Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

As much as some arrogant Kenyans need to be put in place i really cannot laugh at people starving in Kenya. These are real people and real lives and i would not wish that on anyone. It really is a sad situation.

What is is even sadder is that some Kenyans in here have shown little concern for their fellow citizens.
 
Wengine wana upungufu wa dollars, sisi tunagawa aid worth a million of dollars
Nyingine hii
Screenshot_20230321-105928.jpg
 
Wao walipeleka mashuka sisi tunapeleka pesa taslimu kwa sababu hawana shida ya njaa wala mashuka
Africa inapaswa kuiga huu mfano ili miaka ijayo vizazi vyao vikisoma vione kabisa kuna nchi Africa zilitusaidia, amini amini nawaambia hizi taarifa zikimfikia mwendazake kaburi lake lazima litingishike jinsi ambavyo atajisikia furaha, maana ni ndoto yake ya muda mrefu iliyokuja kutimizwa na Samia.
 
Nicxie chukua huh mfano View attachment 2562801hiki kijiji kinaitwa KWAMKONO, kipo Mkoani Tanga wilaya ya Handeni, siku za nyuma kidogo nilikua nikifuata Mbuzi hapo, Ili nilete DAR kwaajili ya biashara.. lakini nilikuta chakula sio tatizo kabisa, Kg 1 ya nyama ya ng'ombe ni Tz sh 3000 while in Dar es salaam nyama inauzwa kilo moja 9k .. kila aina ya chakula kwenye hiki kijiji bei yake ipo chini mara tatu tofauti na bei unavyoweza kuikuta DAR,

My take: Tz karibu yote inalimika, inafaa kwa ufugaji, kwahyo ni ngumu sana kukuta waTz wanaandamana eti kwaajili ya chakula, kwasababu tuliowengi zaidi ya 70% hatununui chakula watu wanapanda wanalima wanakula,

Na ndio maana serikali yetu ikaonelea ya kwamba tutoke sasa kwenye kilimo kwaajili ya hizi basic demands, tuongeze kilimo kwaajili ya utajiri/pesa.. Eneo kubwa limetengwa kufanya kazi hiyo

Tunavyoongea hivi sasa vijana wanapewa Ardhi huku buree, hekari kumi kila mtu wamiliki ndani ya miaka 66 ... Kwaajili ya kilimo biashara .. pita hapa 👇. . sijui unasubir nini usiebadilisha uraia.. wacha ujinga mdogo angu 🤣

Umeongea vizuri ila ningependa kukukosoa kidogo. Kwanza, sidhani kama inawezekana kupatia kila kijana ardhi hekari kumi na serikali. Kwani Tanzania ni kubwa kiasi gani ndio kila kijana apewe hekari kumi kwenye nchi ya watu million 60?

Inafaa mshukuru Mungu kwa kuwapa nchi ambayo inalimika kwa kiasi kikubwa na madini tele pia. Tanzania ni nchi ambayo haifai kuwa na kiasi kikubwa cha masikini kama ilivyo kwa sasa ikizingatia natural resources mlizonazo.

Kenya sehemu kubwa ni kame na haifai kwa kilimo lakini hiyo haifai kuwa ni kisingizio. Serikali inafaa kutilia maanani irrigation schemes ili kuzuia upungufu wa chakula haswa kwa sehemu kame
 
Nicxie wewe ni mbishi sana, anyway heb jaribu kubishana na Erick pia 👇.

Hapo chini nimeona pameandikwa.. "issue kubwa sana ni mafuta na unga..."

Kama maandano yanahusu tu unga mbona basi mafuta imetajwa kwenye hiyo IG post yake? Hizi maandano are about high cost of living but unawezaamimi jinsi unavyotaka. It's about high cost of unga, high cost of cooking oil, high cost of electricity, high cost of bread nk
 
Hicho ndicho kitu ambacho Wakenya wakija kustuka itawa cost sana kwa maoni yangu, huwezi kusifia majengo ilihali nchi zetu zinahitaji viwanda, barabara, hospitali, madaraja, reli n.k. majengo yanatakiwa yafuate baada ya kuwa vizuri kwenye hizo idara.
Hawa huwa wanapenda cosmetic solutions they dont deal with root of the problem.
 
Umeongea vizuri ila ningependa kukukosoa kidogo. Kwanza, sidhani kama inawezekana kupatia kila kijana ardhi hekari kumi na serikali. Kwani Tanzania ni kubwa kiasi gani ndio kila kijana apewe hekari kumi kwenye nchi ya watu million 60?

Inafaa mshukuru Mungu kwa kuwapa nchi ambayo inalimika kwa kiasi kikubwa na madini tele pia. Tanzania ni nchi ambayo haifai kuwa na kiasi kikubwa cha masikini kama ilivyo kwa sasa ikizingatia natural resources mlizonazo.

Kenya sehemu kubwa ni kame na haifai kwa kilimo lakini hiyo haifai kuwa ni kisingizio. Serikali inafaa kutilia maanani irrigation schemes ili kuzuia upungufu wa chakula haswa kwa sehemu kame
@Nicxie Mimi ninakuomba uwe unafikiria kabla ya kujibu, uwe neutral. usiwe mara nyingi inaendeshwa na ushabiki.

Sasa unaposema haiwezikani vijana wote kupata ardhi ya kutosha, wewe ktk akili yako kweli inakuambia kwamba vijana wote Tanzania wanapenda na wanaweza kilimo?. Hivi hujui kwamba sector zote nchini zinahitaji vijana, ikiwemo hiyo sector ya madini uliyotaja?.

Kuhusu kauli kwamba Tanzania Iko na madini mengi hivyo watanzania hawapaswi kuwa masikini, huo ni wivu wa wakenya, kwasababu kwanza hamjui hayo madini ni mengi kiasi gani ukilinganisha na idadi ya watanzania.

Kwamfano, madini ambayo yanapatikana kwa wingi Tanzania ni dhahabu, mwaka Jana pesa iliyopatikana kutokana na dhahabu ni $2.9B, Sasa hiyo pesa ndiyo inaweza kumaliza umasikini kwa watanzania 60M?, Mbona Kenya mnapata $4B Kama Remittances lakini bado njaa ni tatizo?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom