Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakenya wakaletwa tanzania wanapata sababu kama elfu moja za kuandamana huko KAMA KATIBA MPYa etc
watanzania hadi kwa kujielewa bado mko chini sana
Wakenya kwa jinsi historia yenu ilivyo hata mngepelekwa Eden mngeandamana tu, natania tuu
 
Kenyas mobile money transactions are larger than Tanzanias GDP
1679572717539.png
 
Kama inakufanya ujisikie happy ni vzr mana binadamu tunatofautiana, wengine wakijiliwaza ndiyo huishi maisha marefu
That's the fact kijana. You list all the bridges in Dar plus Mwanza alafu I'll list for you all the bridges in Mombasa, utapata Mombasa has more😂😂🤣
 
Nimekukubalia kiongozi, mana nnaweza nikaweka bridges hapa alafu wewe ukaweka vitu tofauti na bado ukadai ushindi
Huyo huwa anapuuzwa tu kaka..🤣🤣. Alishawahi kulinganisha mfereji wa kilimo cha umwagiliaji kwa jina la Thiba dam vs JNHP.. asa ndio utamuweza.? 🤣 Hiyo dam yenyewe ni haka ka pond 🤣🤣 👇
maxresdefault.jpg
IMG-8697-1200x630.png
thiba_3-1.png
.. sa ndio utamuweza huyo.?
 
Huyo huwa anapuuzwa tu kaka... Alishawahi kulinganisha mfereji wa kilimo cha umwagiliaji kwa jina la Thiba dam vs JNHP.. asa ndio utamuweza.? Hiyo dam yenyewe ni haka ka pond View attachment 2562667View attachment 2562668View attachment 2562670.. sa ndio utamuweza huyo.?
Wakati mwingine ni kumuacha mtu apate faraja mana huwezi juwa wengine wanachukulia serious kiasi gani haya mambo, usikute mwengine anashindwa hata kula akibaini nchi yake imezidiwa sehemu fulani na nchi jirani, sasa ikifika huko ni bora kumuachia furaha yake.
 
Back
Top Bottom