Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama ulisoma kila kitu nilichoandika kuna mahali nimesema nchi yetu kuwa kamwe sehemu kubwa haifai kuwa kisingizio. But of course you couldn't see that for obvious reasons.

There's nothing to benchmark coz hayo yote walishafanya but hakuna kilichofanyika. The thing is, the government needs to act and act on a serious note coz they know what they need to do
Chukueni hatua stahiki nyie watu.. tutawaachia vumbi tu
 
Show me where he mentioned vijana maalum ama idadi yao kwenye ile post yake. He said kila kijana. Wewe ndio unafaa kusoma uache kukurupuka
Ndio maana nakwambia you are too emotional than objective.

Amesema kwasasa vijana wanapewa kila mmoja ekari 10. Na akakupatia reference ya video.

Umeitazama hiyo video?
Also hakuna sehemu amesema vijana wote.

Unakurupuka kujibu tu bila hata kuielewa context ya comment.
Don't quote somebody by using feelings use your brain.
 
Mimi siendeshwi na ushabiki wala nini. Nimenukuu aliyosema mwenzako kwamba KILA kijana anapewa hekari kumi. Aliposema hivyo mtu anafaa kuelewa aje?

Kuhusu madini na remittances, haya ni mambo mawili tofauti. Pesa Tanzania inapata kutokana na mauzo ya madini yanaenda kwa kikapu cha serikali, si mtu binafsi kama ilivyo remittance in case of Kenya.

Serikali inafaa kutumia hiyo pesa kuboresha maisha ya watanzania which is not the case kwa sababu Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa umasikini ukanda huu.

Remittance zinazingia Kenya kwa kiasi kikubwa hutumiwa na hizo recipient families kujikumu na kujiimarisha kiuchumi.

Hawa ni watu wanatuma hela nyumbani kuwekeza kwenye sekta mbalimbali, kusomesha familia na mambo kama hayo. These have effects on the general well-being of these people besides earning the government money in forex charges
Kama huendeshwi na ushabiki, basi akili yako ni ndogo Sana, hujui lolote. Jinsi ulivyojibu ninakubaliana na wewe kwamba huna ushabiki ila ni uwezo wako mdogo wa akili.

1)Kwanza pesa ya madini hiyo $2.9B sio pesa ya serikali, ni pesa yote iliyopatikana kutokana na mauzo ya dhahabu, yaani imeingia katika mifuko ya wachimbaji, serikali imepata Kodi ni mirabaha tu.

Hata Kama pesa yote hiyo ingeingia serikalini, na Kama hiyo pesa inatosha kuwafanya watanzania kuondokana na umasikini?,

Wewe akili yako ni ndogo Sana, kati ya pesa inayoingia serikalini na pesa inayoingia Moja kwa Moja mikononi mwa watu, ipi ambayo inamaliza umasikini wa watu binafsi?.

Kenya Remittances zinaingia Moja kwa Moja kwa wakenya, iweje wakenya wengi wanashindwa hata kupata chakula, iweje Kenya ndio inaongoza kwa slums duniani, vipi ndio mnaongoza kwa kuwa na hali mbaya ya maisha hapa EA?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kenya hakuna sustainable source of revenue. Kenya will always be dependent nation.

Hamtokaa muweze kuendeleza nchi yenu without cooperation with neighboring country. Ile EGO yenu ya kipumbavu itaendelea kuwala na muendelee kuwa omba omba.
Eti Kenya hakuna sustainable source of revenue???😂😂😂 Wewe ni mbwa sana.

The main source of revenue for governments all over the world is tax collection ambayo tunawazidi mbali tena sana licha ya nchi yenu kuwa na idadi kubwa ya watu. Yani ninyi ni kelele tu hata taxes hamlipi ambayo ni jukumu la kila mwananchi. Alafu uko hapa kutoa povu! 😂😂
 
Eti Kenya hakuna sustainable source of revenue???😂😂😂 Wewe ni mbwa sana.

The main source of revenue for governments all over the world is tax collection ambayo tunawazidi mbali tena sana licha ya nchi yenu kuwa na idadi kubwa ya watu. Yani ninyi ni kelele tu hata taxes hamlipi ambayo ni jukumu la kila mwananchi. Alafu uko hapa kutoa povu! 😂😂
Tax collection from where? We are talking about sustainable revenue for a nation. You dependent from tax collection from which investment?

Withour sustainable resource for investment revenue itakuwa ya kuunga unga tu.

Mnategemea misaada na mikopo kila mwaka.
 
Show me where he mentioned vijana maalum ama idadi yao kwenye ile post yake. He said kila kijana. Wewe ndio unafaa kusoma uache kukurupuka
Huwezi kuambiwa Kila kitu, lazima uwe unatumia akili yako, aliposema Kila kijana anapewa hekari kumi, wewe kwa ujinga wako ulidhani ni vijana wote hata wale wagonjwa wa akili, walemavu wasio na viungo. Vijana wa kitanzania waliopo nje ya nchi, wanajeshi, waalimu, wacheza mpira, majambazi.

Kwahiyo aliposema vijana wote, wewe bila hata kutumia akili ukadhani ni wooote vijana wa Tanzania, kwanini usingefikiria kwamba haiwezikani vijana wote kufanya kazi katika sector Moja pekee?, Ulishawahi kuona wapi duniani vijana wote wakafanya kazi Moja?, tumia akili kidogo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kama huendeshwi na ushabiki, basi akili yako ni ndogo Sana, hujui lolote. Jinsi ulivyojibu ninakubaliana na wewe kwamba huna ushabiki ila ni uwezo wako mdogo wa akili.

1)Kwanza pesa ya madini hiyo $2.9B sio pesa ya serikali, ni pesa yote iliyopatikana kutokana na mauzo ya dhahabu, yaani imeingia katika mifuko ya wachimbaji, serikali imepata Kodi ni mirabaha tu.

Hata Kama pesa yote hiyo ingeingia serikalini, na Kama hiyo pesa inatosha kuwafanya watanzania kuondokana na umasikini?,

Wewe akili yako ni ndogo Sana, kati ya pesa inayoingia serikalini na pesa inayoingia Moja kwa Moja mikononi mwa watu, ipi ambayo inamaliza umasikini wa watu binafsi?.

Kenya Remittances zinaingia Moja kwa Moja kwa wakenya, iweje wakenya wengi wanashindwa hata kupata chakula, iweje Kenya ndio inaongoza kwa slums duniani, vipi ndio mnaongoza kwa kuwa na hali mbaya ya maisha hapa EA?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Bongolala unasema naendeshwa na hisia but ni dhahiri wewe ndio unaendeshwa na hisia na ushabiki za kijinga

Unaposema wakenya ndio wako na maisha mbaya zaidi hapa east Africa do you have any evidence to back up your claim? Last time I checked, Tanzania had 28 million people living in extreme poverty, the highest number of any country in EA. These are data provided by the WBG and verifiable. Wewe nawe, on the other hand, unakwama na data za kutoa akilini.

On the same note, last time I checked, Kenya is ahead of you in HDI na GDP per capita, mambo mawili yanayotumika kupima umasikini.

Natural resources kama madini ni mali ya serikali jinsi ninavyojua unless huko kwenu it's a different story so usituambie eti pesa zinazotokana na mauzo ya madini yanaenda kwa mifuko ya watu binafsi

Remittance unayotaja inafikia familia chache with kins abroad. How you expect that money to help a large number of Kenyans is baffling to say the least. Hiyo pesa inasidia hizo familia tu, not every Kenyan as you purport
 
Huwezi kuambiwa Kila kitu, lazima uwe unatumia akili yako, aliposema Kila kijana anapewa hekari kumi, wewe kwa ujinga wako ulidhani ni vijana wote hata wale wagonjwa wa akili, walemavu wasio na viungo. Vijana wa kitanzania waliopo nje ya nchi, wanajeshi, waalimu, wacheza mpira, majambazi.

Kwahiyo aliposema vijana wote, wewe bila hata kutumia akili ukadhani ni wooote vijana wa Tanzania, kwanini usingefikiria kwamba haiwezikani vijana wote kufanya kazi katika sector Moja pekee?, Ulishawahi kuona wapi duniani vijana wote wakafanya kazi Moja?, tumia akili kidogo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unataka nitumie akili kutathmini aliyosema wakati wewe hatumii akili kutathmini kwamba watu milioni mbili unusu can't fit an area measuring 2.5 square kilometers? (Kibera) Am ikija hapo akili inaenda missing?
 
Eti Kenya hakuna sustainable source of revenue???[emoji23][emoji23][emoji23] Wewe ni mbwa sana.

The main source of revenue for governments all over the world is tax collection ambayo tunawazidi mbali tena sana licha ya nchi yenu kuwa na idadi kubwa ya watu. Yani ninyi ni kelele tu hata taxes hamlipi ambayo ni jukumu la kila mwananchi. Alafu uko hapa kutoa povu! [emoji23][emoji23]
China, Qatar, Botswana, Saudia Arabia, Iran, Norway na nchi nyingi zilizoendelea, zinapata pesa nyingi kutokana na investment zaidi kuliko taxes.

Tanzania tunawekeza Sana katika miradi ya kimkakati Kama viwanda, reli, ndege za mizigo na abiria, bandari, masoko, stand za mabus, Natural gas, hydroelectricity, real estate, migodi na mashamba, baada ya miaka kadhaa, Kodi zitazidiwa kimapato

Kenya zaidi ya kutoza kodi, hamna source nyingine yoyote ya maana, matokeo yake watu wanakua na hali ngumu ya uchumi kutokana na mzigo wa Kodi kuwaumiza raia.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tax collection from where? We are talking about sustainable revenue for a nation. You dependent from tax collection from which investment?

Withour sustainable resource for investment revenue itakuwa ya kuunga unga tu.

Mnategemea misaada na mikopo kila mwaka.
What could be more sustainable source of revenue for a country than tax collection? Wewe ni boya sana

Haya tueleze basi, what's your country's sustainable revenue source(s)?
 
Kunyaland madaraja mtuache hatuna mshindani.

Tarura is doing fantastic job in Rural areas 👍👍
IMG_20230323_154932_115.jpg
IMG_20230323_154753_794.jpg
IMG_20230323_154415_778.jpg
IMG_20230323_154430_228.jpg
IMG_20230323_154526_882.jpg
IMG_20230323_154557_748.jpg
IMG_20230323_154558_488.jpg
IMG_20230323_154504_584.jpg
 
Bongolala unasema naendeshwa na hisia but ni dhahiri wewe ndio unaendeshwa na hisia na ushabiki za kijinga

Unaposema wakenya ndio wako na maisha mbaya zaidi hapa east Africa do you have any evidence to back up your claim? Last time I checked, Tanzania had 28 million people living in extreme poverty, the highest number of any country in EA. These are data provided by the WBG and verifiable. Wewe nawe, on the other hand, unakwama na data za kutoa akilini.

On the same note, last time I checked, Kenya is ahead of you in HDI na GDP per capita, mambo mawili yanayotumika kupima umasikini.

Natural resources kama madini ni mali ya serikali jinsi ninavyojua unless huko kwenu it's a different story so usituambie eti pesa zinazotokana na mauzo ya madini yanaenda kwa mifuko ya watu binafsi

Remittance unayotaja inafikia familia chache with kins abroad. How you expect that money to help a large number of Kenyans is baffling to say the least. Hiyo pesa inasidia hizo familia tu, not every Kenyan as you purport
Kipimo Cha chini kabisa Cha hali mbaya kabisa ya maisha ya binadamu ni upatikanaji wa chakula, Kenya ndiyo nchi yenye idadi kubwa ya watu ambao hawana chakula hapa EA.

Hivi Kama mtu hana uwezo wa kupata chakula, huyo mtu anaweza kupata nini hapa duniani?, taja ni nchi gani hapa EA ambayo raia wake wanakufa kwa njaa?

Mimi nimekubaliana na wewe kwamba haundeshwi na ushabiki, lakini tumekubaliana kwamba huna akili hata kidogo, vipi hadi Leo hujui kwamba madini ni sawa na mafuta, Kule Turkana Yale mafuta yanachimbwa na serikali au kampuni binafsi?. Kwa akili yako ya kijinga ni kwamba mtu akienda msituni akachimba madini akipata aende kuyakabidhi serikalini kwa sababu ni Mali ya serikali?, Mwaka juzi yule massai Kule Arusha alipata Tanzanite ya $3M, Ile pesa ilingia serikalini au alichukua yeye mwenyewe na serikali ilipata Kodi?, Huna akili wewe.

Nimekuambia hata Kama pesa yote ya madini ya Tanzania ikiwa ni pesa ya serikali, je $3.5B inaweza kumaliza umasikini wa nchi?. Pesa ya serikali inatumika kujenga miundombinu ya barabara, Hospitali na kununua dawa, je umasikini wa kipato Cha watu kinamalizwa kwa kuwa na barabara Bora na Hospital Bora?.

Kama zaidi ya $4B zinaingia katika mifuko ya wakenya Kama remittances lakini bado umasikini wa kipato kwa wakenya unazidi kuongezeka, Hilo ndio jambo la kushangaa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
China, Qatar, Botswana, Saudia Arabia, Iran, Norway na nchi nyingi zilizoendelea, zinapata pesa nyingi kutokana na investment zaidi kuliko taxes.

Tanzania tunawekeza Sana katika miradi ya kimkakati Kama viwanda, reli, ndege za mizigo na abiria, bandari, masoko, stand za mabus, Natural gas, hydroelectricity, real estate, migodi na mashamba, baada ya miaka kadhaa, Kodi zitazidiwa kimapato

Kenya zaidi ya kutoza kodi, hamna source nyingine yoyote ya maana, matokeo yake watu wanakua na hali ngumu ya uchumi kutokana na mzigo wa Kodi kuwaumiza raia.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwa mambo uliyotaja,
1. Tanzania haizidi Kenya kiviwanda. Kenya is the most industrialized country in east Africa 😂😂

2. Tanzania bado inajenga reli zake wakati zetu ziko operational na zinaingizia nchi mapato 😂😂

3. Aviation (Ndege). Kenya is the aviation hub in east Africa. 😂😂. Tunawazidi in both passenger numbers and cargo volume

4. Bandari. The biggest and bussiest port in East Africa ipo Kenya (port of Mombasa) 😂😂

5. Masoko. Kenya has modernized her markets and built bigger ones in the recent past just like you've done

6. Stand za mabus. Hapo mpo juu but I wonder how it qualifies as a sustainable and leading source of revenue to your government.

7. Natural gas. That's a naturally occurring resource that not everybody has. Sisi pia tuko na geothermal yetu

8. Hydroelectricity. Kenya produces more electricity than Tanzania and also consumes more electricity than Tanzania 😂😂. Data zipo ukitaka

9. Real estate. Hapo hata hakuna cha kusema. Kenya's real estate sector is more developed than what you have down there

So bongolala, kwa hayo ulitlyotaja, which ones give you bragging rights over Kenya?

Kelele na povu itabidi uache!!
 
What could be more sustainable source of revenue for a country than tax collection? Wewe ni boya sana

Haya tueleze basi, what's your country's sustainable revenue source(s)?
Haya mawazo ya kimasikini mdogo wangu. Tell how much do you collect from tax per year? What is the percentage of tax collection for your total revenue?

Nchi isiyofanya investment nchi hiyo itakuwa dependent maisha yake yote.
 
Kwa mambo uliyotaja,
1. Tanzania haizidi Kenya kiviwanda. Kenya is the most industrialized country in east Africa 😂😂

2. Tanzania bado inajenga reli zake wakati zetu ziko operational na zinaingizia nchi mapato 😂😂

3. Aviation (Ndege). Kenya is the aviation hub in east Africa. 😂😂. Tunawazidi in both passenger numbers and cargo volume

4. Bandari. The biggest and bussiest port in East Africa ipo Kenya (port of Mombasa) 😂😂

5. Masoko. Kenya has modernized her markets and built bigger ones in the recent past just like you've done

6. Stand za mabus. Hapo mpo juu but I wonder how it qualifies as a sustainable and leading source of revenue to your government.

7. Natural gas. That's a naturally occurring resource that not everybody has. Sisi pia tuko na geothermal yetu

8. Hydroelectricity. Kenya produces more electricity than Tanzania and also consumes more electricity than Tanzania 😂😂. Data zipo ukitaka

9. Real estate. Hapo hata hakuna cha kusema. Kenya's real estate sector is more developed than what you have down there

So bongolala, kwa hayo ulitlyotaja, which ones give you bragging rights over Kenya?

Kelele na povu itabidi uache!!
What??? Viwanda vilivyojengwa na mkoloni ndivyo mnaviringia?

Huko tulishatoka babu. Tanzania is not anymore source of raw material.

Viwanda vinahitaji raw material where will you get? Hapa tunaongelea sustainable revenue mdogo wangu. Kuifanya nchi iweze kujitegemea ndani ya mika 20 ijayo.

What is the source of revenue of your country for 20 year to come?

Which resources do you have to sustain your future revenue?
Kenya is a dying horse. Mnarusha mateke ya mwisho tu.
 
Haya mawazo ya kimasikini mdogo wangu. Tell how much do you collect from tax per year? What is the percentage of tax collection for your total revenue?

Nchi isiyofanya investment nchi hiyo itakuwa dependent maisha yake yote.
How much do we collect from taxes?? It's a lot bongolala. More than you collect down there.

Nyinyi ni investments gani mmefanya inayoingizia serikali yenu hela kuzidi hiyo tax yenu finyu mnayokusanya?
 
Back
Top Bottom