Street Hawker
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 391
- 685
Hicho ndicho kitu ambacho Wakenya wakija kustuka itawa cost sana kwa maoni yangu, huwezi kusifia majengo ilihali nchi zetu zinahitaji viwanda, barabara, hospitali, madaraja, reli n.k. majengo yanatakiwa yafuate baada ya kuwa vizuri kwenye hizo idara.Leo munamsifia mchina ww ndio mkenya wa kwanza kumsifia mkenyahuku wachina wanaekeza kwenye viwanda


