Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Chakula changu najilimia usichochwe na uongo za ccmMnakima chai na maua,
Viazi mchele nk mnaagiza Tz, usifikiri mimi ni dumb kukuzidi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Chakula changu najilimia usichochwe na uongo za ccmMnakima chai na maua,
Viazi mchele nk mnaagiza Tz, usifikiri mimi ni dumb kukuzidi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ni haki yetu kuandamana.. Inawauma nini?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani kawazuia sasaNi haki yetu kuandamana.. Inawauma nini?
This is the dumbest reason I have heard, unauza aje chakula unajisahau?... Kumaanisha Kenya ni tajiri sanaBei huku ipo juu kwasababu mahindi mengi mnanunua nyie kwa bei ya juu..
Tulikua tunanunua unga kwa 1100 mwaka 2020
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Watu hawaandamani kwa sababu ya unga. Watu wanaandamana kwa sababu ya gharama ya juu ya maisha just like it happens in many countries across the world. Gharama ya juu ya maisha encompasses many things.Nilivyokuwa nakwambia hayo yote nilikua najua kabisa kwamba mpo wakenya mnaolima, lakini kwa Tz ni case tofauti kabisa kwasababu asilimia zaidi ya 70 ya watanzania wote ni wakulima tu na Ardhi ya Tz karibu yote inafaa kwa kilimo .. ni ngumu kukuta huku watu wanaandamana kwasababu ya msosi mzee..
No wonder Tanzanian farmers are poor. Maize has no benefit to farmer, Geri nipande miraa kuliko mahindi.
Badala atunze hiyo hela kesho kutwa Jumatatu imfae anunue maji kupozea teargas, yeye ameweka bandle kuandika upuuzi mitandaoni, what a westage of resources .? 🤣🤣😂😂😂😂😂 Hawa watu sijui ilikuaje wakamiliki smartphone 😂😂😂 ni wapumbavu wa mwisho
Ona dunia inavowaumbua sasa 🤣🤣 mbona hzi walisahau makeup na filter
Kama sio mikojo ni nn hii??🤣🤣🤣
View attachment 2562819
Kwani which country sells more miraa than Kenya?lazy bones hakuna mnachoweza ninyi vichaa zaidi ya kutaka serikali iwape chakula cha bure chenye subsidy, pumbavu ninyi
mngeongoza basi kwenye hayo mazao yenye pesa
Baboon siku hizo watu hawatumii bundles😂😂😂Badala atunze hiyo hela kesho kutwa Jumatatu imfae anunue maji kupozea teargas, yeye ameweka bandle kuandika upuuzi mitandaoni, what a westage of resources .? 🤣🤣
usifananishe Germany na shithole yenu mzee, watu wanakufa njaa kunyaland na symbol kubwa kwenye demonstrations zenu ni masufuria, means njaa, unga buku Jero mnaandamana? 😂😂😂😂 mna akili kweli ninyi vichaa?Kenyans are not fighting for Unga in real sense. When Germans went to the street to demonstrate for bread did they mean the real bread? In this case Unga or bread means the overall cost of living.
mawazo yangu yote unga kilogram 1 mnauziwa elfu 5 kumbe ni 1.5k ndio inafanya muandamane? purchasing power yenu ipo vizuri 😂😂😂Kwani which country sells more miraa than Kenya?
Nicxie wewe ni mbishi sana, anyway heb jaribu kubishana na Erick pia 👇.Watu hawaandamani kwa sababu ya unga. Watu wanaandamana kwa sababu ya gharama ya juu ya maisha just like it happens in many countries across the world. Gharama ya juu ya maisha encompasses many things.
Wakunya hivi ndio ilipaswa iwe strategy yenu ya kucounter njaa, sio ule upumbavu wenu wa kazi mashinani na sijui hustler fund yaani mambo ya kiwaki mwanzo mwisho
Inawezekana wanadanganya bhana 🤣🤣 hawa si unawajua kwa uongo wa kujikweza..mawazo yangu yote unga kilogram 1 mnauziwa elfu 5 kumbe ni 1.5k ndio inafanya muandamane? purchasing power yenu ipo vizuri 😂😂😂
Kenyas purchasing power is higher than Tanzanians by far. That's why we more malls than any country in Sub Saharan Africa outside South Africa.mawazo yangu yote unga kilogram 1 mnauziwa elfu 5 kumbe ni 1.5k ndio inafanya muandamane? purchasing power yenu ipo vizuri 😂😂😂
Mbona umeniwekea kitu tofauti na nilichouliza Boss.
Na mka buy iyo story?Kwa manifesto yake alisema ndani ya siku 100 atakua ameshukisha bei ya unga wa 2kg hadi 70. Wakenya wanamkumbusha tu


