@Nicxie Mimi ninakuomba uwe unafikiria kabla ya kujibu, uwe neutral. usiwe mara nyingi inaendeshwa na ushabiki.
Sasa unaposema haiwezikani vijana wote kupata ardhi ya kutosha, wewe ktk akili yako kweli inakuambia kwamba vijana wote Tanzania wanapenda na wanaweza kilimo?. Hivi hujui kwamba sector zote nchini zinahitaji vijana, ikiwemo hiyo sector ya madini uliyotaja?.
Kuhusu kauli kwamba Tanzania Iko na madini mengi hivyo watanzania hawapaswi kuwa masikini, huo ni wivu wa wakenya, kwasababu kwanza hamjui hayo madini ni mengi kiasi gani ukilinganisha na idadi ya watanzania.
Kwamfano, madini ambayo yanapatikana kwa wingi Tanzania ni dhahabu, mwaka Jana pesa iliyopatikana kutokana na dhahabu ni $2.9B, Sasa hiyo pesa ndiyo inaweza kumaliza umasikini kwa watanzania 60M?, Mbona Kenya mnapata $4B Kama Remittances lakini bado njaa ni tatizo?
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app