliza haya makaa ya mawe ukiacha govt kupata pesa kwa kuyauza, je sisi wananchi tunanufaika nayo vipi? Na je ni kweli wenzetu wanayanunua kwa ajili ya kuendeshea viwanda pekee, leo ndiyo nmeona nuru kwamba tutaanza kufaidika nayo directly na sio zile story za esopo kwamba tunauza makaa ya mawe alafu tunapata pesa za kununulia madawati na dawa.moja kati ya achievement kubwa sana kwenye kuokoa mazingira yetu, hii investment itaokoa misitu yetu na kuongeza mchango wa sector ya viwanda/madini kwenye pato na Taifa
View attachment 2563645
Kwani is it a lie that maize farmers are poor compared to Miraa farmers? 90kg sack of maize is only $50 while 90kg sack of Miraa is $1500.Wewe ni mpumbavu!
Nakuambia gharama za maisha zitashuka sana, watanzania tulikuwa wapi jamani, mpk huyu mwendazake kuja kutuamsha, haki ya Mungu yule mzee ana mabaya yake lakini mazuri ni mengi sana na tunayaona kwa macho.Tanzania tuna hazina kubwa ya coal inayoweza kutumika miaka zaidi ya 500, hii ni bonge 1 la investment kutoka STAMICO
View attachment 2563649View attachment 2563650View attachment 2563651View attachment 2563652View attachment 2563653
Mimi nafikiria hata hakuna haja ya kuexport haya makaa nje ya nchi japo tunayo mengi ya kutosha, impacts zake kiuchumi zitakua kubwa sana tukitengenezea hizi briquettes kuliko kuexport, hii mitambo ya kutengeneza briquettes wanatakiwa wawe nayo kila mkoa kisha biashara ya mkaa wa miti itakufa naturally, uzuri wamesema watauza kwa bei rahisi kuliko bei ya mkaa wa kawaida huku hizi briquettes zikiwa na ubora maradufu kuliko mkaa wa mitiKila siku nilikuwa najiuliza haya makaa ya mawe ukiacha govt kupata pesa kwa kuyauza, je sisi wananchi tunanufaika nayo vipi? Na je ni kweli wenzetu wanayanunua kwa ajili ya kuendeshea viwanda pekee, leo ndiyo nmeona nuru kwamba tutaanza kufaidika nayo directly na sio zile story za esopo kwamba tunauza makaa ya mawe alafu tunapata pesa za kununulia madawati na dawa.
Watu wanachukulia poa sana kwanza ikumbukwe sio kazi ndogo kubadilisha coal kuwa home use briquettes, ni akili kubwa sana wataalamu wetu wametumia mpaka kufanya coal itumike kama mkaa wa kupikia majumbani, raw coal ukiiwasha ukapikia chakula ni ndani ya dakika chache unakuta mpaka sufuria imekua ujiNakuambia gharama za maisha zitashuka sana, watanzania tulikuwa wapi jamani, mpk huyu mwendazake kuja kutuamsha, haki ya Mungu yule mzee ana mabaya yake lakini mazuri ni mengi sana na tunayaona kwa macho.
Kwa jinsi nnavyoujua mkaa wa mawe unaweza tumia hata mwezi kwa vikokoto sita hivyo hivyo, wewe tu na uimara wa sufuria lako, hapo hata bei za mitungi ya gesi zitashuka sana.Mimi nafikiria hata hakuna haja ya kuexport haya makaa nje ya nchi japo tunayo mengi ya kutosha, impacts zake kiuchumi zitakua kubwa sana tukitengenezea hizi briquettes kuliko kuexport, hii mitambo ya kutengeneza briquettes wanatakiwa wawe nayo kila mkoa kisha biashara ya mkaa wa miti itakufa naturally, uzuri wamesema watauza kwa bei rahisi kuliko bei ya mkaa wa kawaida huku hizi briquettes zikiwa na ubora maradufu kuliko mkaa wa miti
Ndiyo maana nasema wewe na uimara wa sufuria lako tu mana coal si mchezo mzee.Watu wanachukulia poa sana kwanza ikumbukwe sio kazi ndogo kubadilisha coal kuwa home use briquettes, ni akili kubwa sana wataalamu wetu wametumia mpaka kufanya coal itumike kama mkaa wa kupikia majumbani, raw coal ukiiwasha ukapikia chakula ni ndani ya dakika chache unakuta mpaka sufuria imekua uji
Pole kwako. Saa hii ukiona any Golden Dragon bus in Tanzania just know that there's high chances zimeunganishwa Kenya😂😂
Mkuu naona na leo kama kawaida picha yetu ilee, safi sana.
Pole kwako. Saa hii ukiona any Golden Dragon bus in Tanzania just know that there's high chances zimeunganishwa Kenya😂😂
haina tatizo lolote la sufuria aina yoyote unatumia, kuna documentary ya STAMICO nikiipata nitaiwekaKwa jinsi nnavyoujua mkaa wa mawe unaweza tumia hata mwezi kwa vikokoto sita hivyo hivyo, wewe tu na uimara wa sufuria lako, hapo hata bei za mitungi ya gesi zitashuka sana.