Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
hio ni ntv. jumba linavutia na liko nairobi.. shida yako iko wapi?Mkuu naona na leo kama kawaida picha yetu ilee, safi sana.
hio ni ntv. jumba linavutia na liko nairobi.. shida yako iko wapi?Mkuu naona na leo kama kawaida picha yetu ilee, safi sana.
Is it an expressway ama ni bridge mbona naona river huko chini!!!???They said the express way would remain empty and wount be used but now actually it’s so full till it gets traffic jam sometimes View attachment 2563780



wivu unakusumbua mzee.. huwezi jua jinsi expressway inakaa sababu danganyika hakuna expressway. ldc imeshindwa hadi na uganda 🤣 🤣Is it an expressway ama ni bridge mbona naona river huko chini!!!???![]()
Classic kwani ni kampuni ya tanzania au ya congo alaf hio ndio sehem ya kuonganisha bus za dragon 🤣🤣🤣🤣🤣 hii dunia tutaona mengi sana
Shangilia 🤣🤣🤣🤣🤣Thanks for posting 2016 tweet.
Mbezi Louis Dar es salaamwivu unakusumbua mzee.. huwezi jua jinsi expressway inakaa sababu danganyika hakuna expressway. ldc imeshindwa hadi na uganda![]()
![]()
Na siku ukipata assembly plant ya golden dragon bus kenya unitag nifunge acc 🤣🤣
Walikuwa wanafikiri bado tuko enzi za Mwalimu.Misumiari inayogongwa humu wakenya wote hawana hamu.
You wanted to see the classic names on the buses nikakuonyesha. I don't know why you are now crying 😂😂🤣😂. Again don't talk about Bus assembling cause there's no bus being assembled in Tz😂😂🤣Classic kwani ni kampuni ya tanzania au ya congo alaf hio ndio sehem ya kuonganisha bus za dragon 🤣🤣🤣🤣🤣 hii dunia tutaona mengi sana
Shangilia 🤣🤣🤣🤣🤣
Hio ndio golden dragon plant ya kenya au sio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Meaning this post itatoa hile assembly plant ya Golden Dragon Kenya na kuipeleka Tz?
Don't compare this rubbish with expressway.Mbezi Louis Dar es salaam View attachment 2563801
Nioneshe hio golden dragon plant ya kenya nifunge acc sasa hvi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Meaning this post itatoa hile assembly plant ya Golden Dragon Kenya na kuipeleka Tz?
Kwa hivo unapinga kwamba Mabasi za Golden Dragon haziunganishwi Kenya?🤣🤣😂🤣.Na siku ukipata assembly plant ya golden dragon bus kenya unitag nifunge acc 🤣🤣
Nimekwambia nioneshe golden dragon plant ya kenya nifunge acc sasa hvi yani kwenye maswala ya magari kwangu umenoa budaaa 🤣🤣🤣🤣Kwa hivo unapinga kwamba Mabasi za Golden Dragon haziunganishwi Kenya?🤣🤣😂🤣.
Golden Dragon wamepartner na Banbrose to assemble their buses in Kenya. Unataka kulia?😂😂🤣Hio ndio golden dragon plant ya kenya au sio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nani amekuambia kuna plant ya Golden Dragon Kenya? Spirits za Magufuli zinakufuata ama?🤣🤣😂 Who said Golden Dragon has their own plant in Kenya?Nimekwambia nioneshe golden dragon plant ya kenya nifunge acc sasa hvi yani kwenye maswala ya magari kwangu umenoa budaaa 🤣🤣🤣🤣
Na sio wame partner usitake kunidanganya hapa banbrose ndio wananua chasis na engine na diff kutoka china kuja kuunganisha bus hapo nairobi na ni kama wanajaribu biashara na hakuna plant ya ku assemble bus za golden dragon africa nzima hakuna 🤣🤣🤣🤣Golden Dragon wamepartner Banbrose to assemble their buses in Kenya. Unataka kulia?😂😂🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 so umebadilisha mada sio ww uliosema bus za golden dragon za tanzania zimekua assembled kenya ??Nani amekuambia kuna plant ya Golden Dragon Kenya? Spirits za Magufuli zinakufuata ama?🤣🤣😂 Who said Golden Dragon has their own plant in Kenya?