Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunanunua unga karibia bei moja na wadanganyika alafu unasema sisi hatufai kuandamana. Wakenya ni matajiri kuliko wadanganyika. Nyinyi bakini kwa umaskini wenu na kunyamazishwa na CCM
Sasa mkuu unaposema wewe ni tajiri zaidi ya mwenzio alafu hapo hapo bei za vitu dukani ni sawa lkn yule maskini ana afford lkn wewe tajiri huwezi ku afford na sio unajifanyisha bali huwezi kweli kiasi cha kwamba mpaka wanao wanakufa njaa na wanaonekana kabisa hali zao si nzuri kiafya unashindwa kueleweka Boss.
 
This poor souls from danganyikaland cannot afford unga huko kwao but they cannot protest because of CCM ruthlesness na uoga mingi ya ujamaa
Mkuu njaa haina adabu, njaa ikikushika kama upo ndani utatoka tu asikudanganye mtu na ndiyo wenzetu mkatoka kuiambia serikali kwamba mna njaa, na sisi pia huku kwetu njaa ikitukaba tutatoka tu hakuna bingwa wa njaa duniani, ila kwa sasa bado haijatukaba hivyo basi hatuna sababu ya kuisumbua serikali.
 
Sasa mkuu unaposema wewe ni tajiri zaidi ya mwenzio alafu hapo hapo bei za vitu dukani ni sawa lkn yule maskini ana afford lkn wewe tajiri huwezi ku afford na sio unajifanyisha bali huwezi kweli kiasi cha kwamba mpaka wanao wanakufa njaa na wanaonekana kabisa hali zao si nzuri kiafya unashindwa kueleweka Boss.
HAKUNA MTU AMEKUFA NJAA Kenya 2022-2023. Get your facts right. Ata wanorth Korea hawateti bei ya unga lakini haimaanishi maisha yao iko sawa, ni serikali yao mbaya kama ya CCM
 
Mkuu njaa haina adabu, njaa ikikushika kama upo ndani utatoka tu asikudanganye mtu na ndiyo wenzetu mkatoka kuiambia serikali kwamba mna njaa, na sisi pia huku kwetu njaa ikitukaba tutatoka tu hakuna bingwa wa njaa duniani, ila kwa sasa bado haijatukaba hivyo basi hatuna sababu ya kuisumbua serikali.
hamjawahi anadamana sasa mtaanza kusumbua serikali vipi? wewe unajua kutawaliwa na serikali ingine isipokua CCM?
 
70% ya watanzania wanaoishi vijijini huwa hawañunui Vyakula. Tanzania Ugali sio "staple food" katika maeneo yote ya nchi, kwahiyo hata Kama bei ya unga ikipanda, sio tatizo la nchi nzima.

Hivi Sasa huku kijijini ninakoishi, ndoo Moja ya mahindi iliyojaa ambayo ni sawa na 23Kg ni Tshs 16,000. Ukiamua kusaga bila kukoboa utapata 23kg, bei ya kusaga ni 2000.

Kwahiyo utapata 23kg kwa Tshs.18000. Huko mjini lazima bei itaongezeka kutokana na gharama za usafiri na overheads costs zingine.

Sasa Kama 70% ya watanzania wanaoishi vijijini, na kati ya hao wanaoishi vijijini 60% hawategemei kununua mahindi, badala yake hujilimia chakula Chao, kupanda na kushuka kwa bei za Vyakula mijini hakuna athari kubwa kwa watanzania wengi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Umeongea kwa hasira sana. Aliyekuambia kwamba wakenya walio vijijini hawalimi mahindi ya kula ni nani? Wewe unafikiri kila mkenya hadi yule anayeishi kijijini amwtumia unga ya kuuza supermarket?
 
Kwa maendeleo tuliyofikia kwa ss East Africa hii barabara haikidhi viwango, samahani lkn kama nimekukwaza.View attachment 2562583
What do Tanzanian know about roads? This is your CBD roads.

2871328_1628190912678.png
 
hamjawahi anadamana sasa mtaanza kusumbua serikali vipi? wewe unajua kutawaliwa na serikali ingine isipokua CCM?
Mkuu sisi watanzania huwa hatujali sana mambo ya kisiasa sisi tunachotaka ni maendeleo pasipo kujali chama kitakuwa kipi, tofauti sana na ninyi wenzetu kidogo siasa mmeiweka mbele sana kuliko maendeleo. Ndio maana unaona tangu Tz iamke imekuwa ikiwapa shida sana kimaendeleo kwasababu sisi huku ni kazi tu kama China hatuna mda na siasa, zikipita zimepita, huku kwetu yeyote yule anaweza ongoza nchi na wala huwezi kusikia tatizo la njaa.
 
Back
Top Bottom